KUGOMBEA UBUNGE KWAMPA UGONJWA WASTARA

Hamida Hassan Siasa zisikie tu! Baada ya kukosa nafasi ya ubunge wa viti maalum aliyokuwa akigombea, msanii wa filamu Wastara Juma amejikuta akiumwa na muda mwingi kutobanduka kitandani.Akizungumzia hali yake ya kiafya kwa sasa, Wastara alisema licha ya kujisikia kidogo afadhali, bado si mzima kwani amepata vidonda vya tumbo ambavyo vilitokana na kutokula muda mrefu kwa sababu ya hofu aliyokuwanayo kwenye mchakato. Â ...Soma...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
WASTARA ATAJA SABABU ZA KUGOMBEA UBUNGE
10 years ago
GPL
WASTARA AFURAHIA KUPIGWA CHINI UBUNGE
10 years ago
GPL
DAVINA AHAMASIKA KUGOMBEA UBUNGE
11 years ago
Habarileo18 Dec
Mrema kugombea ubunge 2015
MBUNGE wa Vunjo, Augustino Mrema (TLP), amesema atagombea ubunge katika Uchaguzi Mkuu ujao mwaka 2015 katika jimbo hilo na kutoa hadhari kwa wanaolinyemelea.
10 years ago
Bongo Movies20 Jun
JB Akanusha Kugombea Ubunge Kinondoni
Staa mkubwa wa Bongo Movies, Jacob Stephen ‘JB’ amekanausha taarifa za kutaka kugombea ubunge jimbo la kinondoni ambazo zimekuwa zikienea kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii.
JB ameeleza kuwa japo watu mbali mbali wamekuwa wakimfuata na kumtaka agombee yeye amekuwa akiwashukuru na kuwaeleza kuwa anaipenda sana kazi yake ya uigizaji.
Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa Instagram aliyaeleza hayo akiwa anatolea ufafanuzi kile ‘mrekebishatabia’ alichokiandika kwenye mtandao...
10 years ago
Vijimambo
DISMAS LYASSA KUGOMBEA UBUNGE



Ndugu Wanahabari
Uchaguzi Mkuu wenye lengo la kuwapata Madiwani, Wabunge na...
10 years ago
GPL
ALIYEMSUKUMA WEMA KUGOMBEA UBUNGE AJULIKANA
10 years ago
Bongo Movies15 Feb
Kingwendu Kugombea Ubunge Mwaka Huu!!
Mwigizaji mkongwe wa vichekesho hapa Bongo, Rashid Mwinshehe "Kingwendu", amesema anajiandaa Kugombea Ubunge 2015 Kupitia Chama ambacho amedai Kuwa anaona Kinapendwa na Watanzania wengi bila ya Kutaja Jina la Chama hicho wala Jimbo atakalogombea.
Wataalamu wa Masuala ya Kisiasa Nchini, wameitafsiri Kauli hiyo ya Kingwendu Kwa Mitazamo tofauti, huku Wengi Kati yao Wakisema Kuwa Upinzani Una Nguvu Kubwa hivi sasa hapa Nchini, hivyo Sio ajabu Kwamba yawezekana Msanii huyu amevutiwa na Kuamua...