Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maajabu ya Ndege kugeuka mtu Nigeria

Kisa cha kushangaza kilitokea nchini Nigeria ambapo mwanamke mmoja alipewa kichapo cha Mbwa hadi akafariki kwa madai ya uchawi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Yajue maajabu ya ndege zisizotumia rubani

Shirika la Ujasusi la Israel Mossad limetoa tangazo fulani la kazi kwa njia ya video. Kwenye video hiyo wanaonyesha ndege isiyo na rubani (drone) inavyomfuatilia mtu na kumpiga picha kwa matumizi yake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mtu azikwa ndani ya gari lake Nigeria

Katika siku za hivi karibuni picha za mtu ambaye alizikwa ndani ya gari aina ya Hummer SUV Jeep nchini Nigeria zimekuwa zikienea .

 

11 years ago

BBCSwahili

Ndege ya Uingereza yaharibikia Nigeria

Ndege ya Uingereza iliyokuwa katika harakati za kutafuta zaidi ya wasichana 200 waliotekwa nyara nchini Nigeria, imelazimika kutua nchini Senegal kutokana na hitilafu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ndege ya kijeshi yaanguka Nigeria

Helikopta ya kijeshi ya Nigeria imeanguka katika eneo la kaskazini mashariki mwa nchi hiyo

 

10 years ago

BBCSwahili

Ndege iliyobeba silaha yakamatwa Nigeria

Ndege ya mizigo iliyosheheni silaha za kivita imekamatwa katika uwanja wa ndege wa Kano nchini Nigeria.

 

11 years ago

BBCSwahili

Nigeria kutumia ndege dhidi ya Boko.H

Polisi nchini Nigeria, wanasema kuwa inanunua ndege tatu za kufuatilia shughuli za kundi la wapiganaji wa kiisilam la Boko Haram.

 

10 years ago

Vijimambo

NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA DELTA YAPATA AJALI UWANJA WA NDEGE LAGUARDIA NEW YORK

Ndege ya shirika la ndege la Delta leo AlhamisI March 5, 2015 imepata ajali ya kuteleza kwenye theluji ilipokua ikitua kwenye uwanja wa ndege wa LaGuardia wa New York, ndege hiyo iliyokua ikitokea Atlanta iliacha njia na kugonga uzio wa seng'enge ya waya kama inavyoonekana kwenye picha na msemaji wa zima moto ameripoti hakuna mtu aliyekufa kwenye ajali hiyo isipokua baadhi ya ya abiria wamepata majeraha ya kawaida na walikimbizwa hospitali kwa matibabu na kwa sasa uwanja huo umefungwa kwa...

 

10 years ago

Habarileo

Mpwapwa kugeuka jangwa?

WILAYA ya Mpwapwa iko hatarini kugeuka jangwa, kutokana na wananchi wanaojihusisha na kilimo katika wilaya hiyo kukosa mbinu za kilimo cha kuhifadhi mazingira.

 

11 years ago

Mwananchi

Kiteto hatarini kugeuka jangwa

Kiteto ni moja ya wilaya tano za Mkoa wa Manyara, ambayo miaka 10 tu iliyopita ilikuwa ni kati ya wilaya zilizokuwa na misitu katika maeneo mengi na hivyo kuwa na mvua za uhakika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani