Milipuko miwili yakumba mji moja Nigeria
Mji wa Maiduguri uliopo kazkazini mwa Nigeria wakumbwa na milipuko miwili huku ripoti zikiarifu kwamba watu kumi wameuawa
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili09 Oct
Mafuriko yakumba mji mkuu wa Ghana
Mafuriko yamerudi tena katika mji mkuu wa Ghana ,Accra baada ya saa mbili za mvua kubwa mapema siku ya Ijumaa kulingana na mwandishi wa BBC Sammy Darko.
11 years ago
BBCSwahili07 Feb
Milipuko miwili yaitikisa Cairo
Mabomu mawili yamelipuka karibu na mji mkuu wa Misri, Cairo katika daraja linalopita juu ya kizuizi cha polisi.
11 years ago
BBCSwahili02 Jan
Milipuko miwili yatikisa Mugadishu
Magari mawili yamelipuka nje ya hoteli moja katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu na kuwaua watu 10
11 years ago
IPPmedia24 Feb
Milipuko miwili ya mabomu yaitikisa Zanzibar
IPPmedia
IPPmedia
Milipuko miwili imetokea leo Zanzibar maeneo tofauti na kuzua hofu, mmoja katika Hoteli ya Kitalii ya Mercury iliyopo eneo la Forodhani na kwenye lango la kanisa Kuu la Anglikana eneo la Mkunazini. Home » Editorial ...
11 years ago
BBCSwahili16 May
Milipuko miwili yatokea,Gikomba, Nairobi
Milipuko miwili ya maguruneti imetokea katika Soko kubwa zaidi nchini Kenya la Gikomba linalopakana na mtaa wa Easteleigh
10 years ago
Vijimambo30 Mar
Taharuki yakumba Nigeria kabla ya matokeo
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/625/amz/worldservice/live/assets/images/2015/03/29/150329062040_nigeria_voting_elections_640x360_ap.jpg)
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/03/30/150330115843_nigeria_election_640x360_bbc_nocredit.jpg)
Matokeo ya uchaguzi Nigeria yatarajiwa leo
Uingereza na Marekani zimeelezea masikitiko yao kuwa kumekuwa na wizi wa kura, katika uchaguzi mkuu uliomalizika siku ya Jumamosi Nchini Nigeria.
Mwaandishi wa habari wa BBC wa maswala ya Afrika aliyeko Nigeria anasema kuwa hali ni ya wasiwasi katika mji mkuu Abuja.
Katika taarifa ya pamoja, yanasema kuwa wameona dalili za kutiliwa shaka kuwa kumekuwa na uingiliaji wa kisiasa na utaratibu mzima wa uchaguzi mkuu...
11 years ago
BBCSwahili07 Feb
Milipuko yatikisa mji wa Cairo, Misri
Mabomu mawili madogo yamelipuka karibu na mji mkuu wa Misri, Cairo na kuwajeruhi maafisa sita wa polisi
10 years ago
BBCSwahili08 Mar
Milipuko yawaua watu 50 Nigeria
Zaidi ya watu 50 wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa kwenye mashambulizi ya mabomu siku ya jumamosi kwenye mji wa Maiduguri
9 years ago
BBCSwahili03 Oct
Milipuko ya bomu yawaua 15 Nigeria
Milipuko miwili ya mabomu ambayo ilikumba maeneo ya viungani mwa mji mkuu wa Nigeria Abuja yamewaua watu 15 na kuwajeruhi wengi kulingana na maafisa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania