Raia wafagia mji mkuu Burkina Faso
Raia wamejitokea Ouagadougou kuufagia mji huo baada ya wiki ya maandamano yaliyosababishwa na mapinduzi ya serikali.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili22 Sep
Jeshi la Burkina Faso lawasili mji mkuu
9 years ago
BBCSwahili21 Sep
Wanajeshi Burkina Faso walenga mji mkuu
10 years ago
BBCSwahili05 Nov
Utawala wa raia kurejea Burkina Faso?
10 years ago
StarTV04 Nov
Jeshi kukabidhi nchi raia Burkina Faso.
Jeshi nchini Burkina Faso lililochukua madaraka ya nchi hiyo limesema litarejesha madaraka kwa wananchi kwa njia ya kidemokrasia .
Kiongozi aliyechaguliwa na jeshi hilo kuongoza kwa muda Luteni Kanali Isaac Zida amewaambia wanadiplomasia kuwa pande zote mbili zitashirikishwa katika mchakato wa kumpata kiongozi wa kudumu wa taifa hilo.
Hata hivyo mkutano wa viongozi wa bara la Afrika uliofanyika mjini Adis Ababa umetoa wito kwa serikali ya muda inayoongozwa kijeshi kukabidhi madaraka kwa...
10 years ago
BBCSwahili04 Nov
Jehi kukabidhi Nchi Raia:Burkina Faso
10 years ago
BBCSwahili14 Nov
Utawala kurejeshwa kwa Raia Burkina Faso
9 years ago
BBCSwahili29 Nov
Uchaguzi mkuu unaendelea Burkina Faso
9 years ago
Mtanzania18 Sep
Rais, Waziri Mkuu wakamatwa Burkina Faso
OUAGADOUGOU, BURKINA FASO
WALINZI wa Ikulu nchini Burkina Faso wamemkamata Rais wa mpito, Michel Kafando na Waziri Mkuu Isaac Zida muda mchache tu baada ya jeshi kuivunjilia mbali serikali ya mpito.
Hatua hiyo ya jeshi imeitumbukiza nchi katika hali ya wasiwasi ikiwa ni wiki chache tu kabla uchaguzi wa kwanza kufanyika tangu kuondolewa madarakani kwa kiongozi wa zamani, Blaise Compaore.
Kukamatwa kwao kulisababisha maandamano barabarani hadi nje ya Ikulu, ambako viongozi hao walikuwa...
10 years ago
BBCSwahili06 Nov
Burkina Faso kufanya uchaguzi mkuu 2015