WASTARA ATAJA SABABU ZA KUGOMBEA UBUNGE
![](http://api.ning.com:80/files/f*E8U3rGFXr9W-FOwJRZRHtpHPJ9Prp5Ktiy8YBdSBGM-0NFpUY0Wz5nh2**BZRYq4t-ZOyqZKTaGJA-ydeeEzbG8AIp2pRp/WASTARA2G.jpg?width=650)
Wtaa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma. Na Gladness Mallya BAADA ya hivi karibuni kutangaza nia ya kugombea ubunge wa Viti Maalum kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) huko Morogoro Vijijini alikozaliwa, staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma ameibuka na kueleza kwamba ameamua kufanya hivyo ili kuwatetea walemavu na watoto wa kike. Akipiga stori na Ijumaa, Wastara alisema wananchi ambao ni walemavu wamekuwa hawatendewi haki...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ykZ*wTWqMzaT*hNKr7Z5rJ3f38oEQ1MozntMdk3BQa7o4aGb1wGhlmw-Diy4OyD7NfFw4CH9dqmOlQYADkoU7N6RIk3M4RIV/Wastara.gif?width=650)
KUGOMBEA UBUNGE KWAMPA UGONJWA WASTARA
11 years ago
Mwananchi14 Jul
Ridhiwani ataja 11 wanaotosha kugombea urais 2015
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/S5oOR1dkyInDkGOojtfuMVIJ-5A9tvVavOyh91LqA-jk6rAj6uKall9DWsOcghGRTt27qYrG618GaHHF07U5mH-ImfUWqLRL/SHILOLE.jpg)
SHILOLE ATAJA SABABU ZA KURUDIANA NA MZIWANDA
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/faf8*WCrWjV-hBH7hwjtBwXlmYujizQjvTAjpn3u4lZU2ZBNpWYl-LrcBgPMEr5LonDMsh-SM5rbkA*CV-krkS2Bo5KsiKdv/davina.jpg)
DAVINA ATAJA SABABU KUANIKA UPAJA!
9 years ago
Bongo Movies09 Nov
Davina Ataja Sababu Kuanika Upaja!
MWIGIZAJI ambaye inaaminika kwa muda mrefu hajawahi kuvaa nguo yenye mpasuo kiasi cha mapaja yake kuonekana, Halima Yahya ‘Davina’, amefunguka kuwa kwa mara ya kwanza Jumapili iliyopita alilazimika kuvaa nguo iliyoonesha sehemu ya paja lake kutokana na mazingira ya pati ya mwigizaji mwenzake, Wema Sepetu ‘Madam’.
Akielezea vazi hilo alilolitinga katika sherehe ya kuzaliwa ya Madam, Davina alisema kwa mazingira ya pati hiyo yenye hadhi ya aina yake, alilazimika kuvaa nguo hiyo ili kuendana...
10 years ago
Habarileo08 Sep
Tibaijuka ataja sababu migogoro wafugaji, wakulima
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka amesema migogoro ya ardhi iliyopo nchini baina ya wakulima na wafugaji, inasababishwa na ufinyu wa mitaji na teknolojia katika kuendeleza ardhi hiyo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ug6ORo4NSNRCKONfeGZMx-gVPHZFkOU4WHz-yQPpAqBO3VSXFuSc--rpXymEROJxPUYISd6M4zEtYhyJGXbVBIn8-d--lc*E/mwaki.jpg)
MWAKIFWAMBA ATAJA SABABU YA MASTAA KUWA OMBAOMBA
9 years ago
Bongo505 Jan
Ditto ataja sababu za wasanii wapya kupotea
![Lameck-Ditto_1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/10/Lameck-Ditto_1-300x194.jpg)
Msanii na mtunzi wa nyimbo, Lameck Ditto amesema wasanii wengi wachanga wanashindwa kufanikiwa kutokana na woga pamoja na kutokuwa wabunifu kwa kukopi kazi za wasanii waliowakuta kwenye game.
Ditto ambaye pia kwa sasa amejikita kwenye kilimo cha biashara, amekiambia kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio kuwa, kama wasanii wangeamini wanachofanya pamoja na kuwa wabunifu, wangefanikiwa.
“Kitu kikubwa wanashindwa kuwa tofauti na wengine,” alisema.
“Mimi naona vijana wengi wapo hivyo,...
9 years ago
Habarileo26 Sep
Kikwete ataja sababu za utalii kutokua haraka
RAIS Jakaya Kikwete ametaja changamoto zinazosababisha utalii wa Afrika usikue kwa haraka kuwa ni ukosefu wa miundombinu bora ya kitalii, utangazaji wa masoko ya utalii na matatizo ya usafiri wa anga kuingia na kutoka Afrika.