Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nigeria yapanga kuunda silaha zake

Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari ameiamuru wizara ya ulinzi kujenga uwezo wa taifa hilo kujitengenezea silaha zake

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

DK SHEIN AENDELEA NA KAMPENI ZAKE NA KUSEMA ATAENDELEZA KUUNDA SERIKALI YA UMOJA WA KITAIFA

Mgombea Urais wa Zanzibar Kupitia Chama cha Mapinduzi pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Viongozi wa CCM Zanzibar alipowasili katika viwanja vya Mpira Konde Kisiwani Pemba kuendelea na Kampeni Kisiwani Pemba.Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein, akiwasalimia Wananchi waliofika katika uwanja wa kunde kuhudhuria mkutano wa Kampeni ya Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Shein.wakati akiwasili katika viwanja hivyo vya mpira Konde...

 

11 years ago

BBCSwahili

Libya yaharibu silaha zake za sumu

Libya yakamilisha uharibifu wa silaha za kemikali ya sumu katika mpango ulioanza miaka tisa iliyopita.

 

10 years ago

Mwananchi

Simba kuanika silaha zake leo

Kocha wa Simba, Dylan Kerr ataitumia siku ya klabu hiyo kuonyesha wapinzani wake matokeo ya mazoezi ya Lushoto na Zanzibar, ingawa kikubwa zaidi ni kuonyesha wachezaji ambao klabu hiyo itawatumia msimu ujao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ndege iliyobeba silaha yakamatwa Nigeria

Ndege ya mizigo iliyosheheni silaha za kivita imekamatwa katika uwanja wa ndege wa Kano nchini Nigeria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Pesa za silaha zaibua zahma bungeni Nigeria

Wabunge nchini Nigeria waliondoka bungeni kwa hasira baada ya mjadala kuhusu pesa za kununua silaha kuzimwa.

 

5 years ago

CCM Blog

MAKUMI WAUAWA KATIKA HUJUMA YA WABEBA SILAHA NIGERIA

Makumi wauawa katika hujuma ya wabeba silaha NigeriaMakumi ya watu wameuawa katika shambulizi la watu waliojizatiti kwa silaha katika jimbo la Katsina, kaskazini magharibi mwa Nigeria.Sanusi Buba, Kamishna wa Polisi katika jimbo hilo amethibitisha habari za mauaji hayo, lakini amebainisha kuwa vyombo vya usalama vimeanzisha uchunguzi ili kuwatambua na kuwafikisha mbele ya sheria wahusika wa jinai hiyo.Hakuna kundi lolote lililotangaza kuhusika na shambulizi hilo, ingawaje kundi la kigaidi la Boko Haram na magenge mengine ya kitakfiri yenye...

 

10 years ago

Mwananchi

Watu wenye silaha wavamia kituo cha polisi Dar, waua, waiba silaha

>Watu wenye silaha wamevamia kituo cha polisi cha Staki Shari jijini Dar es Salaam ambapo katika tukio hilo, watu saba wameripotiwa kuuawa, huku silaha zilizokuwepo katika kituo hicho zikiibwa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Nigeria kufunga baadhi ya balozi zake

Nigeria inazingatia kufunga baadhi ya balozi zake ili kupunguza gharama, Rais Muhammadu Buhari ametangaza

 

10 years ago

BBCSwahili

Iraq yapanga kuwashambulia IS

Majeshi ya Iraq na Wakurd yanapanga kuutwaa mji wa Mosul kwa kuwashambulia wapiganaji wa IS wanaouudhibiti mji huo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani