Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rais, Waziri Mkuu wakamatwa Burkina Faso

kafando1OUAGADOUGOU, BURKINA FASO

WALINZI wa Ikulu nchini Burkina Faso wamemkamata Rais wa mpito, Michel Kafando na Waziri Mkuu Isaac Zida muda mchache tu baada ya jeshi kuivunjilia mbali serikali ya mpito.

Hatua hiyo ya jeshi imeitumbukiza nchi katika hali ya wasiwasi ikiwa ni wiki chache tu kabla uchaguzi wa kwanza kufanyika tangu kuondolewa madarakani kwa kiongozi wa zamani, Blaise Compaore.

Kukamatwa kwao kulisababisha maandamano barabarani hadi nje ya Ikulu, ambako viongozi hao walikuwa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi mkuu unaendelea Burkina Faso

Wananchi wa Burkina Faso wanapiga kura leo kwenye uchaguzi mkuu wa kwanza katika kipindi cha zaidi ya miongo miwli.

 

9 years ago

BBCSwahili

Raia wafagia mji mkuu Burkina Faso

Raia wamejitokea Ouagadougou kuufagia mji huo baada ya wiki ya maandamano yaliyosababishwa na mapinduzi ya serikali.

 

10 years ago

BBCSwahili

Burkina Faso kufanya uchaguzi mkuu 2015

Vyama vya siasa nchini Burkina Faso vimekubaliana kuwa na mwaka mmoja wa kuelekea mabadiliko ya kisiasa nchini humo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi Burkina Faso walenga mji mkuu

Wakuu wa jeshi la Burkina Faso wametangaza kwamba wanaelekea Ouagadougou na kuwataka walioongoza mapinduzi kuweka silaha chini.

 

9 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Burkina Faso lawasili mji mkuu

Jeshi la Burkina Faso limewasili Ouagadougou likilenga kushurutisha walinzi wa rais waliopindua serikali kusalimu amri.

 

10 years ago

GPL

RAIS WA BURKINA FASO AJIUZULU

Rais Blaise Compaore aliyejiuzulu. RAIS wa Burkina Faso, Blaise Compaore ametangaza kujiuzulu kufuatia vurugu za kisiasa zinazoendelea nchini humo. Jenerali Honore Traore.…

 

9 years ago

BBCSwahili

Burkina Faso yapata Rais mpya

Roch Marc Christian Kabore ameshinda uchaguzi mkuu wa nchi hiyo, kwa mujibu wa tume ya uchaguzi. Amepata zaidi ya asili mia 50

 

10 years ago

BBCSwahili

Burkina Faso yapata rais wa mpito

Aliyekuwa waziri wa mambo ya nje Burkina Faso Michel Kafando, ametajwa kuwa rais wa mpito nchini humo.

 

10 years ago

StarTV

Rais wa Burkina Faso asema atajiuzulu

Rais Blaise Compaore wa Burkina Faso amesema atajiuzulu baada ya miezi 12 ya serikali ya mpito.
Ameyasema hayo wakati akilihutubia taifa siku moja baada ya kutokea machafuko.

 

Wakati ambao pia Mkuu wa Majeshi wa nchi hiyo ametangaza kuivunja serikali ya nchi hiyo.
Katika hotuba yake aliyoitoa kupitia kituo binafsi cha Televisheni, Rais Compaore amesema ameuelewa ujumbe uliotolewa na waandamanaji na kwamba ataondoka madarakani baada ya kumalizika kwa kipindi cha mpito cha miezi miezi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani