Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Madai ya ufisadi yakumba soka ya Ghana

Shirikisho la soka nchini Ghana limewataka maafisa wa polisi kuingilia kati baada ya madai ya ufisadi kukumba mmoja wa afisa wake.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Mafuriko yakumba mji mkuu wa Ghana

Mafuriko yamerudi tena katika mji mkuu wa Ghana ,Accra baada ya saa mbili za mvua kubwa mapema siku ya Ijumaa kulingana na mwandishi wa BBC Sammy Darko.

 

9 years ago

BBCSwahili

Lamorde akanusha madai ya ufisadi

Mkurugenzi mkuu wa shirika la kupambana na ufisadi nchini Nigeria akanusha madai kuwa zaidi ya $5bn zimetoweka kutoka shirika hilo

 

10 years ago

BBCSwahili

FIFA:Madai mapya ya ufisadi yazuka

Madai mapya ya ufisadi uliofanyika wakati wa shughuli ya kuwatafuta waandalizi wa kombe la dunia la mwaka 2018 na 2022 yamezuka

 

11 years ago

BBCSwahili

Madai ya ufisadi dhidi ya FIFA yatolewa

Madai mapya ya ufisadi yametolewa dhidi ya shirikisho la soka duniani FIFA kuhusiana na maandalizi ya Qatar.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ghana yakanusha madai ya ukimbizi Brazil

Serikali ya Ghana imedai kuwa kashfa kwa mashabiki wa Ghana kuomba hifadhi ya Ukimbizi nchini Brazil

 

9 years ago

BBCSwahili

Ufisadi:Majaji 7 wasimamishwa kazi Ghana

Majaji saba wa mahakama ya juu nchi Ghana kati ya 12 wamesimamishwa kazi kwa mda kufuatia madai ya kuhusika katika ufisadi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Afisa wa juu wa Shirikisho la Soka Nigeria ahojiwa kwa madai ya ubadhirifu wa pesa

Makamu rais wa Shirikisho la Soka Nigeria, Seyi Akinwunmi, aachiliwa na tume ya kupambana na ufisadi baada ya kuhojiwa.

 

9 years ago

StarTV

Mwili waharibika kwa madai ya kuhifadhiwa chini kwa  madai ya uzembe Sekou Toure

Mwili wa kijana aliyekuwa akiishi mitaani jijini Mwanza marehemu Baraka Hamisi hatimaye umezikwa baada ya kukosa hifadhi katika jokofu la maiti kwa takribani siku sita katika Hospitali ya Mkoa wa Mwanza Sekou Toure

Marehemu Bakari Hamisi mwenye umri wa miaka 22 kijana wa mitaani aliyekuwa akijishughulisha na biashara ndogondogo alifariki dunia alipokuwa akipelekwa hospitalini hapo na vijana wenzake wa mitaani kwa ajili ya kupata matibabu.

Awali kabla ya kufikwa na mauti, vijana wenzake wa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mafuriko yakumba mataifa ya Balkan

Juhudi za kuyadhibiti mafuriko mabaya zaidi ambayo yamewaathiri maelfu ya raia wa mataifa ya balkan zinaendelea.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani