Nimemaliza kazi, niache nipumzike - Mandela
Mandela alifanya mengi na kusema mengi. Hata hivyo kuna kauli yake moja ambayo inaweza kuchukuliwa kama alikuwa anaiaga dunia
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi15 Dec
Marwa: Ngumi zilinifanya niache kazi jeshini
11 years ago
Mwananchi14 Jun
Jaji Mwesumo: Aboud Jumbe alisababisha niache kazi
10 years ago
Habarileo24 Oct
JK- Natamani muda wangu uishe nipumzike
RAIS Jakaya Kikwete amesema mfumo unaotumika Tanzania ambako Rais anatumikia nafasi ya uongozi kwa muhula wa miaka mitano na si zaidi ya miaka 10 ni mzuri na unaovutia kwa sababu unaiwezesha nchi kupata fikra na mawazo mapya.
10 years ago
Mwananchi18 Apr
Wema: Niacheni nipumzike na mimi ni binadamu
10 years ago
Bongo Movies08 Jan
Odama:Ndoa Haitanifanya Niache Filamu
Mwigizaji wa filamu za Kibongo Jennifer Kyaka ‘Odama’, amedai kuwa mwanaume ambaye anaweza kumuoa jambo la kwanza lazima atambue kuwa yeye anafanya filamu kwa muda mrefu hivyo hawezi kuacha kazi yake kwa sababu ya kuingia kwenye ndoa.
Odama alifungua kinywa chake baada ya kuzungumza na paparazzi wa GPL, ambapo alidai kuwa haiwezi kutokea kuacha kufanya filamu ili amridhishe mwanaume kwani maisha yake yamekuwa yakiendeshwa na kazi hiyo kwa muda mrefu.
“Naamini kuwa yule ambaye atakuja kwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jbaar29oQX4CAzuS-uUYc6fjvcMQ2mbgGzK1dpVQPztnWNQ8iQy3DbgyoxuE3Wga1MGQKxhMBkahl-r9fjY0HP7JXB88vkXp/odama.jpg?width=650)
ODAMA: NDOA HAITANIFANYA NIACHE FILAMU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VNXpMB91slelhNwDq1iEa1cWBnJYULnEqM1-FhE01TmrwNP-HuluIKqp8U0RT0ZA5k5Ll6e0c6lZlwszIE8wDmA8I9O-PH4A/4.jpg)
NISHA: NDOA HAITANIFANYA NIACHE FILAMU!
9 years ago
Bongo Movies29 Dec
Nataka Niache Kula Monde-Juma Nature
Msanii mkongwe katika tasnia ya bongo fleva Juma Kassim Nature (Kiroboto) amefunguka na kusema ameachana na mambo mengi ya ajabu ajabu na starehe na kusema anataka kuachana na mambo hayo kwani uhuni ataki tena.
![Juma Nature](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/Juma-Nature-.jpg)
Juma Nature
Juma Nature akipiga stori katika kipindi cha Planet Bongo ya EATV alisema ameweza kuachana na mambo mengi ambayo kwa jamii yanaonekana ni mambo ya kihuni lakini mpaka sasa bado hajafanikiwa kuacha monde (Pombe).
“Unajua kwa sasa nimeachana na mambo mengi yale ya kihuni...