Rais wa Burkina Faso asema atajiuzulu
Rais Blaise Compaore wa Burkina Faso amesema atajiuzulu baada ya miezi 12 ya serikali ya mpito.
Ameyasema hayo wakati akilihutubia taifa siku moja baada ya kutokea machafuko.
Wakati ambao pia Mkuu wa Majeshi wa nchi hiyo ametangaza kuivunja serikali ya nchi hiyo.
Katika hotuba yake aliyoitoa kupitia kituo binafsi cha Televisheni, Rais Compaore amesema ameuelewa ujumbe uliotolewa na waandamanaji na kwamba ataondoka madarakani baada ya kumalizika kwa kipindi cha mpito cha miezi miezi...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TgHj0KqUN*sARgZjugbf0e8SybLB-YikgdSrR92I8d9ycOt7ZMupIoFLni8KVqBlElVOJgOO9jXzc3QuT4Q1*brDIiLSvJiP/BlaiseCompaore4.jpg?width=650)
RAIS WA BURKINA FASO AJIUZULU
9 years ago
BBCSwahili18 Sep
Rais wa Senegal kupatanisha Burkina Faso
9 years ago
BBCSwahili01 Dec
Burkina Faso yapata Rais mpya
10 years ago
BBCSwahili17 Nov
Burkina Faso yapata rais wa mpito
9 years ago
BBCSwahili29 Dec
Rais mpya wa Burkina Faso kuapishwa leo
10 years ago
BBCSwahili31 Oct
Jen.Traore ajitangaza rais Burkina Faso
9 years ago
BBCSwahili23 Sep
Rais Kafando arudi mamlakani Burkina Faso
9 years ago
BBCSwahili23 Sep
Walinzi wa rais Burkina Faso wasalimu amri
10 years ago
BBCSwahili31 Oct
Rais wa Burkina Faso ameng'olewa mamlakani