Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Milipuko miwili ya mabomu yaitikisa Zanzibar


IPPmedia
Milipuko miwili ya mabomu yaitikisa Zanzibar
IPPmedia
Milipuko miwili imetokea leo Zanzibar maeneo tofauti na kuzua hofu, mmoja katika Hoteli ya Kitalii ya Mercury iliyopo eneo la Forodhani na kwenye lango la kanisa Kuu la Anglikana eneo la Mkunazini. Home » Editorial ...

IPPmedia

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Milipuko miwili yaitikisa Cairo

Mabomu mawili yamelipuka karibu na mji mkuu wa Misri, Cairo katika daraja linalopita juu ya kizuizi cha polisi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Milipuko miwili yatikisa Mugadishu

Magari mawili yamelipuka nje ya hoteli moja katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu na kuwaua watu 10

 

11 years ago

BBCSwahili

Milipuko miwili yatokea,Gikomba, Nairobi

Milipuko miwili ya maguruneti imetokea katika Soko kubwa zaidi nchini Kenya la Gikomba linalopakana na mtaa wa Easteleigh

 

11 years ago

BBCSwahili

Milipuko miwili yakumba mji moja Nigeria

Mji wa Maiduguri uliopo kazkazini mwa Nigeria wakumbwa na milipuko miwili huku ripoti zikiarifu kwamba watu kumi wameuawa

 

11 years ago

Mwananchi

Milipuko ya mabomu: Mmefanya nini?

Wakati milipuko ya mabomu ikiongezeka nchini, hasa kwenye miji ya kitalii ya Arusha na Unguja, kumekuwa na sintofahamu miongoni mwa wananchi kuhusu Serikali kutotoa mkakati thabiti wa kupambana na tatizo hilo linalozidi kuota mizizi.

 

11 years ago

Mwananchi

Milipuko ya mabomu yarindima Z’bar

Watu wanne wamejeruhiwa baada ya milipuko minne inayoaminika kuwa ni mabomu kutokea katika maeneo matatu tofauti Zanzibar.

 

9 years ago

BBCSwahili

Milipuko ya mabomu yaua watu 20 Syria

Watu 20 wamefariki na wengine 40 kujeruhiwa kwenye milipuko miwili ya mabomu yaliyotegwa kwenye magari mjini Hassakeh, Syria.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Milipuko ya mabomu Arusha ina nia gani?

WAKATI matokeo ya uchunguzi wa milipuko ya mabomu ya awali katika Jiji la Arusha hayajajulikana, mlipuko mwingine wa bomu umetokea jijini humo na kujerhi vibaya watu zaidi ya 17 waliokuwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Jaji Maneto: Polisi wabebe lawama milipuko ya mabomu

Wakati matukio ya milipuko ya mabomu yakiendelea katika baadhi ya mikoa nchini, aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Jaji Mstaafu Amir Manento amelinyooshea kidole jeshi la polisi kwa madai kuwa linahusika na baadhi ya matukio ya ukiukwaji wa haki za binadamu katika vipindi tofauti nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani