Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mafuriko yakumba mji mkuu wa Ghana

Mafuriko yamerudi tena katika mji mkuu wa Ghana ,Accra baada ya saa mbili za mvua kubwa mapema siku ya Ijumaa kulingana na mwandishi wa BBC Sammy Darko.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mafuriko yakumba mataifa ya Balkan

Juhudi za kuyadhibiti mafuriko mabaya zaidi ambayo yamewaathiri maelfu ya raia wa mataifa ya balkan zinaendelea.

 

11 years ago

BBCSwahili

Madai ya ufisadi yakumba soka ya Ghana

Shirikisho la soka nchini Ghana limewataka maafisa wa polisi kuingilia kati baada ya madai ya ufisadi kukumba mmoja wa afisa wake.

 

11 years ago

BBCSwahili

Milipuko miwili yakumba mji moja Nigeria

Mji wa Maiduguri uliopo kazkazini mwa Nigeria wakumbwa na milipuko miwili huku ripoti zikiarifu kwamba watu kumi wameuawa

 

11 years ago

Michuzi

Jaji Mkuu ziarani nchini Ghana

Mhe. Mohamed C. Othman, Jaji Mkuu wa Tanzania akiwa na mwenyeji wake Mhe. Georgina T. Wood, Jaji Mkuu wa Ghana ofini kwake. Mhe. Jaji Mkuu wa Tanzania yuko nhcini Ghana kwa ziara maalum ya kubadilishana ujuzi na Majaji wa Supreme Court ya Ghana.

Mhe. Jaji Mkuu wa Tanzania akiwa kwenye ziara ya kubadilishana ujuzi wa utekelezaji wa shughuli za kisheria na Utawala baina ya Mahakama ya Tanzania na Mahakama ya Ghana akiongozana na Mhe. Jaji Kiongozi na Makamishna wa Tume ya Mahakama ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kijiwe: Landani uwe mji mkuu wa Bongo

BAADA ya kijiwe kugundua kuwa mkuu anapata sana taabu kukesha kwenye pipa akienda kueleza na kupokea sera kule Landani, kimependekeza Landani uwe mji mkuu wa Bongo. Leo hakuna maroroso wala...

 

11 years ago

BBCSwahili

Rais wa Ukrain auhama mji mkuu wa Kiev

Rais wa Ukrain Victor Yanukovych ameondoka mjini kiev na anadaiwa kuwa mashariki mwa taifa hilo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Raia wafagia mji mkuu Burkina Faso

Raia wamejitokea Ouagadougou kuufagia mji huo baada ya wiki ya maandamano yaliyosababishwa na mapinduzi ya serikali.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi Burkina Faso walenga mji mkuu

Wakuu wa jeshi la Burkina Faso wametangaza kwamba wanaelekea Ouagadougou na kuwataka walioongoza mapinduzi kuweka silaha chini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani