Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hongera ukawa, lakini kaeni chonjo

OKTOBA 26, mwaka huu, vyama vinne vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) vimeweka historia kwa kusaini makubaliano yatakayotumiwa na vyama vyao kutimiza malengo yao kisiasa. Umoja huo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KAENI CHONJO OFM YATEGA KAMERA KILA KONA YA JIJI!

Mwandishi Wetu
KITENGO maalum cha Oparesheni Fichua Maovu (OFM) cha Global Publishers ambacho kimeendelea kujiimarisha kiutendaji, katika kuhakikisha kinafanya kazi yake ipasavyo, sasa imetega kamera kupitia mapaparazi wake ambao watakuwa wakizunguka kila kona ya Jiji la Dar es Salaam na vitongoji vyake, Risasi Mchanganyiko linakubapa kinaga ubaga. Padri wa Moshi alipofumaniwa na kitengo maalum cha Oparesheni Fichua Maovu...

 

9 years ago

GPL

HONGERA MADAM, WASHIRIKI MNAANDIKA LAKINI?

KWAKO Mkurugenzi wa Benchmark Production, Rita Paulsen ‘Madam’ habari za siku dada yangu? Vipi uko poa? Pole na hongera kwa kazi nzito unayoifanya kwa ajili ya vijana wetu wa Kitanzania kupitia Shindano la Bongo Star Search (BSS). Umewapa fursa ya kuonekana, kujitangaza, hii ni zaidi ya shindano la kuonesha vipaji. Binafsi mimi ni mzima, namshukuru Mungu. Naendelea kupambana katika uwanja wangu wa habari na leo nimekukumbuka...

 

9 years ago

Mwananchi

Hongera Rais, lakini sasa jenga mfumo

Rais John Magufuli juzi alitengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru, Dk Edward Hoseah akieleza kuwa hajaridhishwa na utendaji wake hasa katika suala la upotevu wa makontena ambao umeisababishia Serikali kupoteza mapato.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI : Hongera Jaji Mutungi, lakini una kazi kubwa

Jumanne ya wiki hii Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi ameendelea kutoa angalizo kwa vyama vya siasa na wanasiasa, kuzingatia Sheria ya Gharama za Uchaguzi ili kuepuka kufikishwa mahakamani kwa kukiuka sheria hiyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hongereni wabunge, hongera rais lakini kazi bado ipo

HONGERENI sana wabunge. Hongera pia Rais Jakaya Kikwete kwa kuwafukuza kazi mawaziri wanne. Nilijisikia faraja kuona wabunge wa upinzani na chama tawala wakiwa wamoja katika hilo. Hongera Amiri Jeshi Mkuu...

 

11 years ago

Mwananchi

Kimiti awatetea Ukawa lakini...

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Paul Kimiti amewataka wajumbe wa Bunge hilo kuacha kuwabeza wanachama wa Kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kwa kuwa ni kati ya watu muhimu wanaohitajika katika kutengeneza Katiba.

 

10 years ago

Mwananchi

Ukawa safi, lakini huu ni mwisho wa CUF, NCCR

>Tangu Februari mwaka 2014, siasa za Tanzania zimekuwa na mwelekeo chanya kwa vyama vya upinzani kushirikiana, tofauti na  wakati wowote tangu mfumo wa vyama vingi uanzishwe nchini.

 

10 years ago

Michuzi

MBOWE:TUTAAKIKISHA KILA MWANANCHI AMEJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA MPIGA KURA LAKINI KWA UPANDE WA KATIBA MSIMAMO WETU KAMA UKAWA UKO PALE PALE WA KUTOSHIRIKI

Mwenyekiti wa Chadema Freman Mbowe akiwa anasoma utuba wakati wa ufunguzi wa mkutano wa viongozi wa  chama hicho wa kanda ya kaskazini unaofanyika leo katika  hotel ya new Arusha jijini hapaviongizo wa chadema  akiwemo mwenyekiti wakiwa wanasali kwanza kabla ya mkutano wa viongozi wa kanda ya kaskazini kuanza Naibu katibu mkuu wa Chadema Salum Mwalimu akiwa anaongea na waandishi wa habari Na Woinde Shizza
MWENYEKITI wa chama cha demokrasi na maendeleo Chadema Freeman Mbowe amesema kuwa  chama...

 

10 years ago

Vijimambo

MBOWE:TUTAHAKIKISHA KILA MWANANCHI AMEJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA MPIGA KURA LAKINI KWA UPANDE WA KATIBA MSIMAMO WETU KAMA UKAWA UKO PALE PALE WA KUTOSHIRIKI

Mwenyekiti wa Chadema Freman Mbowe akiwa anasoma utuba wakati wa ufunguzi wa mkutano wa viongozi wa chama hicho wa kanda ya kaskazini unaofanyika leo katika hotel ya new Arusha jijini hapa.viongizo wa chadema akiwemo mwenyekiti wakiwa wanasali kwanza kabla mkutano wa viongozi wa kanda ya kaskazini kuanza.Naibu katibu mkuu wa Chadema Salum Mwalimu akiwa anaongea nawaandishi wahabari
MWENYEKITI wa chama cha demokrasi na maendeleo Chadema Freeman Mbowe amesema kuwa chama chao kimejipanga...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani