Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


China kuifuta sera ya kuzaa mtoto mmoja

Serikali ya China imeamua kuifuta sera yake ya kuzaa mtoto mmoja tu iliyodumu kwa kipindi kirefu. Sera hiyo ilianzishwa mwaka 1979 ili kupunguza ongezeko la watu katika nchi hiyo yenye watu wengi zaidi duniani. Hadi sasa China ina watu zaidi ya bilioni 1.357. Wapenzi waliokiuka sheria hiyo walikuwa wakiadhibiwa, kupigwa faini, kupoteza kazi na kulazimika […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

SANDRA AJIVUNIA KUZAA MTOTO WA KIKE

Waandishi wetu STAA wa filamu Bongo, Salma Salmini `Sandra’ ambaye alijichimbia kwa kipindi kirefu baada ya kunasa ujauzito, amebahatika kujifungua mtoto wa kike katika Hospitali ya Santaz iliyopo maeneo ya Mikocheni jijini Dar. Siku chache zilizopita. ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1I4XDCX

 

10 years ago

GPL

PENNY: NATAMANI MTOTO, SINA WA KUZAA NAYE

Stori: Imelda Mtema
Aliyekuwa mpenzi wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’ Penniel Mwingilwa amesema sasa anatamani kuzaa lakini tatizo lipo kwa mwanaume wa kuzaa naye. Penniel Mwingilwa.
Penny alitoa tamko hilo baada ya Diamond kunukuliwa jana (Alhamisi) na gazeti dada la hili, Amani kuwa, alimpa mimba mara mbili binti huyo lakini zikayeyuka katika mazingira ya kutatanisha. Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni...

 

10 years ago

GPL

KIM KARDASHIAN AFICHUA NI MJAMZITO, KUZAA MTOTO WA PILI

Mmwanamitindo wa Marekani, Kim Kardashian akiwa na mumewe mwanamuziki, Kanye West. Kim Kardashian akifanyiwa vipimo hospitalini jana, ambapo alionekana kuwa mjamzito.  Aliyesimama kushoto ni mama yake, Kris Jenner.…

 

10 years ago

Dewji Blog

Mwanamke wa Kizambia achepuka nje ya ndoa na kuzaa mtoto wa kichina

cheating-wife-e1430375258832

Wonders they say shall never end. A married woman from Kitwe, Bulangililo in Zambia displayed another strange act by cheating on her husband. The act eventually leads to the birth of a baby with Asian look and characteristics. Some neighbors of the couple in question suspects that Eunice Kalyolyo, 22, the wife of Chewe Kalyolyo, a bus driver, 26 years, might have stolen the baby. Kopalatimes insists she gave birth to the Chinese baby following the pregnancy from her Chinese former...

 

10 years ago

GPL

FLORA MVUNGI: MVUNGI NDOA MWAKA MMOJA, MTOTO MMOJA

ELIMU
Dada nakukubali sana, vipi kuhusu kiwango chako cha elimu? Fura, Hedaru, 0714403227
FLORA: Nina elimu ya kidato cha sita na Diploma ya Uandishi wa habari. Msanii wa Bongo Muvi na muziki Bongo, Flora Mvungi akiwa na mwanaye Tanzanite. NDOA NA UIGIZAJI
Hivi dada Flora unawezaje kuitumikia ndoa yako kikamilifu huku ukijishughulisha na uigizaji? Amiri Salumu, Dar, 0653252416
FLORA: Ni kujipanga tu, yote yanawezekana....

 

9 years ago

Habarileo

Wajadili sera ya mtoto gerezani

WADAU mbalimbali wamekutana kujadili rasimu ya sera ya Jeshi la Magereza ya ulinzi wa mtoto anapokuwa gerezani kwa lengo la kutoa maboresho yao.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mipango na sera zitekelezwe kumuokoa mama na mtoto mchanga

DSC_0334

Mratibu wa Mawasiliano na uhamisishaji wa mradi wa Mama Ye unaoendeshwa na asasi ya Evidence for Action linalofadhiliwa na Shirika la Maendeleo la Uingereza (DFID), Chiku Lweno akielezea jitihada zinazofanywa na mradi wa Mama Ye katika kukabiliana na vifo vya Mama na mtoto ambapo aliwataka waandishi wa habari kutumia kalamu zao kuelemisha jamii ili iweze kuepukana na vifo vya mama na mtoto ambalo nalo ni janga la taifa.(Picha zote na Zainul Mzige wa modewjiblog).

Na Mwandishi wetu,...

 

10 years ago

GPL

MIPANGO NA SERA ZITEKELEZWE KUMUOKOA MAMA NA MTOTO MCHANGA‏

Mratibu wa Mawasiliano na uhamisishaji wa mradi wa Mama Ye unaoendeshwa na asasi ya Evidence for Action linalofadhiliwa na Shirika la Maendeleo la Uingereza (DFID), Chiku Lweno akielezea jitihada zinazofanywa na mradi wa Mama Ye katika kukabiliana na vifo vya Mama na mtoto ambapo aliwataka waandishi wa habari kutumia kalamu zao kuelemisha jamii ili iweze kuepukana na vifo vya mama na mtoto ambalo nalo ni janga la taifa. Kaimu...

 

11 years ago

Habarileo

Wizara yatishia kuifuta shule ya Mkorea

WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Amali imetishia kuifutia usajili shule ya kimataifa ya Eden iliyopo Chukwani Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, kwa madai ya kubainika kutoa mafunzo ya Biblia kwa wanafunzi wa shule ya msingi kinyume na utaratibu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani