Jeshi lagawanyika kuhusu uongozi B.Faso
Mgawanyiko umeripotiwa katika jeshi la Burkina Faso kuhusu anayefaa kuliongoza taifa hilo kufuatia kujiuzulu kwa Blaise Campaore
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RqdQyZgpKtIE8aV4BhfzH5bcxVE1qL1lHuAdaBk2u5EV-lMEfGN6-E*KP0E2jWdgjy0*Xl8wwidH0J-BZZkmNrGhCrvlpMfM/mkuu1.jpg?width=650)
JESHI LAGAWANYIKA KUHUSU UONGOZI BURKINA FASO
9 years ago
BBCSwahili30 Sep
Jeshi ladhibiti Kambi Burkina Faso
10 years ago
BBCSwahili07 Nov
Burkina Faso:Jeshi lapuuza wito wa AU
10 years ago
BBCSwahili03 Nov
Jeshi kuachia madaraka Burkina Faso
9 years ago
BBCSwahili22 Sep
Jeshi la Burkina Faso lawasili mji mkuu
10 years ago
BBCSwahili16 Nov
Jeshi latoa makataa kwa raia B Faso
10 years ago
StarTV04 Nov
Jeshi kukabidhi nchi raia Burkina Faso.
Jeshi nchini Burkina Faso lililochukua madaraka ya nchi hiyo limesema litarejesha madaraka kwa wananchi kwa njia ya kidemokrasia .
Kiongozi aliyechaguliwa na jeshi hilo kuongoza kwa muda Luteni Kanali Isaac Zida amewaambia wanadiplomasia kuwa pande zote mbili zitashirikishwa katika mchakato wa kumpata kiongozi wa kudumu wa taifa hilo.
Hata hivyo mkutano wa viongozi wa bara la Afrika uliofanyika mjini Adis Ababa umetoa wito kwa serikali ya muda inayoongozwa kijeshi kukabidhi madaraka kwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HO4gofJRXeI/XnXd9Zj662I/AAAAAAALko0/MEC-pDpcLyIUH50UqWJ6FP2dbaPpYDeDQCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1-9-768x458.jpg)
SIMBACHAWENE AONGOZA KIKAO KAZI NA UONGOZI WA JUU WA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-HO4gofJRXeI/XnXd9Zj662I/AAAAAAALko0/MEC-pDpcLyIUH50UqWJ6FP2dbaPpYDeDQCLcBGAsYHQ/s640/PIX-1-9-768x458.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PIX-2-6-1024x683.jpg)
Mkuu wa Kitengo cha Mipango,Utafiti na Takwimu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Kamishna Msaidizi, Maria Kulaya akizungumza wakati wa Kikao kazi na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (hayupo pichani), kilichofanyika katika Ukumbi wa Makao Makuu ya wizara, jijini Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PIX-3AA-7-1024x682.jpg)
Katibu Mkuu...
9 years ago
StarTV18 Aug
UONGOZI SIMBA:Wasubiri ripoti ya kocha Kerr kuhusu kambi.
Klabu ya soka ya Simba inasubiri ripoti ya kocha mkuu wa timu hiyo Dylan Kerr ambayo itaeleza wapi timu hiyo itaweka kambi ya mwisho ya kujiandaa na ligi kuu soka Tanzania bara.
Simba imesema ripoti hiyo itaeleza ni mchezaji gani anatakiwa kusajiliwa miongoni mwa wale waliopo klabuni hapo kwa ajili ya majaribio.
Haji Manara ni Afisa Habari wa Simba amesema baada ya kumaliza mchezo wao dhidi ya URA ambao waliutumia kuwapima baadhi ya wachezaji lakini ripoti ya kocha ndiyo itategua kitendawili...