Hongera ukawa, lakini kaeni chonjo
OKTOBA 26, mwaka huu, vyama vinne vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) vimeweka historia kwa kusaini makubaliano yatakayotumiwa na vyama vyao kutimiza malengo yao kisiasa. Umoja huo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vMQ5RJcyKDChfDdxD9VVQ2S388f-oZ7zwwGlFCGAbO2wTreduXPEs-NTxAevF78F-ZjDUcIuYidASSNxOBBBRgI6KFV4HccM/JVGVGI.jpg)
KAENI CHONJO OFM YATEGA KAMERA KILA KONA YA JIJI!
Mwandishi Wetu
KITENGO maalum cha Oparesheni Fichua Maovu (OFM) cha Global Publishers ambacho kimeendelea kujiimarisha kiutendaji, katika kuhakikisha kinafanya kazi yake ipasavyo, sasa imetega kamera kupitia mapaparazi wake ambao watakuwa wakizunguka kila kona ya Jiji la Dar es Salaam na vitongoji vyake, Risasi Mchanganyiko linakubapa kinaga ubaga. Padri wa Moshi alipofumaniwa na kitengo maalum cha Oparesheni Fichua Maovu...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZhVsrLD0LnidpQdul0GBMcgn8jRs7VdQbZ7UPt*Yy1AYnCoqa9uLWom*TVlvIDbdgX0UCYv3qjdz8RH96ZbGrYwaIRU4CjUD/150000080.jpg)
HONGERA MADAM, WASHIRIKI MNAANDIKA LAKINI?
KWAKO Mkurugenzi wa Benchmark Production, Rita Paulsen ‘Madam’ habari za siku dada yangu? Vipi uko poa? Pole na hongera kwa kazi nzito unayoifanya kwa ajili ya vijana wetu wa Kitanzania kupitia Shindano la Bongo Star Search (BSS). Umewapa fursa ya kuonekana, kujitangaza, hii ni zaidi ya shindano la kuonesha vipaji. Binafsi mimi ni mzima, namshukuru Mungu. Naendelea kupambana katika uwanja wangu wa habari na leo nimekukumbuka...
9 years ago
Mwananchi18 Dec
Hongera Rais, lakini sasa jenga mfumo
Rais John Magufuli juzi alitengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru, Dk Edward Hoseah akieleza kuwa hajaridhishwa na utendaji wake hasa katika suala la upotevu wa makontena ambao umeisababishia Serikali kupoteza mapato.
10 years ago
Mwananchi18 Jun
MAONI : Hongera Jaji Mutungi, lakini una kazi kubwa
Jumanne ya wiki hii Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi ameendelea kutoa angalizo kwa vyama vya siasa na wanasiasa, kuzingatia Sheria ya Gharama za Uchaguzi ili kuepuka kufikishwa mahakamani kwa kukiuka sheria hiyo.
11 years ago
Tanzania Daima25 Dec
Hongereni wabunge, hongera rais lakini kazi bado ipo
HONGERENI sana wabunge. Hongera pia Rais Jakaya Kikwete kwa kuwafukuza kazi mawaziri wanne. Nilijisikia faraja kuona wabunge wa upinzani na chama tawala wakiwa wamoja katika hilo. Hongera Amiri Jeshi Mkuu...
11 years ago
Mwananchi25 Apr
Kimiti awatetea Ukawa lakini...
Mjumbe wa Bunge la Katiba, Paul Kimiti amewataka wajumbe wa Bunge hilo kuacha kuwabeza wanachama wa Kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kwa kuwa ni kati ya watu muhimu wanaohitajika katika kutengeneza Katiba.
10 years ago
Mwananchi13 May
Ukawa safi, lakini huu ni mwisho wa CUF, NCCR
>Tangu Februari mwaka 2014, siasa za Tanzania zimekuwa na mwelekeo chanya kwa vyama vya upinzani kushirikiana, tofauti na wakati wowote tangu mfumo wa vyama vingi uanzishwe nchini.
10 years ago
MichuziMBOWE:TUTAAKIKISHA KILA MWANANCHI AMEJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA MPIGA KURA LAKINI KWA UPANDE WA KATIBA MSIMAMO WETU KAMA UKAWA UKO PALE PALE WA KUTOSHIRIKI
![](http://1.bp.blogspot.com/-RWJJdLvK7wc/VN888viAcZI/AAAAAAAAOJw/0WVUlD1q2uk/s1600/Picture%2B003.jpg)
MWENYEKITI wa chama cha demokrasi na maendeleo Chadema Freeman Mbowe amesema kuwa chama...
10 years ago
VijimamboMBOWE:TUTAHAKIKISHA KILA MWANANCHI AMEJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA MPIGA KURA LAKINI KWA UPANDE WA KATIBA MSIMAMO WETU KAMA UKAWA UKO PALE PALE WA KUTOSHIRIKI
![](http://1.bp.blogspot.com/-RWJJdLvK7wc/VN888viAcZI/AAAAAAAAOJw/0WVUlD1q2uk/s640/Picture%2B003.jpg)
MWENYEKITI wa chama cha demokrasi na maendeleo Chadema Freeman Mbowe amesema kuwa chama chao kimejipanga...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania