Kikwete ataja sababu za utalii kutokua haraka
RAIS Jakaya Kikwete ametaja changamoto zinazosababisha utalii wa Afrika usikue kwa haraka kuwa ni ukosefu wa miundombinu bora ya kitalii, utangazaji wa masoko ya utalii na matatizo ya usafiri wa anga kuingia na kutoka Afrika.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo Movies09 Nov
Davina Ataja Sababu Kuanika Upaja!
MWIGIZAJI ambaye inaaminika kwa muda mrefu hajawahi kuvaa nguo yenye mpasuo kiasi cha mapaja yake kuonekana, Halima Yahya ‘Davina’, amefunguka kuwa kwa mara ya kwanza Jumapili iliyopita alilazimika kuvaa nguo iliyoonesha sehemu ya paja lake kutokana na mazingira ya pati ya mwigizaji mwenzake, Wema Sepetu ‘Madam’.
Akielezea vazi hilo alilolitinga katika sherehe ya kuzaliwa ya Madam, Davina alisema kwa mazingira ya pati hiyo yenye hadhi ya aina yake, alilazimika kuvaa nguo hiyo ili kuendana...
11 years ago
GPL
SHILOLE ATAJA SABABU ZA KURUDIANA NA MZIWANDA
10 years ago
GPL
WASTARA ATAJA SABABU ZA KUGOMBEA UBUNGE
9 years ago
GPL
DAVINA ATAJA SABABU KUANIKA UPAJA!
10 years ago
Bongo513 Oct
Wizkid ataja sababu zinazomfanya asishobokee tuzo
11 years ago
GPL
ODAMA ATAJA SABABU KUZAA NJE YA NDOA
9 years ago
Bongo505 Jan
Ditto ataja sababu za wasanii wapya kupotea

Msanii na mtunzi wa nyimbo, Lameck Ditto amesema wasanii wengi wachanga wanashindwa kufanikiwa kutokana na woga pamoja na kutokuwa wabunifu kwa kukopi kazi za wasanii waliowakuta kwenye game.
Ditto ambaye pia kwa sasa amejikita kwenye kilimo cha biashara, amekiambia kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio kuwa, kama wasanii wangeamini wanachofanya pamoja na kuwa wabunifu, wangefanikiwa.
“Kitu kikubwa wanashindwa kuwa tofauti na wengine,” alisema.
“Mimi naona vijana wengi wapo hivyo,...
11 years ago
GPL
MWAKIFWAMBA ATAJA SABABU YA MASTAA KUWA OMBAOMBA
10 years ago
Mwananchi15 Nov
Angel ataja sababu zinazowakwamisha wanawake kimuziki