Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jaji Mwesumo: Aboud Jumbe alisababisha niache kazi

>Wahenga walisema, kila zama na kitabu chake, ndivyo ilivyo siyo tu kwa watawala, bali hata maisha ya kila mwanadamu yana ‘kitabu chake.’

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Aboud Jumbe sasa atoka hospitali

Rais Mstaafu wa Zanzibar, Aboud Jumbe (95) ameruhusiwa kutoka Hospitali ya Taifa, Muhimbili alikokuwa amelazwa kwa siku kadhaa.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Mzimu’ wa Aboud Jumbe bado unaiandama CCM

>Wiki hii umefanyika uzinduzi wa maadhimisho ya kutimia miaka 37 ya Chama Cha Mapinduzi  katika Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, Makamu na kuongozwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM (Zanzibar), Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein.

 

10 years ago

Dewji Blog

Aboud Jumbe alazwa hospitali ya taifa Muhimbili

Aboud-Jumbe-Mwinyi1

Rais mstaafu wa awamu ya pili wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar,  Aboud Jumbe Mwinyi (94).

Na Mwandishi wetu

Rais mstaafu wa awamu ya pili wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Aboud Jumbe Mwinyi (94), yupo hoi baada ya kulazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili akisumbuliwa na maradhi ya moyo.

Taarifa iliyotolewa na  Ofisa Uhusiano wa Hospitali ya Muhimbili, Doris Ishenga, alisema Jumbe alipokewa hospitalini hapo tangu Oktoba 12, mwaka huu.

Amelazwa katika Taasisi ya Moyo baada ya...

 

5 years ago

CCM Blog

MUSSA ABOUD JUMBE AJITOSA KUCHUKUA FOMU ZA KUWANIA URAIS ZANZIBAR

MWANACHAMA wa Chama cha Mapinduzi CCM, Mussa Aboud Jumbe, akipokea mkoba wenye fomu za kuomba ridhaa ya kuchaguliwa kuwa Rais wa Zazibar, kutoka kwa Katibu wa Idara ya Oganaizesheni Zanzibar, Galos Nyimbo, hapo ofisi ya chama Kisiwandui Mjini Unguja. Mussa ni mtoto wa Rais wa zamani wa Zanzibar, Hayati Aboud Jumbe. (PICHA ZOTE NA ABDALLA OMAR). 

 

11 years ago

Mwananchi

Nimemaliza kazi, niache nipumzike - Mandela

Mandela alifanya mengi na kusema mengi. Hata hivyo kuna kauli yake moja ambayo inaweza kuchukuliwa kama alikuwa anaiaga dunia

 

10 years ago

Mwananchi

Marwa: Ngumi zilinifanya niache kazi jeshini

Ukizungumzia wanamasumbwi wa miaka ya 1990 huwezi kuacha kumtaja bingwa wa zamani wa mabara wa mkanda wa IBF, Joseph Marwa Kimonge 'Hungry Lion

 

11 years ago

GPL

LIUNDI; ALISABABISHA MKEWE AUE WATOTO WATATU- 5

Marehemu George Liundi. ALIYEKUWA Msajili wa Vyama vya Siasa, George Liundi alisababisha mkewe Agnes Doris Liundi kuua watoto wake watatu kwa kuwanywesha sumu, sasa tuangalie mahakamani alijiteteaje? Wakili wake aliyefahamika kwa jina moja la Jadeda alisema kwamba, mtu yeyote aliyerukwa na akili anaweza kupanga hatua kwa hatua kutekeleza mauaji kama alivyofanya mtuhumiwa na asijue kama kitendo alichokifanya ni kosa. Wakili...

 

5 years ago

Michuzi

UTENDAJI KAZI WA MAHAKAMA YA TANZANIA WAMFURAHISHA JAJI MKUU WA ETHIOPIA

Jaji Mkuu wa Ethiopia, Mhe. Meaza Mengistu (aliyevaa kitenge) akipokelewa na Hakimu Mkazi Mfawidhi Mwandamizi, Mhe. Agnes Mchome wa Mahakama ya Wilaya ya Kigamboni, baada ya kuwasili leo katika Mahakama ya Wilaya ya Kigamboni na Mahakama ya Mwanzo Kigamboni iliyopo jijini Dar es Salaam.
Jaji Mkuu wa Ethiopia, Mhe. Meaza Mengistu (kushoto) akitembelea Mahakama ya Wilaya ya Kigamboni iliyopo jijini Dar es Salaam, ambapo alijifunza kuhusu ujenzi wa Mahakama hiyo kwa kutumia gharama...

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI : Hongera Jaji Mutungi, lakini una kazi kubwa

Jumanne ya wiki hii Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi ameendelea kutoa angalizo kwa vyama vya siasa na wanasiasa, kuzingatia Sheria ya Gharama za Uchaguzi ili kuepuka kufikishwa mahakamani kwa kukiuka sheria hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani