Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanajeshi Burkina Faso walenga mji mkuu

Wakuu wa jeshi la Burkina Faso wametangaza kwamba wanaelekea Ouagadougou na kuwataka walioongoza mapinduzi kuweka silaha chini.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Raia wafagia mji mkuu Burkina Faso

Raia wamejitokea Ouagadougou kuufagia mji huo baada ya wiki ya maandamano yaliyosababishwa na mapinduzi ya serikali.

 

9 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Burkina Faso lawasili mji mkuu

Jeshi la Burkina Faso limewasili Ouagadougou likilenga kushurutisha walinzi wa rais waliopindua serikali kusalimu amri.

 

9 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi mkuu unaendelea Burkina Faso

Wananchi wa Burkina Faso wanapiga kura leo kwenye uchaguzi mkuu wa kwanza katika kipindi cha zaidi ya miongo miwli.

 

10 years ago

BBCSwahili

Burkina Faso kufanya uchaguzi mkuu 2015

Vyama vya siasa nchini Burkina Faso vimekubaliana kuwa na mwaka mmoja wa kuelekea mabadiliko ya kisiasa nchini humo.

 

9 years ago

Mtanzania

Rais, Waziri Mkuu wakamatwa Burkina Faso

kafando1OUAGADOUGOU, BURKINA FASO

WALINZI wa Ikulu nchini Burkina Faso wamemkamata Rais wa mpito, Michel Kafando na Waziri Mkuu Isaac Zida muda mchache tu baada ya jeshi kuivunjilia mbali serikali ya mpito.

Hatua hiyo ya jeshi imeitumbukiza nchi katika hali ya wasiwasi ikiwa ni wiki chache tu kabla uchaguzi wa kwanza kufanyika tangu kuondolewa madarakani kwa kiongozi wa zamani, Blaise Compaore.

Kukamatwa kwao kulisababisha maandamano barabarani hadi nje ya Ikulu, ambako viongozi hao walikuwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mapinduzi Burkina Faso

Jeshi la Burkina Faso limefyatua risasi hewani kuwatawanya waandamanaji nje ya kituo cha Televisheni mjini Ouagadougou.

 

10 years ago

BBC

Burkina Faso v Gabon

Preview followed by live coverage of Saturday's Africa Cup of Nations game between Burkina Faso and Gabon.

 

9 years ago

BBCSwahili

Maandamano Burkina Faso

Raia nchini Burkina Faso wamekuwa wakiandamana Ouagadougou kupinga hatua ya walinzi wa rais ya kupindua serikali ya nchi hiyo.

 

12 years ago

BBC

Burkina Faso profile

Provides an overview, key facts and history of this West African nation

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani