Kimiti awatetea Ukawa lakini...
Mjumbe wa Bunge la Katiba, Paul Kimiti amewataka wajumbe wa Bunge hilo kuacha kuwabeza wanachama wa Kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kwa kuwa ni kati ya watu muhimu wanaohitajika katika kutengeneza Katiba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima13 Nov
Hongera ukawa, lakini kaeni chonjo
OKTOBA 26, mwaka huu, vyama vinne vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) vimeweka historia kwa kusaini makubaliano yatakayotumiwa na vyama vyao kutimiza malengo yao kisiasa. Umoja huo...
10 years ago
Mwananchi13 May
Ukawa safi, lakini huu ni mwisho wa CUF, NCCR
11 years ago
KwanzaJamii13 Aug
Kimiti: Tuna tatizo la uongozi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6Yi1*KCqJURCu8UDRCvAG96lI7aZoXOpVtB56ZJnOerYJ5TLS6upUpikECerxbELOCimGdH-zZqwNMMsXUZA-TzCMKaKVagu/lulu.jpg?width=650)
LULU AWATETEA MABOSI WAKWARE
11 years ago
Mwananchi19 Jul
Maximo awatetea Coutinho, Jaja
11 years ago
Mwananchi12 Apr
Hakuna kama Sokoine- Kimiti
10 years ago
TheCitizen20 Aug
POLITICAL COVER: Kimiti to Nyerere: Ikulu is too hot a seat for me
9 years ago
Bongo510 Nov
Oprah awatetea The Kardashians, asema watu wasidharau wanachokifanya wakidhani ni rahisi
![1447091589_oprah-lg](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/1447091589_oprah-lg-300x194.jpg)
Kwa macho ya watu wengi, The Kardashians ni watu waliopata umaarufu na utajiri kwa njia za mkato.
Oprah Winfrey ana mtazamo tofauti. Mtangazaji huyo maarufu wa TV na mwanamke mweusi tajiri zaidi duniani, amedai kuwa The Kardashians ni watu wanaofanya kazi kwa bidii na kujituma kuliko kawaida.
Akiongea kwenye kipindi cha Kyle and Jackie O Show cha KIIS FM nchini Australia, Jumatatu hii, Oprah alisema aliitembelea familia hiyo na kushangazwa na nidhamu yao ya kazi.
“Niliwahoji miaka miwili...
10 years ago
MichuziMBOWE:TUTAAKIKISHA KILA MWANANCHI AMEJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA MPIGA KURA LAKINI KWA UPANDE WA KATIBA MSIMAMO WETU KAMA UKAWA UKO PALE PALE WA KUTOSHIRIKI
![](http://1.bp.blogspot.com/-RWJJdLvK7wc/VN888viAcZI/AAAAAAAAOJw/0WVUlD1q2uk/s1600/Picture%2B003.jpg)
MWENYEKITI wa chama cha demokrasi na maendeleo Chadema Freeman Mbowe amesema kuwa chama...