Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nigeria kutumia ndege dhidi ya Boko.H

Polisi nchini Nigeria, wanasema kuwa inanunua ndege tatu za kufuatilia shughuli za kundi la wapiganaji wa kiisilam la Boko Haram.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria na mikakati dhidi ya Boko Haram

Serikali ya Nigeria na nchi nyengine nne majirani zimekubaliana kuunda jeshi la pamoja ili kupambana na wapiganaji wa Boko Haram.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kenya kutumia ndege kupambana na ujangili

Kenya inajiandaa kuanzisha mradi wa kutumia ndege zisizokuwa na rubani kuimarisha ulinzi katika mbuga za wanyama, kutokana na kuongezeka kwa ujangili

 

10 years ago

BBCSwahili

Uturuki kuzuia ndege kutumia anga lake

Waziri wa masuala ya kigeni wa Uturuki Mevlut Cavusoglu amesema hawategemei kuongoza mashambulizi ya ardhini dhidi ya IS

 

11 years ago

BBCSwahili

Urusi yaonya dhidi ya kutumia jeshi

Kikao cha dharura cha umoja wa mataifa chajadili kudorora kwa usalama Ukraine

 

11 years ago

BBCSwahili

Viongozi watangaza vita dhidi ya Boko: H

Viongozi wa Afrika wanaokutana mjini Paris Ufaransa wamekubaliana kutangaza vita dhidi ya kundi la wapiganaji wa kiisilamu la Boko Haram.

 

10 years ago

BBCSwahili

Chad yafanikiwa dhidi ya Boko Haram

Jeshi nchini Chad linaendelea kufanya mashambulizi dhidi ya wanamgambo wa Boko Haram eneo la kaskazini mashariki mwa Nigeria.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ushirikiano dhidi ya Boko Haram waanza

Viongozi wa mataifa ya Afrika Magharibi waliopo mjini Paris,wamekubaliana kuimarisha ushirikiano dhidi ya Boko Haram.

 

11 years ago

Mwananchi

TEKNOLOJIA: Tanzania tunaweza kutumia ndege zisizotumia rubani

>Hatujaifikia teknolojia hiyo, lakini tunaweza kuwekeza katika ubunifu na kufikia mahali pa kutengeneza au kuzitumia katika shughuli mbalimbali. Nazungumzia ndege zisizo na rubani maarufu kwa jina la ‘Drones’.

 

10 years ago

Mwananchi

Upinzani waja juu Magufuli kutumia ndege ya Serikali

>Wanasiasa wa upinzani nchini wamepinga kitendo cha mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli kutumia ndege ya Serikali kwenye shughuli za kichama za kujitambulisha wakisema hatua hiyo ni matumizi mabaya ya rasilimali za Taifa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani