Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nimemaliza kazi, niache nipumzike - Mandela

Mandela alifanya mengi na kusema mengi. Hata hivyo kuna kauli yake moja ambayo inaweza kuchukuliwa kama alikuwa anaiaga dunia

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Marwa: Ngumi zilinifanya niache kazi jeshini

Ukizungumzia wanamasumbwi wa miaka ya 1990 huwezi kuacha kumtaja bingwa wa zamani wa mabara wa mkanda wa IBF, Joseph Marwa Kimonge 'Hungry Lion

 

11 years ago

Mwananchi

Jaji Mwesumo: Aboud Jumbe alisababisha niache kazi

>Wahenga walisema, kila zama na kitabu chake, ndivyo ilivyo siyo tu kwa watawala, bali hata maisha ya kila mwanadamu yana ‘kitabu chake.’

 

10 years ago

Habarileo

JK- Natamani muda wangu uishe nipumzike

RAIS Jakaya Kikwete amesema mfumo unaotumika Tanzania ambako Rais anatumikia nafasi ya uongozi kwa muhula wa miaka mitano na si zaidi ya miaka 10 ni mzuri na unaovutia kwa sababu unaiwezesha nchi kupata fikra na mawazo mapya.

 

10 years ago

Mwananchi

Wema: Niacheni nipumzike na mimi ni binadamu

Mwigizaji Wema Sepetu amewataka watu wanomsakama kwa maneno waache apumzike kufanya hivyo kwani yeye ni binadamu kama ilivyo kwa wengine na anaumia kama wanavyoumia wengine.

 

10 years ago

Bongo Movies

Odama:Ndoa Haitanifanya Niache Filamu

Mwigizaji wa  filamu za Kibongo Jennifer Kyaka ‘Odama’, amedai kuwa mwanaume ambaye anaweza kumuoa jambo la kwanza lazima atambue kuwa yeye anafanya filamu kwa muda mrefu hivyo hawezi kuacha kazi yake kwa sababu ya kuingia kwenye ndoa.

Odama alifungua kinywa chake baada ya kuzungumza na paparazzi wa GPL, ambapo alidai kuwa haiwezi kutokea kuacha kufanya filamu ili amridhishe mwanaume kwani maisha yake yamekuwa yakiendeshwa na kazi hiyo kwa muda mrefu.

“Naamini kuwa yule ambaye atakuja kwa...

 

10 years ago

GPL

ODAMA: NDOA HAITANIFANYA NIACHE FILAMU

Na Laurent Samatta
MCHEZA filamu za Kibongo Jennifer Kyaka ‘Odama’, amedai kuwa mwanaume ambaye anaweza kumuoa jambo la kwanza lazima atambue kuwa yeye anafanya filamu kwa muda mrefu hivyo hawezi kuacha kazi yake kwa sababu ya kuingia kwenye ndoa. Mcheza filamu za Kibongo Jennifer Kyaka ‘Odama’. Odama alifungua kinywa chake baada ya kuzungumza na paparazi wetu,… ...

 

10 years ago

GPL

NISHA: NDOA HAITANIFANYA NIACHE FILAMU!

Stori: Laurent Samatta
WAKATI baadhi ya wasanii wakipewa masharti kuacha kuigiza pindi wanapoolewa, nyota wa Bongo Movies, Salma Jabu ‘Nisha’, amedai hata kama akiamua kuolewa na kuishi na mwanaume kamwe hawezi kuachana na tasnia hiyo kwani ndiyo iliyomfanya aishi maisha mazuri mjini. Nyota wa Bongo Movies, Salma Jabu ‘Nisha’. Nisha alizungumza na paparazi wetu juzikati na kudai kuwa wanawake wengi...

 

9 years ago

Bongo Movies

Nataka Niache Kula Monde-Juma Nature

Msanii mkongwe katika tasnia ya bongo fleva Juma Kassim Nature (Kiroboto) amefunguka na kusema ameachana na mambo mengi ya ajabu ajabu na starehe na kusema anataka kuachana na mambo hayo kwani uhuni ataki tena.

Juma Nature

Juma Nature

Juma Nature akipiga stori katika kipindi cha Planet Bongo ya EATV alisema ameweza kuachana na mambo mengi ambayo kwa jamii yanaonekana ni mambo ya kihuni lakini mpaka sasa bado hajafanikiwa kuacha monde (Pombe).

“Unajua kwa sasa nimeachana na mambo mengi yale ya kihuni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani