Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HONGERA MADAM, WASHIRIKI MNAANDIKA LAKINI?

KWAKO Mkurugenzi wa Benchmark Production, Rita Paulsen ‘Madam’ habari za siku dada yangu? Vipi uko poa? Pole na hongera kwa kazi nzito unayoifanya kwa ajili ya vijana wetu wa Kitanzania kupitia Shindano la Bongo Star Search (BSS). Umewapa fursa ya kuonekana, kujitangaza, hii ni zaidi ya shindano la kuonesha vipaji. Binafsi mimi ni mzima, namshukuru Mungu. Naendelea kupambana katika uwanja wangu wa habari na leo nimekukumbuka...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

UJIO WA NE-YO AFRICA DIAMOND, ALI KIBA MNAANDIKA LAKINI?

UNAANDIKA lakini? Ni moja ya misemo iliyozagaa sana mtaani kwa sasa, msemo huu hupendelewa kutumiwa zaidi pale mtu anapoongea sana au anapokuwa bize kukwambia jambo fulani kwa msisitizo. Julai 18, mwaka huu staa wa muziki wa Pop duniani, Shaffer Chimere Smith ‘Ne-Yo’ alitua katika ardhi ya Afrika na moja kwa moja alipata bahati ya kuhudhuria sherehe za utoaji Tuzo za MTV Africa (Mama) zilizofanyika jijini Durban,...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Hongera ukawa, lakini kaeni chonjo

OKTOBA 26, mwaka huu, vyama vinne vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) vimeweka historia kwa kusaini makubaliano yatakayotumiwa na vyama vyao kutimiza malengo yao kisiasa. Umoja huo...

 

9 years ago

Mwananchi

Hongera Rais, lakini sasa jenga mfumo

Rais John Magufuli juzi alitengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru, Dk Edward Hoseah akieleza kuwa hajaridhishwa na utendaji wake hasa katika suala la upotevu wa makontena ambao umeisababishia Serikali kupoteza mapato.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI : Hongera Jaji Mutungi, lakini una kazi kubwa

Jumanne ya wiki hii Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi ameendelea kutoa angalizo kwa vyama vya siasa na wanasiasa, kuzingatia Sheria ya Gharama za Uchaguzi ili kuepuka kufikishwa mahakamani kwa kukiuka sheria hiyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hongereni wabunge, hongera rais lakini kazi bado ipo

HONGERENI sana wabunge. Hongera pia Rais Jakaya Kikwete kwa kuwafukuza kazi mawaziri wanne. Nilijisikia faraja kuona wabunge wa upinzani na chama tawala wakiwa wamoja katika hilo. Hongera Amiri Jeshi Mkuu...

 

9 years ago

Global Publishers

Ooh…madam martha!-4

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
Hakuishia hapo, mwanzoni alikuwa akimpapasa lakini sasa akawa anamminya kama anayekamua jipu, ikawa mara apapase zile cheni, mara azishike na kuziunganisha, ilimradi tu alishaanza kumzoea mwalimu wake.

Sasa ikawa mpambano umepamba moto, kati ya mtu na mwanafunzi wake, John…
CHECHEMEA NAYO SASA…

Kama nilivyokwisha kueleza hapo awali, kuwa wawili hao kwa maana ya Madam Martha na mwanafunzi wake John ni watu wa mjini waliojikuta wakiishi mjini Katoro kwa mazingira ya...

 

9 years ago

Global Publishers

Ooh…madam martha!-5

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
Ilipoishia wiki iliyopita: Kila upande ukawa unashambulia kwa zamu, lakini tahadhari ya kutoruhusu goli mapema. Kila John akikumbuka mpinzani anayesaka naye kabumbu uwanjani hapo ni mwalimu wake, mzuka wa kucheza kwa bidii ulimpanda mara mbili huku akisubiri maksi kutoka kwa mashabiki.

ASA SONGA MBELE…
Mtu na mwanafunzi wake hao wakiwa katika hali hiyo, ghafla walisikia mlango ukifunguliwa bila aliyeufungua kubisha hodi. Kufumba na kufumbua walipigwa butwaa kumuona...

 

9 years ago

Global Publishers

Ooh…madam Martha!-3

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
Kuona hapati upinzani wala katazo lolote, Madam Martha ambaye ugonjwa wake mkubwa ni wanaume watanashati, aliupeleka mkono kifuani kwa denti wake na kuanza kuuchezesha kiaina huku akisifia kifua kipana cha John. Ikawa wakati akijiandaa kupiga hatua zaidi huku John akiwa ameduwaa kama aliyepigwa na shoti ya umeme, ghafla mlango ulifunguliwa bila mtu kubisha hodi.
YUMBAYUMBA NAYO SASA…
Kabla mlango haujafunguka wote, haraka sana Madam Martha alijiongeza na kwa kasi...

 

10 years ago

Mtanzania

Vannesa ammwagia sifa Madam Rita

Vanessa6mdmNA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
MWIMBAJI wa muziki wa Bongo Fleva, Vanessa Mdee, amempa sifa Mkurugenzi wa Bench Mark Production, waandaji wa kipindi cha kuibua vipaji vya muziki cha Bongo Stars Search ‘BSS’, Rita Poulsen ‘Madam Rita’, kuwa ni mwanamke anayestahili kuigwa na wanawake wengi nchini.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Vanessa alisema sifa hizo amezitoa ikiwa ni siku ya kuzaliwa kwa Rita, ambaye kwa kiasi kikubwa ameweza kuibua vipaji vingi vya wasanii wachanga.
Vanessa alisema Rita...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani