JESHI LAGAWANYIKA KUHUSU UONGOZI BURKINA FASO
![](http://api.ning.com:80/files/RqdQyZgpKtIE8aV4BhfzH5bcxVE1qL1lHuAdaBk2u5EV-lMEfGN6-E*KP0E2jWdgjy0*Xl8wwidH0J-BZZkmNrGhCrvlpMfM/mkuu1.jpg?width=650)
Jenerali, Honore Traore, mkuu wa majeshi ya Burkina Faso akitangaza kuchukua madaraka ya nchi. Mgawanyiko umeripotiwa ndani ya jeshi la Burkina Faso kuhusu ni nani anayefaa kuliongoza taifa hilo kufuatia kujiuzulu kwa rais Blaise Campaore baada ya miaka 27 uongozini. Kituo kimoja cha radio kilitangaza taarifa kutoka kwa naibu mkuu wa kikosi cha kumlinda rais kanali Isaac Zida iliyosema kuwa amechukua jukumu la kuliongoza taifa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili01 Nov
Jeshi lagawanyika kuhusu uongozi B.Faso
9 years ago
BBCSwahili30 Sep
Jeshi ladhibiti Kambi Burkina Faso
10 years ago
BBCSwahili07 Nov
Burkina Faso:Jeshi lapuuza wito wa AU
10 years ago
BBCSwahili03 Nov
Jeshi kuachia madaraka Burkina Faso
10 years ago
StarTV04 Nov
Jeshi kukabidhi nchi raia Burkina Faso.
Jeshi nchini Burkina Faso lililochukua madaraka ya nchi hiyo limesema litarejesha madaraka kwa wananchi kwa njia ya kidemokrasia .
Kiongozi aliyechaguliwa na jeshi hilo kuongoza kwa muda Luteni Kanali Isaac Zida amewaambia wanadiplomasia kuwa pande zote mbili zitashirikishwa katika mchakato wa kumpata kiongozi wa kudumu wa taifa hilo.
Hata hivyo mkutano wa viongozi wa bara la Afrika uliofanyika mjini Adis Ababa umetoa wito kwa serikali ya muda inayoongozwa kijeshi kukabidhi madaraka kwa...
9 years ago
BBCSwahili22 Sep
Jeshi la Burkina Faso lawasili mji mkuu
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/80495000/jpg/_80495096_congo.jpg)
Congo v Burkina Faso
10 years ago
BBC16 Jan
Burkina Faso v Gabon
9 years ago
BBC21 Sep