Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vita dhidi ya magenge DRC

Katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, Kinshasa, polisi wamekuwa wakipambana na magenge ya majambazi mitaani

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Vita dhidi ya ebola ni mapambano dhidi ya adui asiyeonekana

Tangu kuzuka kwa ugonjwa wa ebola nchini Guinea mwezi Machi mwaka huu, watu 2,500 wamefariki dunia kutokana na virusi vyake, zaidi ya nusu ni raia wa Liberia.

 

10 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete: Shutuma dhidi ya Tanzania DRC ni za kudharauliwa

Jakaya-Kikwete

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.

-Ni kusadikika tu kwa watu wanaojipa kazi ya kufikiria kwa niaba ya Tanzania

Tanzania imesema kuwa ni jambo la kusadikika na kufikirika tu kwa baadhi ya watu kudai kuwa haiko tayari kukabiliana na vikundi vya uasi na ugaidi (negative forces) vilivyobakia vikivuruga amani na kusababisha ukosefu wa utulivu ndani ya nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC).

Badala yake, Tanzania inaendelea kuwa tayari...

 

11 years ago

BBCSwahili

Vita dhidi ya Tumbaku

Tumbaku huchangia asilimia kumi ya pato la kitaifa la Zimbabawe.Nchini Malawi huwa ni asilimia 15.

 

11 years ago

BBCSwahili

Vita dhidi ya Al Shabaab

Majeshi ya Umoja wa Afrika ya Kulinda amani nchini Somalia yameshambuiwa na bomu la kutegwa kando ya barabara katika mji wa Kismayo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Vita dhidi ya IS vyaigharimu Marekani

Marekani imetumia zaidi ya dola bilioni 2.5 katika kufadhili vita dhidi ya Islamic State, kupitia kutekeleza mashambulizi ya angani nchini Iraq na Syria tangu mwezi Agosti mwaka jana.

 

11 years ago

BBCSwahili

Vita dhidi ya ubakaji vitani

Ubakaji kama silaha ya vita, sasa inalengwa kwa wanawake na ni mojawapo ya uhalifu mkubwa uliotendwa katika karne ya ishirini na ya ishirini na moja.

 

11 years ago

BBCSwahili

AU yazidisha vita dhidi ya Al Shabaab

Mamia ya wanajeshi wa AU wanaukaribia mji muhimu wa Koryoley,ambao umekuwa chini ya Al Shabaab kwa miaka 5

 

10 years ago

BBCSwahili

Vita dhidi ya mauaji ya Albino TZ

Kampeni kubwa imezinduliwa Tanzania, iliyoongozwa na rais wa nchi hiyo Jakaya Kikwete, kuchangisha pesa kuwalinda albino.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kikwete:Vita dhidi ya ujangili

Rais Jakaya Kikwete alihudhuria mkutano wa kimataifa kuhusu wanyamaporti mjini London

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani