Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Viongozi watangaza vita dhidi ya Boko: H

Viongozi wa Afrika wanaokutana mjini Paris Ufaransa wamekubaliana kutangaza vita dhidi ya kundi la wapiganaji wa kiisilamu la Boko Haram.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Vita dhidi ya ebola ni mapambano dhidi ya adui asiyeonekana

Tangu kuzuka kwa ugonjwa wa ebola nchini Guinea mwezi Machi mwaka huu, watu 2,500 wamefariki dunia kutokana na virusi vyake, zaidi ya nusu ni raia wa Liberia.

 

11 years ago

BBCSwahili

Vita dhidi ya Al Shabaab

Majeshi ya Umoja wa Afrika ya Kulinda amani nchini Somalia yameshambuiwa na bomu la kutegwa kando ya barabara katika mji wa Kismayo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Vita dhidi ya Tumbaku

Tumbaku huchangia asilimia kumi ya pato la kitaifa la Zimbabawe.Nchini Malawi huwa ni asilimia 15.

 

10 years ago

Habarileo

Vita dhidi ya ugaidi kuimarishwa

Rais Jakaya KikweteLICHA ya jeshi la polisi kuwakamata watuhumiwa 84 wa matukio ya kigaidi nchini na 17 kati yao kufunguliwa mashitaka, Rais Jakaya Kikwete amelitaka jeshi hilo kuendelea kujipanga kukabiliana na aina yoyote ya tishio la kigaidi, huku akisema Serikali itaendelea kuliwezesha katika kukabiliana nao.

 

11 years ago

BBCSwahili

Vita dhidi ya homa ya Ebola

Viongozi wa Afrika wanakutana nchini Ghana kujadili mamna ya kukabiliana na ugonjwa huu ambao umezua taharuki Afrika Magharibi

 

11 years ago

BBCSwahili

AU yazidisha vita dhidi ya Al Shabaab

Mamia ya wanajeshi wa AU wanaukaribia mji muhimu wa Koryoley,ambao umekuwa chini ya Al Shabaab kwa miaka 5

 

11 years ago

BBCSwahili

Vita dhidi ya magenge DRC

Katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, Kinshasa, polisi wamekuwa wakipambana na magenge ya majambazi mitaani

 

10 years ago

BBCSwahili

Vita dhidi ya mauaji ya Albino TZ

Kampeni kubwa imezinduliwa Tanzania, iliyoongozwa na rais wa nchi hiyo Jakaya Kikwete, kuchangisha pesa kuwalinda albino.

 

10 years ago

BBCSwahili

Uingereza yajiunga na vita dhidi ya IS

Uingereza itajiunga na kampeni ya mashambulizi nchini Iraq baada ya wabunge wengi wa taifa hilo kuunga mkono hatua hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani