MAONI : Hongera Jaji Mutungi, lakini una kazi kubwa
Jumanne ya wiki hii Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi ameendelea kutoa angalizo kwa vyama vya siasa na wanasiasa, kuzingatia Sheria ya Gharama za Uchaguzi ili kuepuka kufikishwa mahakamani kwa kukiuka sheria hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima25 Dec
Hongereni wabunge, hongera rais lakini kazi bado ipo
HONGERENI sana wabunge. Hongera pia Rais Jakaya Kikwete kwa kuwafukuza kazi mawaziri wanne. Nilijisikia faraja kuona wabunge wa upinzani na chama tawala wakiwa wamoja katika hilo. Hongera Amiri Jeshi Mkuu...
10 years ago
Uhuru Newspaper11 Sep
Jaji Mutungi atangaza vita
Wanachama vyama vyote nchini kuhakikiwa Teknolojia mpya kutumika kubaini ubabaishajiNA RABIA BAKARIUBABAISHAJI na uendeshaji wa ujanja ujanja wa baadhi ya vyama vya siasa vyenye usajili wa kudumua nchini, umeanza kuitisha Ofisi ya Msajili na sasa inajiandaa kuvifanyia uhakiki ili kubaini udanganyifu.Hatua hiyo inalenga kufichuliwa kwa vyama vyote vinavyoendeshwa kwa ujanja ujanja ama kutokuwa na vigezo vya kuendelea kuwa na usajili wa kudumu kutokana na mabadiliko mbalimbali.Habari za...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZhVsrLD0LnidpQdul0GBMcgn8jRs7VdQbZ7UPt*Yy1AYnCoqa9uLWom*TVlvIDbdgX0UCYv3qjdz8RH96ZbGrYwaIRU4CjUD/150000080.jpg)
HONGERA MADAM, WASHIRIKI MNAANDIKA LAKINI?
10 years ago
Tanzania Daima13 Nov
Hongera ukawa, lakini kaeni chonjo
OKTOBA 26, mwaka huu, vyama vinne vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) vimeweka historia kwa kusaini makubaliano yatakayotumiwa na vyama vyao kutimiza malengo yao kisiasa. Umoja huo...
9 years ago
Mwananchi18 Dec
Hongera Rais, lakini sasa jenga mfumo
11 years ago
Habarileo15 Mar
Jaji Mutungi ataka sheria za uchaguzi kuzingatiwa
MSAJILI wa vyama vya siasa nchini, Jaji Francis Mutungi amevitaka vyama vinavyoshiriki katika uchaguzi mdogo unaotarajiwa kufanyika katika majimbo ya Kalenga, mkoani Iringa na Chalinze, Bagamoyo mkoani Pwani kuzingatia kanuni na sheria zote za uchaguzi.
10 years ago
Mwananchi30 Oct
Jaji Mutungi: Ruzuku ni changamoto kwa Ukawa
11 years ago
Tanzania Daima15 Mar
Jaji Mutungi avitaka vyama kufuata sheria
OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Jaji Francis Mutungi imevitaka vyama vyote vinavyoshiriki uchaguzi ndogo unaoendelea hivi sasa katika jimbo la Kalenga na ule wa Chalinze kuzingatia kanuni...
11 years ago
Mwananchi03 Aug
Jaji Mutungi: Hali ngumu Katiba mpya