ODAMA ATAJA SABABU KUZAA NJE YA NDOA
![](http://api.ning.com:80/files/6Yi1*KCqJUQ-iuExMH4i5E7gIDeY42*terXVkEUFWJTZcAwBTaz198Bvsaq*SRVgg5ApkchaNT0gEYathRzoPvPZ1T4CC5Zc/odama.jpg?width=650)
Stori: Gladness Mallya MKALI wa sinema za Kibongo, Jenifer Kyaka ‘Odama’ amesema sababu kubwa iliyomfanya azae nje ya ndoa ni maandalizi mazuri aliyojipangia. Mkali wa sinema za Kibongo, Jenifer Kyaka ‘Odama’. Odama ambaye amejifungua hivi karibuni, alisema aliamua kuzaa kwanza kisha ndoa ifuate hivyo hajutii uamuzi wake. “Nimezaa kwa sababu nilijipanga, kuhusu kuolewa ni majaaliwa awe ni...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q7T2q86GkzXnk8J7J8XwG-axvNjmO43hYw9XscceZaJNpmJaFFlm5wyzAzRJUVZHIW1fCGWORSqoVIwndpZ37hD*HcQpLTru/kabula.jpg)
JINI KABULA AKOMA KUZAA NJE YA NDOA
10 years ago
Dewji Blog02 May
Mwanamke wa Kizambia achepuka nje ya ndoa na kuzaa mtoto wa kichina
Wonders they say shall never end. A married woman from Kitwe, Bulangililo in Zambia displayed another strange act by cheating on her husband. The act eventually leads to the birth of a baby with Asian look and characteristics. Some neighbors of the couple in question suspects that Eunice Kalyolyo, 22, the wife of Chewe Kalyolyo, a bus driver, 26 years, might have stolen the baby. Kopalatimes insists she gave birth to the Chinese baby following the pregnancy from her Chinese former...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jbaar29oQX4CAzuS-uUYc6fjvcMQ2mbgGzK1dpVQPztnWNQ8iQy3DbgyoxuE3Wga1MGQKxhMBkahl-r9fjY0HP7JXB88vkXp/odama.jpg?width=650)
ODAMA: NDOA HAITANIFANYA NIACHE FILAMU
10 years ago
Bongo Movies08 Jan
Odama:Ndoa Haitanifanya Niache Filamu
Mwigizaji wa filamu za Kibongo Jennifer Kyaka ‘Odama’, amedai kuwa mwanaume ambaye anaweza kumuoa jambo la kwanza lazima atambue kuwa yeye anafanya filamu kwa muda mrefu hivyo hawezi kuacha kazi yake kwa sababu ya kuingia kwenye ndoa.
Odama alifungua kinywa chake baada ya kuzungumza na paparazzi wa GPL, ambapo alidai kuwa haiwezi kutokea kuacha kufanya filamu ili amridhishe mwanaume kwani maisha yake yamekuwa yakiendeshwa na kazi hiyo kwa muda mrefu.
“Naamini kuwa yule ambaye atakuja kwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R*tm0ukPJZdfJ2BrTgBlC-41RvXCgpuXo7dWmJG9MbyAOVstrQNy-oM9XDR4zz0Kqit7b9-kJxR*cbmBejmjKqGnyMYMuow2/2322odama.jpg)
ODAMA: SIKWENDA NJE KUJIUZA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/f*E8U3rGFXr9W-FOwJRZRHtpHPJ9Prp5Ktiy8YBdSBGM-0NFpUY0Wz5nh2**BZRYq4t-ZOyqZKTaGJA-ydeeEzbG8AIp2pRp/WASTARA2G.jpg?width=650)
WASTARA ATAJA SABABU ZA KUGOMBEA UBUNGE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/S5oOR1dkyInDkGOojtfuMVIJ-5A9tvVavOyh91LqA-jk6rAj6uKall9DWsOcghGRTt27qYrG618GaHHF07U5mH-ImfUWqLRL/SHILOLE.jpg)
SHILOLE ATAJA SABABU ZA KURUDIANA NA MZIWANDA
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/faf8*WCrWjV-hBH7hwjtBwXlmYujizQjvTAjpn3u4lZU2ZBNpWYl-LrcBgPMEr5LonDMsh-SM5rbkA*CV-krkS2Bo5KsiKdv/davina.jpg)
DAVINA ATAJA SABABU KUANIKA UPAJA!
9 years ago
Bongo Movies09 Nov
Davina Ataja Sababu Kuanika Upaja!
MWIGIZAJI ambaye inaaminika kwa muda mrefu hajawahi kuvaa nguo yenye mpasuo kiasi cha mapaja yake kuonekana, Halima Yahya ‘Davina’, amefunguka kuwa kwa mara ya kwanza Jumapili iliyopita alilazimika kuvaa nguo iliyoonesha sehemu ya paja lake kutokana na mazingira ya pati ya mwigizaji mwenzake, Wema Sepetu ‘Madam’.
Akielezea vazi hilo alilolitinga katika sherehe ya kuzaliwa ya Madam, Davina alisema kwa mazingira ya pati hiyo yenye hadhi ya aina yake, alilazimika kuvaa nguo hiyo ili kuendana...