Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ndege iliyobeba silaha yakamatwa Nigeria

Ndege ya mizigo iliyosheheni silaha za kivita imekamatwa katika uwanja wa ndege wa Kano nchini Nigeria.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

CloudsFM

Ripoti: Ndege ya Algeria iliyobeba watu 116 imethibitishwa kuwa imeanguka

Ndege ya shirika la Algeria iliyokuwa imebeba abiria 116 ambayo awali iliripotiwa kuwa imepoteza mawasiliano kwa zaidi ya dakika 50 imethibitishwa kuwa imeanguka.

Kwa mujibu wa Aljazeera, maafisa wa Algeria wamethibitisha kuwa ndege hiyo iliyokuwa ikisafiri kutoka Burkina Faso kwenda katika mji mkuu wa Algeria, Algiers imeanguka Kusini mwa Mali.

Maafisa wa serikali ya Ufaransa wameeleza kuwa ndege hiyo AH5017 ilipotea kwenye radar katika eneo la Mali baada ya mvua kubwa kunyesha na...

 

11 years ago

Bongo5

Ndege iliyobeba wanajeshi wa Marekani yalazimika kutua kwa dharura barabarani Uganda

Ikiwa hata saa 24 hazijatimia toka taarifa ya kuanguka kwa ndege nyingine ya Malaysia jana huko Ukraine, ndege nyingine ndogo imelazimika kutua kwa dharura barabarani leo (July 18) nchini Uganda. Ndege hiyo aina ya N604AR, iliyokuwa imewabeba wanajeshi wa Marekani, ilitua katika eneo la Kiwawu umbali wa kilomita 22 kutoka wilaya ya Mityana na kuathiri […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria yapanga kuunda silaha zake

Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari ameiamuru wizara ya ulinzi kujenga uwezo wa taifa hilo kujitengenezea silaha zake

 

11 years ago

BBCSwahili

Pesa za silaha zaibua zahma bungeni Nigeria

Wabunge nchini Nigeria waliondoka bungeni kwa hasira baada ya mjadala kuhusu pesa za kununua silaha kuzimwa.

 

5 years ago

CCM Blog

MAKUMI WAUAWA KATIKA HUJUMA YA WABEBA SILAHA NIGERIA

Makumi wauawa katika hujuma ya wabeba silaha NigeriaMakumi ya watu wameuawa katika shambulizi la watu waliojizatiti kwa silaha katika jimbo la Katsina, kaskazini magharibi mwa Nigeria.Sanusi Buba, Kamishna wa Polisi katika jimbo hilo amethibitisha habari za mauaji hayo, lakini amebainisha kuwa vyombo vya usalama vimeanzisha uchunguzi ili kuwatambua na kuwafikisha mbele ya sheria wahusika wa jinai hiyo.Hakuna kundi lolote lililotangaza kuhusika na shambulizi hilo, ingawaje kundi la kigaidi la Boko Haram na magenge mengine ya kitakfiri yenye...

 

10 years ago

Mwananchi

Watu wenye silaha wavamia kituo cha polisi Dar, waua, waiba silaha

>Watu wenye silaha wamevamia kituo cha polisi cha Staki Shari jijini Dar es Salaam ambapo katika tukio hilo, watu saba wameripotiwa kuuawa, huku silaha zilizokuwepo katika kituo hicho zikiibwa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ndege ya Uingereza yaharibikia Nigeria

Ndege ya Uingereza iliyokuwa katika harakati za kutafuta zaidi ya wasichana 200 waliotekwa nyara nchini Nigeria, imelazimika kutua nchini Senegal kutokana na hitilafu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ndege ya kijeshi yaanguka Nigeria

Helikopta ya kijeshi ya Nigeria imeanguka katika eneo la kaskazini mashariki mwa nchi hiyo

 

11 years ago

BBCSwahili

Maajabu ya Ndege kugeuka mtu Nigeria

Kisa cha kushangaza kilitokea nchini Nigeria ambapo mwanamke mmoja alipewa kichapo cha Mbwa hadi akafariki kwa madai ya uchawi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani