Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Afisa wa juu wa Shirikisho la Soka Nigeria ahojiwa kwa madai ya ubadhirifu wa pesa

Makamu rais wa Shirikisho la Soka Nigeria, Seyi Akinwunmi, aachiliwa na tume ya kupambana na ufisadi baada ya kuhojiwa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Afisa wa soka Nigeria auawa kwa risasi

Afisa wa shirikisho la soka la Nigeria Ibrahim Abubakar amepigwa risasi na kuuawa kwenye nyumba yake mjini Abuja.

 

9 years ago

BBCSwahili

Nigeria yamkamata afisa aliyeiba pesa

Wakuu nchini Nigeria wamemkamata afisa wa zamani anayeshtumiwa kuiba dola bilioni mbili zilizonuiwa kupambana na Boko Haram

 

9 years ago

StarTV

Mwili waharibika kwa madai ya kuhifadhiwa chini kwa  madai ya uzembe Sekou Toure

Mwili wa kijana aliyekuwa akiishi mitaani jijini Mwanza marehemu Baraka Hamisi hatimaye umezikwa baada ya kukosa hifadhi katika jokofu la maiti kwa takribani siku sita katika Hospitali ya Mkoa wa Mwanza Sekou Toure

Marehemu Bakari Hamisi mwenye umri wa miaka 22 kijana wa mitaani aliyekuwa akijishughulisha na biashara ndogondogo alifariki dunia alipokuwa akipelekwa hospitalini hapo na vijana wenzake wa mitaani kwa ajili ya kupata matibabu.

Awali kabla ya kufikwa na mauti, vijana wenzake wa...

 

10 years ago

Michuzi

Ma-sensei watano waliotunukiwa ngazi za juu za karate watoa shukurani kwa Shirikisho la Karate Tanzania

 Walimu  (ma-Sensei) watano toka Tanzania, yaani Sensei Dudley Mawalla, Sensei Daud Magoma, Sensei Kheri Kivuli, Sensei Edgar Kaliboti na Sensei Rumadha Fundi, wanatoa shukrani  nyingi sana kwa  kupewa dhamana kubwa ya heshima na vyeo vya ngazi za juu toka shirikisho la Karate Tanzania (Tanzania Karate-Do Federation).  Chini ya uongozi wa mwenyekiti Sensei Geofrey Kalonga na katibu mkuu wake Sensei Phillip Chikoko, wana-sema ma-Sensei hao katika waraka ulioandikwa na Sensei Rumadha...

 

10 years ago

BBCSwahili

TFF yapongeza Shirikisho la soka la Mali

Rais wa Shrikisho la Mpira wa Miguu nchini Tanzania Jamal Malinzi ametuma salama za pongezi kwa Rais Boubacar Diara wa Mali.

 

11 years ago

Michuzi

KUTOKA SHIRIKISHO LA SOKA NCHINI (TFF) LEO

Ratiba za michezo mbali mbali

 

10 years ago

Vijimambo

TAARIFA KUTOKA SHIRIKISHO LA SOKA NCHINI ( TFF )


Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini TFF imeketi katika ukumbi uliopo makao makuu ya Shirikisho uwanja wa Karume. 

Kamati ya Utendaji imepitia masuala mbalimbali na kutoa maamuzi yafuatayo: 

     CLUB LICENCING (Leseni za vilabu) 

Kamati ya Utendaji imeiagiza sekretarieti ivisisitize vilabu vya Ligi Kuu umuhimu wa kukamilisha maombi yao ya ushiriki wa ligi kuu kwa msimu wa 2015/16 kwa kuwasilisha fomu za maombi ya Leseni za vilabu TFF. Klabu ambayo haitakamilisha mchakato...

 

11 years ago

Michuzi

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani