Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba kuanika silaha zake leo

Kocha wa Simba, Dylan Kerr ataitumia siku ya klabu hiyo kuonyesha wapinzani wake matokeo ya mazoezi ya Lushoto na Zanzibar, ingawa kikubwa zaidi ni kuonyesha wachezaji ambao klabu hiyo itawatumia msimu ujao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kampuni ‘kuanika’ silaha Julai 14 Dar

Kampuni zaidi ya 30 zinazotengeneza silaha na vifaa vya kijeshi kutoka ndani na nje ya nchi zitaonyesha bidhaa zao katika Kongamano la Majeshi ya Nchikavu litakalofanyika hivi karibuni nchini.

 

11 years ago

GPL

HUDDAH MONROE AZIDI KUANIKA PICHA ZAKE

MREMBO kutoka nchini Kenya Huddah Monroe, ameendelea kutupia picha zake za 'utupu' kupitia mtandao wa Instagram kama kawaida yake. Staa huyo ambaye kwa sasa yupo Abuja nchini Nigeria ametupia picha zake akijiachia na mavazi ya kuogelea huku nyingine akiwa na mwenzake.…

 

11 years ago

BBCSwahili

Libya yaharibu silaha zake za sumu

Libya yakamilisha uharibifu wa silaha za kemikali ya sumu katika mpango ulioanza miaka tisa iliyopita.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria yapanga kuunda silaha zake

Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari ameiamuru wizara ya ulinzi kujenga uwezo wa taifa hilo kujitengenezea silaha zake

 

10 years ago

Mwananchi

Watu wenye silaha wavamia kituo cha polisi Dar, waua, waiba silaha

>Watu wenye silaha wamevamia kituo cha polisi cha Staki Shari jijini Dar es Salaam ambapo katika tukio hilo, watu saba wameripotiwa kuuawa, huku silaha zilizokuwepo katika kituo hicho zikiibwa.

 

11 years ago

GPL

Loga atimka zake, Simba yampotezea mkataba

Kocha Mkuu wa SImba, Zdravko Logarusic na msanii wa Filamu, Wema Sepetu. Na Martha mboma
UWEZI kuacha kumtaja katika listi ya makocha wasioishiwa vituko kutokana na mbwembwe ambazo amekuwa akizifanya pindi anapowaelekeza wachezaji wake iwe mazoezini au kwenye mechi.
Huyo ni Zdravko Logarusic raia wa Croatia, aliyeanza kuifundisha Simba katika mzunguko wa pili wa msimu uliomalizika wiki iliyopita, ambapo alipokea mikoba ya...

 

9 years ago

MillardAyo

Bilionea wa 24 Afrika atoa siku tatu kwa viongozi wa klabu ya Simba kuhusu bilioni 20 zake …

Baada ya stori nyingi kuingia katika headlines kwa siku za hivi karibuni kuhusu uamuzi wa moja kati ya mabilionea wa Afrika kutaka kuinunua klabu ya Simba, mengi yameandikwa na mengi yameongewa. kuhusu Mohamed Dewji maarufu kama MO ambaye amewahi kutajwa na jarida la Forbes kuwa ni bilione wa 24 Afrika kutaka kuinunua Simba. Ikiwa ni […]

The post Bilionea wa 24 Afrika atoa siku tatu kwa viongozi wa klabu ya Simba kuhusu bilioni 20 zake … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CAG kuanika ufisadi Bukoba

MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utouh, amesema wiki ijayo atakwenda mkoani Kagera kuweka wazi yaliyobainika katika ripoti ya ukaguzi wa tuhuma za ufisadi zinazoikabili Halmashauri...

 

9 years ago

GPL

DAVINA ATAJA SABABU KUANIKA UPAJA!

Gladness mallya MWIGIZAJI ambaye inaaminika kwa muda mrefu hajawahi kuvaa nguo yenye mpasuo kiasi cha mapaja yake kuonekana, Halima Yahya ‘Davina’, amefunguka kuwa kwa mara ya kwanza Jumapili iliyopita alilazimika kuvaa nguo iliyoonesha sehemu ya paja lake kutokana na mazingira ya pati ya mwigizaji mwenzake, Wema Sepetu ‘Madam’. Akielezea vazi hilo alilolitinga katika sherehe ya kuzaliwa ya Madam,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani