Nigeria yamkamata afisa aliyeiba pesa
Wakuu nchini Nigeria wamemkamata afisa wa zamani anayeshtumiwa kuiba dola bilioni mbili zilizonuiwa kupambana na Boko Haram
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili29 Feb
Afisa wa juu wa Shirikisho la Soka Nigeria ahojiwa kwa madai ya ubadhirifu wa pesa
Makamu rais wa Shirikisho la Soka Nigeria, Seyi Akinwunmi, aachiliwa na tume ya kupambana na ufisadi baada ya kuhojiwa.
10 years ago
BBCSwahili20 Jul
Nigeria: afisa wa usalama apekuliwa
Nyumba za mshauri wa zamani wa usalama Nigeria zavamiwa kwa upekuzi
9 years ago
BBCSwahili06 Jan
Afisa wa soka Nigeria auawa kwa risasi
Afisa wa shirikisho la soka la Nigeria Ibrahim Abubakar amepigwa risasi na kuuawa kwenye nyumba yake mjini Abuja.
10 years ago
BBCSwahili17 Oct
Polisi brazil yamkamata muuaji
Polisi nchini Brazili wamemkamata mwanamume mmoja aliyekiri kwa kinywa chake kuua watu wapatao thelathini na tisa.
9 years ago
BBCSwahili06 Jan
Waziri ashtakiwa pesa za Boko Haram Nigeria
Waziri wa ulinzi wa zamani nchini Nigeria, Bello Haliru Mohammed, ameshtakiwa kutumia vibaya pesa za umma.
10 years ago
BBCSwahili24 Sep
Pesa za silaha zaibua zahma bungeni Nigeria
Wabunge nchini Nigeria waliondoka bungeni kwa hasira baada ya mjadala kuhusu pesa za kununua silaha kuzimwa.
11 years ago
BBCSwahili14 Jan
Daktari aliyeiba watoto ahukumiwa China
Aliwaiba watoto saba kutoka hospitali aliyokuwa akihudumu na kuwauza watoto hao kwa wanaofanya biashara haramu ya kuuza binadamu.
9 years ago
BBCSwahili11 Oct
Aliyeiba dola Milioni 100 arejeshwa China
Shirika la habari la taifa la Uchina, linaarifu kuwa afisa wa zamani ambaye anashutumiwa kwa ufisadi mamilioni ya dola, amerejeshwa nyumbani
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/RHrwGmoxFnQ/default.jpg)
Wateja wa Tigo Pesa sasa wanaweza kutuma na kupokea pesa kutoka M-PESA ya Kenya, MTN nchini Uganda, Airtel na MTN nchini Rwanda
Tigo Tanzania, kampuni inayoongoza kwa ubunifu wa Kidigitali nchini, leo imezindua huduma inayowawezesha watumiaji wote wa Tigo Pesa nchini Tanzania kuweza kutuma na kupokea pesa kupitia simu zao za mkononi kutoka M-PESA ya Kenya, MTN nchini Uganda, Airtel na MTN za nchini Rwanda.
Huduma hii ni wazi sasa kwamba inawaunganisha wateja wa Tigo Pesa na mitandao mingine mikubwa ya mawasiliano katika ukanda wa Afrika Mashariki inayotoa huduma za kifedha kupitia simu za mkononi hatua ambayo itakuza...
Huduma hii ni wazi sasa kwamba inawaunganisha wateja wa Tigo Pesa na mitandao mingine mikubwa ya mawasiliano katika ukanda wa Afrika Mashariki inayotoa huduma za kifedha kupitia simu za mkononi hatua ambayo itakuza...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania