Kimiti: Tuna tatizo la uongozi
Dodoma. Waziri wa zamani na mwanasiasa wa siku nyingi nchini, Paul Kimiti (74) amesema nchi inakabiliwa na tatizo la uongozi na utendaji serikalini kiasi cha watu wanaoharibu kazi kutochukuliwa hatua. Kimiti, ambaye amewahi kuongoza wizara tofauti tangu mwaka 1982, alisifu Serikali ya Awamu ya Kwanza akisema ilikuwa na wasaidizi makini wa Rais ambao walijua mambo mengi na kumfikishia mkuu wa nchi ambaye pia alifanyia kazi taarifa hizo. Katika mahojiano maalumu na Mwananchi, mwanasiasa...
KwanzaJamii
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi24 Sep
UADILIFU: Tuna tatizo la maadili ya uongozi - Wasira
11 years ago
Tanzania Daima04 Apr
Sumaye: Uongozi bora tatizo Afrika
WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, amesema matatizo na migogoro mingi inayotokea barani Afrika inasababishwa na kutokuwapo kwa uongozi na utawala bora. Sumaye alibainisha kuwa ili kutimiza sera ya uongozi na...
11 years ago
Mwananchi12 Apr
Hakuna kama Sokoine- Kimiti
11 years ago
Mwananchi25 Apr
Kimiti awatetea Ukawa lakini...
11 years ago
TheCitizen20 Aug
POLITICAL COVER: Kimiti to Nyerere: Ikulu is too hot a seat for me
11 years ago
GPL
SINA TATIZO NA MAWAZIRI MZIGO NINA TATIZO NA CCM
10 years ago
Michuzi11 Apr
TATIZO LA RUSHWA YA NGONO BADO NI TATIZO TANZANIA.

11 years ago
Mwananchi17 Jul
‘Tatizo la kutonufaika na madini, tatizo ni viongozi si wawekezaji’
9 years ago
CCM Blog09 Nov
MAGUFULI AVUNJA BODI YA UONGOZI MUHIMBILI ATEUA UONGOZI MPYA
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
Telephone: 255-22-2114512, 2116898
E-mail: ikulucommpress@googlemail.com
Website : www.ikulu.go.tz
Fax: 255-22-2113425
PRESIDENT’S OFFICE,
STATE HOUSE,
1 BARACK OBAMA ROAD,
11400 DAR ES SALAAM.
Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli , leo mchana amefanya ziara ya kushtukiza katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na...