Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanamke wa Kizambia achepuka nje ya ndoa na kuzaa mtoto wa kichina

cheating-wife-e1430375258832

Wonders they say shall never end. A married woman from Kitwe, Bulangililo in Zambia displayed another strange act by cheating on her husband. The act eventually leads to the birth of a baby with Asian look and characteristics. Some neighbors of the couple in question suspects that Eunice Kalyolyo, 22, the wife of Chewe Kalyolyo, a bus driver, 26 years, might have stolen the baby. Kopalatimes insists she gave birth to the Chinese baby following the pregnancy from her Chinese former...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

JINI KABULA AKOMA KUZAA NJE YA NDOA

Stori: Mwandishi Wetu
Funzo! Staa wa sinema za Kibongo, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ amefunguka kuwa amejifunza kutokana na makosa hivyo hawezi kuzaa tena nje ya ndoa. Staa wa sinema za Kibongo, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ Akizungumza na mwanahabari wetu, Jini Kabula ambaye anabanjuka kimapenzi na staa wa Bongo Fleva, Ruta Maximilian Bushoke, alitiririka: “Nilizaa na Mr Chuz (Tuesday Kihangala)...

 

11 years ago

GPL

ODAMA ATAJA SABABU KUZAA NJE YA NDOA

Stori: Gladness Mallya MKALI wa sinema za Kibongo, Jenifer Kyaka ‘Odama’ amesema sababu kubwa iliyomfanya azae nje ya ndoa ni maandalizi mazuri aliyojipangia. Mkali wa sinema za Kibongo, Jenifer Kyaka ‘Odama’. Odama ambaye amejifungua hivi karibuni, alisema aliamua kuzaa kwanza kisha ndoa ifuate hivyo hajutii uamuzi wake. “Nimezaa kwa sababu nilijipanga, kuhusu kuolewa ni majaaliwa awe ni...

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: MKE ASIYE WA NDOA NA MTOTO WA NJE YA NDOA HAWARITHI KISHERIA

Na  Bashir  Yakub.
Kumekuwepo  na utata  mkubwa  kuhusu  urithi  wa  mali  za  marehemu  hasa  inapotokea  kuwa  marehemu  alikuwa  na  mke   zaidi  ya mmoja  na  hapohapo  watoto  wanaotokana  na  mama  tofauti.  Tumeshashuhudia  magomvi  makubwa  misibani   lakini  pia  tumeshuhudia  na  tunaendelea kushuhudia  utitiri  wa mashauri  kuhusu  mkanganyiko  wa  mali za marehemu ambaye  familia  yake  ni  ya watoto  wanatokana  na  mama  tofauti. Kutokana  na  hayo  kuna umuhimu  mkubwa  wa...

 

10 years ago

Vijimambo

Dalili za mwanamke anayetoka nje ya ndoa


Wataalamu wa maswala ya mahusiano wanaamini kwamba, mwanamke anapotoka nje ya ndoa yake, inakuwa rahisi sana kubainika au kufumaniwa kuliko ilivyo kwa mwanaume.
Hii inatokana na ukweli kwamba, hisia zinakuwa na nafasi kubwa sana kwa mwanamke, kwani mwanamke huishi kwa hisia zaidi kuliko mwanaume. Bado nasisitiza kwamba, haipaswi na siyo sahihi mtu kuchukulia dalili hizi kama ushahidi wa mpenzi wake kutoka nje ya ndoa. Uchunguzi wa kina kufuatia dalili hizi ni muhimu sana.
Zifuatazo hapa chini...

 

10 years ago

Habarileo

Mwanamke adaiwa kuiba mtoto kulinda ndoa

POLISI mkoani Rukwa wanamshikilia mkazi wa kitongoji cha Chanji, Manispaa ya Sumbawanga, Magreth Juma (34) akituhumiwa kuiba mtoto wa kike mwenye umri wa siku mbili ili asiachike katika ndoa yake, kwa kuwa hajabahatika kumzalia mtoto mumewe.

 

10 years ago

GPL

KOLETA SASA NIPO TAYARI KUZAA BILA NDOA

Msanii wa filamu Bongo, Coletha Raymond ‘Koleta’. Na Gladness Mallya/ Amani
KUTOKANA na umri kumtupa mkono, msanii wa filamu Bongo, Coletha Raymond ‘Koleta’ ameibuka na kutengua kauli aliyowahi kuitoa kwamba hawezi kuzaa nje ya ndoa na kusema kwa sasa yupo tayari kufanya hivyo muda wowote. Akistorisha na Amani, Koleta alisema kwa sasa yupo tayari kuzaa hata bila ndoa kwani ni muda mrefu amekuwa...

 

10 years ago

GPL

SANDRA AJIVUNIA KUZAA MTOTO WA KIKE

Waandishi wetu STAA wa filamu Bongo, Salma Salmini `Sandra’ ambaye alijichimbia kwa kipindi kirefu baada ya kunasa ujauzito, amebahatika kujifungua mtoto wa kike katika Hospitali ya Santaz iliyopo maeneo ya Mikocheni jijini Dar. Siku chache zilizopita. ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1I4XDCX

 

10 years ago

Vijimambo

Madaktari wa kichina waenda Mapumziko kusherehekea mwaka mpya wa kichina

Kiongozi wa Madaktari wa Kichina Dr. Liu Yaping akimkabidhi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi zawadi ya pambo la Ofisi wakati alipofika Ofisini kwa Balozi Vuga Mjini Zanzibar na Timu yake ya Madaktari kuaga wakirejea nyumbani kwa mapumziko ya mwezi mmoja kiusherehekea mwaka mpya wa Kichina.Pembeni kushoto ni mtapta wao Bibi Liu HualianDr. Liu Yaping kiongozi wa Madaktari wa Kichina wanaotoa huduma za Afya Hospitali za Zanzibar kati kati akiwa sambamba na Mtapta wao Bibi...

 

9 years ago

Bongo5

China kuifuta sera ya kuzaa mtoto mmoja

Serikali ya China imeamua kuifuta sera yake ya kuzaa mtoto mmoja tu iliyodumu kwa kipindi kirefu. Sera hiyo ilianzishwa mwaka 1979 ili kupunguza ongezeko la watu katika nchi hiyo yenye watu wengi zaidi duniani. Hadi sasa China ina watu zaidi ya bilioni 1.357. Wapenzi waliokiuka sheria hiyo walikuwa wakiadhibiwa, kupigwa faini, kupoteza kazi na kulazimika […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani