Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jeshi la Burkina Faso lawasili mji mkuu

Jeshi la Burkina Faso limewasili Ouagadougou likilenga kushurutisha walinzi wa rais waliopindua serikali kusalimu amri.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi Burkina Faso walenga mji mkuu

Wakuu wa jeshi la Burkina Faso wametangaza kwamba wanaelekea Ouagadougou na kuwataka walioongoza mapinduzi kuweka silaha chini.

 

9 years ago

BBCSwahili

Raia wafagia mji mkuu Burkina Faso

Raia wamejitokea Ouagadougou kuufagia mji huo baada ya wiki ya maandamano yaliyosababishwa na mapinduzi ya serikali.

 

10 years ago

BBCSwahili

Jeshi kuachia madaraka Burkina Faso

Jeshi nchini Burkina Faso limeahidi kuunda serikali ya umoja ili kusimamia mchakato wa kisiasa,

 

10 years ago

BBCSwahili

Burkina Faso:Jeshi lapuuza wito wa AU

Jeshi la Burkina Faso limepuuza wito wa AU wa kuachia madaraka kwa raia

 

9 years ago

BBCSwahili

Jeshi ladhibiti Kambi Burkina Faso

Serikali ya mpito ya Burkina Faso imesema imedhibiti Kambi ya Vikosi vya ulinzi vya Rais vilivyofanya mapinduzi mapema mwezi huu.

 

10 years ago

GPL

JESHI LAGAWANYIKA KUHUSU UONGOZI BURKINA FASO

Jenerali, Honore Traore, mkuu wa majeshi ya Burkina Faso akitangaza kuchukua madaraka ya nchi. Mgawanyiko umeripotiwa ndani ya jeshi la Burkina Faso kuhusu ni nani anayefaa kuliongoza taifa hilo kufuatia kujiuzulu kwa rais Blaise Campaore baada ya miaka 27 uongozini. Kituo kimoja cha radio kilitangaza taarifa kutoka kwa naibu mkuu wa kikosi cha kumlinda rais kanali Isaac Zida iliyosema kuwa amechukua jukumu la kuliongoza taifa...

 

10 years ago

StarTV

Jeshi kukabidhi nchi raia Burkina Faso.

Jeshi nchini Burkina Faso lililochukua madaraka ya nchi hiyo limesema litarejesha madaraka kwa wananchi kwa njia ya kidemokrasia .

 
Kiongozi aliyechaguliwa na jeshi hilo kuongoza kwa muda Luteni Kanali Isaac Zida amewaambia wanadiplomasia kuwa pande zote mbili zitashirikishwa katika mchakato wa kumpata kiongozi wa kudumu wa taifa hilo.

 
Hata hivyo mkutano wa viongozi wa bara la Afrika uliofanyika mjini Adis Ababa umetoa wito kwa serikali ya muda inayoongozwa kijeshi kukabidhi madaraka kwa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi mkuu unaendelea Burkina Faso

Wananchi wa Burkina Faso wanapiga kura leo kwenye uchaguzi mkuu wa kwanza katika kipindi cha zaidi ya miongo miwli.

 

9 years ago

Mtanzania

Rais, Waziri Mkuu wakamatwa Burkina Faso

kafando1OUAGADOUGOU, BURKINA FASO

WALINZI wa Ikulu nchini Burkina Faso wamemkamata Rais wa mpito, Michel Kafando na Waziri Mkuu Isaac Zida muda mchache tu baada ya jeshi kuivunjilia mbali serikali ya mpito.

Hatua hiyo ya jeshi imeitumbukiza nchi katika hali ya wasiwasi ikiwa ni wiki chache tu kabla uchaguzi wa kwanza kufanyika tangu kuondolewa madarakani kwa kiongozi wa zamani, Blaise Compaore.

Kukamatwa kwao kulisababisha maandamano barabarani hadi nje ya Ikulu, ambako viongozi hao walikuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani