Mabomu yalipuka Zanzibar
MABOMU mawili yanayosadikiwa kuwa yalitegwa na watu wasiojulikana, yamelipuka yenyewe na kuzua taharuki kubwa katika eneo la Michenzani mjini hapa. Kamanda wa Kikosi cha Operesheni na Mafunzo cha Jeshi la Polisi Zanzibar, Juma Yussuf alithibitisha jana kulipuka kwa mabomu hayo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili13 Nov
Mabomu mawili yalipuka Libya
11 years ago
IPPmedia24 Feb
Milipuko miwili ya mabomu yaitikisa Zanzibar
IPPmedia
IPPmedia
Milipuko miwili imetokea leo Zanzibar maeneo tofauti na kuzua hofu, mmoja katika Hoteli ya Kitalii ya Mercury iliyopo eneo la Forodhani na kwenye lango la kanisa Kuu la Anglikana eneo la Mkunazini. Home » Editorial ...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar13 Sep
Polisi Zanzibar, walipukiwa na mabomu ya machozi
Gari ya FFU Kaskazini Unguja imepinduka na kujeruhi askari 6 hali yao ni mbaya sana baada ya kupakia mabomu ya machozi na silaha ikipeleka kazini kwa mwendo kasi. Huko Kasikazini Unguja walikuwa wanawalipulia raia wasio na […]
The post Polisi Zanzibar, walipukiwa na mabomu ya machozi appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Vijimambo20 Apr
Zanzibar yatibuka.CUF wafurushwa kwa mabomu, Nassoro Moyo afukuzwa CCM.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Idd-20April2015.jpg)
Jeshi la Polisi Zanzibar, limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wafuasi wa Chama cha Wananchi (CUF) waliokuwa wakikaidi amri ya kutotoka wilaya moja kwenda nyingine kuhudhuria mkutano wa hadhara. Inakumbukwa kwamba baada ya wafuasi wa CUF kushambuliwa mwishoni wa mwezi uliopita wakitoka katika mkutano uliofanyika katika Kijiji cha Makunduchi, Mkoa wa Kusini Unguja, polisi waliitisha mkutano nabaadhi ya vyama vya siasa na...
10 years ago
BBCSwahili04 Mar
Volkeno yalipuka Chile
10 years ago
BBCSwahili23 Apr
Volcano yalipuka Chile
11 years ago
BBCSwahili19 Feb
10 years ago
BBCSwahili29 Oct
Roketi ya Marekani ya Antares yalipuka
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n9CkP9pTfMP-nnGcje5up3EJRYC060ERacqUVIKtPdv8*3FVoL0xa6j*lOWIWwB-8MvKz7J3Ozrl9EuoN-7KEAdPyyapsltO/explosion1.jpg?width=650)
ROKETI YALIPUKA WAKATI WA KUPAA NCHINI MAREKANI