DAVINA ATAJA SABABU KUANIKA UPAJA!
![](http://api.ning.com:80/files/faf8*WCrWjV-hBH7hwjtBwXlmYujizQjvTAjpn3u4lZU2ZBNpWYl-LrcBgPMEr5LonDMsh-SM5rbkA*CV-krkS2Bo5KsiKdv/davina.jpg)
Gladness mallya MWIGIZAJI ambaye inaaminika kwa muda mrefu hajawahi kuvaa nguo yenye mpasuo kiasi cha mapaja yake kuonekana, Halima Yahya ‘Davina’, amefunguka kuwa kwa mara ya kwanza Jumapili iliyopita alilazimika kuvaa nguo iliyoonesha sehemu ya paja lake kutokana na mazingira ya pati ya mwigizaji mwenzake, Wema Sepetu ‘Madam’. Akielezea vazi hilo alilolitinga katika sherehe ya kuzaliwa ya Madam,...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo Movies09 Nov
Davina Ataja Sababu Kuanika Upaja!
MWIGIZAJI ambaye inaaminika kwa muda mrefu hajawahi kuvaa nguo yenye mpasuo kiasi cha mapaja yake kuonekana, Halima Yahya ‘Davina’, amefunguka kuwa kwa mara ya kwanza Jumapili iliyopita alilazimika kuvaa nguo iliyoonesha sehemu ya paja lake kutokana na mazingira ya pati ya mwigizaji mwenzake, Wema Sepetu ‘Madam’.
Akielezea vazi hilo alilolitinga katika sherehe ya kuzaliwa ya Madam, Davina alisema kwa mazingira ya pati hiyo yenye hadhi ya aina yake, alilazimika kuvaa nguo hiyo ili kuendana...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/f*E8U3rGFXr9W-FOwJRZRHtpHPJ9Prp5Ktiy8YBdSBGM-0NFpUY0Wz5nh2**BZRYq4t-ZOyqZKTaGJA-ydeeEzbG8AIp2pRp/WASTARA2G.jpg?width=650)
WASTARA ATAJA SABABU ZA KUGOMBEA UBUNGE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/S5oOR1dkyInDkGOojtfuMVIJ-5A9tvVavOyh91LqA-jk6rAj6uKall9DWsOcghGRTt27qYrG618GaHHF07U5mH-ImfUWqLRL/SHILOLE.jpg)
SHILOLE ATAJA SABABU ZA KURUDIANA NA MZIWANDA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*SUYvb1OXSudmALqcIjlC85cbFPwqH0g9iV5yaHjP6aE0E5ZKUKuBuswdpypg3qI874loPMeav*rjrqunjn8o3tlVf-TiTfL/aishabui.jpg?width=650)
AISHA BUI ATAJA SABABU YA KUFANYA FUJO
9 years ago
Bongo505 Jan
Ditto ataja sababu za wasanii wapya kupotea
![Lameck-Ditto_1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/10/Lameck-Ditto_1-300x194.jpg)
Msanii na mtunzi wa nyimbo, Lameck Ditto amesema wasanii wengi wachanga wanashindwa kufanikiwa kutokana na woga pamoja na kutokuwa wabunifu kwa kukopi kazi za wasanii waliowakuta kwenye game.
Ditto ambaye pia kwa sasa amejikita kwenye kilimo cha biashara, amekiambia kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio kuwa, kama wasanii wangeamini wanachofanya pamoja na kuwa wabunifu, wangefanikiwa.
“Kitu kikubwa wanashindwa kuwa tofauti na wengine,” alisema.
“Mimi naona vijana wengi wapo hivyo,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6Yi1*KCqJUQ-iuExMH4i5E7gIDeY42*terXVkEUFWJTZcAwBTaz198Bvsaq*SRVgg5ApkchaNT0gEYathRzoPvPZ1T4CC5Zc/odama.jpg?width=650)
ODAMA ATAJA SABABU KUZAA NJE YA NDOA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ug6ORo4NSNRCKONfeGZMx-gVPHZFkOU4WHz-yQPpAqBO3VSXFuSc--rpXymEROJxPUYISd6M4zEtYhyJGXbVBIn8-d--lc*E/mwaki.jpg)
MWAKIFWAMBA ATAJA SABABU YA MASTAA KUWA OMBAOMBA
9 years ago
Bongo513 Oct
Wizkid ataja sababu zinazomfanya asishobokee tuzo
10 years ago
Mwananchi15 Nov
Angel ataja sababu zinazowakwamisha wanawake kimuziki