Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pesa za silaha zaibua zahma bungeni Nigeria

Wabunge nchini Nigeria waliondoka bungeni kwa hasira baada ya mjadala kuhusu pesa za kununua silaha kuzimwa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mnasema silaha pesa, bunduki mzigo! ..M’mebugi meeen

Katika ishu zilizokuwa zinanizingua kipindi niko skonga mwanangu, zilikuwa ishu za kubeba vidumu vya maji kwa ajili ya kwenda kumwagilia na nini, si unazijua ishu zile?

 

10 years ago

Habarileo

Muswada wa udhibiti silaha watua bungeni

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Pereira Ame SilimaSERIKALI imewasilisha Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Silaha na Risasi wa mwaka 2014 bungeni, ambao pamoja na kuweka kikomo cha umri wa kumiliki silaha, pia umepiga marufuku na kudhibiti uingizwaji na uuzwaji wa silaha bandia nchini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria yapanga kuunda silaha zake

Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari ameiamuru wizara ya ulinzi kujenga uwezo wa taifa hilo kujitengenezea silaha zake

 

10 years ago

BBCSwahili

Ndege iliyobeba silaha yakamatwa Nigeria

Ndege ya mizigo iliyosheheni silaha za kivita imekamatwa katika uwanja wa ndege wa Kano nchini Nigeria.

 

5 years ago

CCM Blog

MAKUMI WAUAWA KATIKA HUJUMA YA WABEBA SILAHA NIGERIA

Makumi wauawa katika hujuma ya wabeba silaha NigeriaMakumi ya watu wameuawa katika shambulizi la watu waliojizatiti kwa silaha katika jimbo la Katsina, kaskazini magharibi mwa Nigeria.Sanusi Buba, Kamishna wa Polisi katika jimbo hilo amethibitisha habari za mauaji hayo, lakini amebainisha kuwa vyombo vya usalama vimeanzisha uchunguzi ili kuwatambua na kuwafikisha mbele ya sheria wahusika wa jinai hiyo.Hakuna kundi lolote lililotangaza kuhusika na shambulizi hilo, ingawaje kundi la kigaidi la Boko Haram na magenge mengine ya kitakfiri yenye...

 

9 years ago

BBCSwahili

Nigeria yamkamata afisa aliyeiba pesa

Wakuu nchini Nigeria wamemkamata afisa wa zamani anayeshtumiwa kuiba dola bilioni mbili zilizonuiwa kupambana na Boko Haram

 

9 years ago

BBCSwahili

Waziri ashtakiwa pesa za Boko Haram Nigeria

Waziri wa ulinzi wa zamani nchini Nigeria, Bello Haliru Mohammed, ameshtakiwa kutumia vibaya pesa za umma.

 

5 years ago

BBCSwahili

Afisa wa juu wa Shirikisho la Soka Nigeria ahojiwa kwa madai ya ubadhirifu wa pesa

Makamu rais wa Shirikisho la Soka Nigeria, Seyi Akinwunmi, aachiliwa na tume ya kupambana na ufisadi baada ya kuhojiwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Watu wenye silaha wavamia kituo cha polisi Dar, waua, waiba silaha

>Watu wenye silaha wamevamia kituo cha polisi cha Staki Shari jijini Dar es Salaam ambapo katika tukio hilo, watu saba wameripotiwa kuuawa, huku silaha zilizokuwepo katika kituo hicho zikiibwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani