Jeshi kukabidhi nchi raia Burkina Faso.
Jeshi nchini Burkina Faso lililochukua madaraka ya nchi hiyo limesema litarejesha madaraka kwa wananchi kwa njia ya kidemokrasia .
Kiongozi aliyechaguliwa na jeshi hilo kuongoza kwa muda Luteni Kanali Isaac Zida amewaambia wanadiplomasia kuwa pande zote mbili zitashirikishwa katika mchakato wa kumpata kiongozi wa kudumu wa taifa hilo.
Hata hivyo mkutano wa viongozi wa bara la Afrika uliofanyika mjini Adis Ababa umetoa wito kwa serikali ya muda inayoongozwa kijeshi kukabidhi madaraka kwa...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili04 Nov
Jehi kukabidhi Nchi Raia:Burkina Faso
10 years ago
BBCSwahili05 Nov
Utawala wa raia kurejea Burkina Faso?
9 years ago
BBCSwahili24 Sep
Raia wafagia mji mkuu Burkina Faso
10 years ago
BBCSwahili14 Nov
Utawala kurejeshwa kwa Raia Burkina Faso
10 years ago
BBCSwahili07 Nov
Burkina Faso:Jeshi lapuuza wito wa AU
9 years ago
BBCSwahili30 Sep
Jeshi ladhibiti Kambi Burkina Faso
10 years ago
BBCSwahili03 Nov
Jeshi kuachia madaraka Burkina Faso
9 years ago
BBCSwahili22 Sep
Jeshi la Burkina Faso lawasili mji mkuu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RqdQyZgpKtIE8aV4BhfzH5bcxVE1qL1lHuAdaBk2u5EV-lMEfGN6-E*KP0E2jWdgjy0*Xl8wwidH0J-BZZkmNrGhCrvlpMfM/mkuu1.jpg?width=650)
JESHI LAGAWANYIKA KUHUSU UONGOZI BURKINA FASO