Jeshi la Burkina Faso lawasili mji mkuu
Jeshi la Burkina Faso limewasili Ouagadougou likilenga kushurutisha walinzi wa rais waliopindua serikali kusalimu amri.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili21 Sep
Wanajeshi Burkina Faso walenga mji mkuu
9 years ago
BBCSwahili24 Sep
Raia wafagia mji mkuu Burkina Faso
10 years ago
BBCSwahili03 Nov
Jeshi kuachia madaraka Burkina Faso
10 years ago
BBCSwahili07 Nov
Burkina Faso:Jeshi lapuuza wito wa AU
9 years ago
BBCSwahili30 Sep
Jeshi ladhibiti Kambi Burkina Faso
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RqdQyZgpKtIE8aV4BhfzH5bcxVE1qL1lHuAdaBk2u5EV-lMEfGN6-E*KP0E2jWdgjy0*Xl8wwidH0J-BZZkmNrGhCrvlpMfM/mkuu1.jpg?width=650)
JESHI LAGAWANYIKA KUHUSU UONGOZI BURKINA FASO
10 years ago
StarTV04 Nov
Jeshi kukabidhi nchi raia Burkina Faso.
Jeshi nchini Burkina Faso lililochukua madaraka ya nchi hiyo limesema litarejesha madaraka kwa wananchi kwa njia ya kidemokrasia .
Kiongozi aliyechaguliwa na jeshi hilo kuongoza kwa muda Luteni Kanali Isaac Zida amewaambia wanadiplomasia kuwa pande zote mbili zitashirikishwa katika mchakato wa kumpata kiongozi wa kudumu wa taifa hilo.
Hata hivyo mkutano wa viongozi wa bara la Afrika uliofanyika mjini Adis Ababa umetoa wito kwa serikali ya muda inayoongozwa kijeshi kukabidhi madaraka kwa...
9 years ago
BBCSwahili29 Nov
Uchaguzi mkuu unaendelea Burkina Faso
9 years ago
Mtanzania18 Sep
Rais, Waziri Mkuu wakamatwa Burkina Faso
OUAGADOUGOU, BURKINA FASO
WALINZI wa Ikulu nchini Burkina Faso wamemkamata Rais wa mpito, Michel Kafando na Waziri Mkuu Isaac Zida muda mchache tu baada ya jeshi kuivunjilia mbali serikali ya mpito.
Hatua hiyo ya jeshi imeitumbukiza nchi katika hali ya wasiwasi ikiwa ni wiki chache tu kabla uchaguzi wa kwanza kufanyika tangu kuondolewa madarakani kwa kiongozi wa zamani, Blaise Compaore.
Kukamatwa kwao kulisababisha maandamano barabarani hadi nje ya Ikulu, ambako viongozi hao walikuwa...