Odama:Ndoa Haitanifanya Niache Filamu
Mwigizaji wa filamu za Kibongo Jennifer Kyaka ‘Odama’, amedai kuwa mwanaume ambaye anaweza kumuoa jambo la kwanza lazima atambue kuwa yeye anafanya filamu kwa muda mrefu hivyo hawezi kuacha kazi yake kwa sababu ya kuingia kwenye ndoa.
Odama alifungua kinywa chake baada ya kuzungumza na paparazzi wa GPL, ambapo alidai kuwa haiwezi kutokea kuacha kufanya filamu ili amridhishe mwanaume kwani maisha yake yamekuwa yakiendeshwa na kazi hiyo kwa muda mrefu.
“Naamini kuwa yule ambaye atakuja kwa...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jbaar29oQX4CAzuS-uUYc6fjvcMQ2mbgGzK1dpVQPztnWNQ8iQy3DbgyoxuE3Wga1MGQKxhMBkahl-r9fjY0HP7JXB88vkXp/odama.jpg?width=650)
ODAMA: NDOA HAITANIFANYA NIACHE FILAMU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VNXpMB91slelhNwDq1iEa1cWBnJYULnEqM1-FhE01TmrwNP-HuluIKqp8U0RT0ZA5k5Ll6e0c6lZlwszIE8wDmA8I9O-PH4A/4.jpg)
NISHA: NDOA HAITANIFANYA NIACHE FILAMU!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6Yi1*KCqJUQ-iuExMH4i5E7gIDeY42*terXVkEUFWJTZcAwBTaz198Bvsaq*SRVgg5ApkchaNT0gEYathRzoPvPZ1T4CC5Zc/odama.jpg?width=650)
ODAMA ATAJA SABABU KUZAA NJE YA NDOA
10 years ago
MichuziBodi ya Filamu Nchini yatoa wito kwa wamiliki wa Filamu kuweza kuwasilisha Filamu.
Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu , Joyce Fisoo ametoa wito kwa kampuni za Filamu nchini kuwasilisha filamu zao ili ziweze kuhakikiwa na kulipiwa kwa kupata kibali cha kuingia sokoni kama sheria ya filamu ya mwaka 1976 kifungu namba 4 inavyoeleza.
Akizungumza katika ofisi za Bodi leo jijini Dar es Salaam, Fisoo ameipongeza kampuni ya Al-Riyamy Production ambayo imeweza kutimiza wajibu wake na kulipia filamu 134 ambazo zimepata kibali cha kupatiwa stamp za TRA...
10 years ago
Vijimambo14 Nov
BODI YA FILAMU TANZANIA YAZITAKA KAMPUNI ZA FILAMU KUZINGATIA SHERIA NA KANUNI ZA FILAMU.
10 years ago
VijimamboCHAMA CHA WASAMBAZAJI WA FILAMU TANZANIA WASITISHA KUKUNUNUA STIKA ZA TRA NA KUPELEKA FILAMU ZAO BODI YA FILAMU KWAAJILI YA KUFANYIWA UKAGUZI
11 years ago
Mwananchi07 Dec
Nimemaliza kazi, niache nipumzike - Mandela
10 years ago
Mwananchi15 Dec
Marwa: Ngumi zilinifanya niache kazi jeshini