Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kimiti: Tuna tatizo la uongozi

Dodoma. Waziri wa zamani na mwanasiasa wa siku nyingi nchini, Paul Kimiti (74) amesema nchi inakabiliwa na tatizo la uongozi na utendaji serikalini kiasi cha watu wanaoharibu kazi kutochukuliwa hatua. Kimiti, ambaye amewahi kuongoza wizara tofauti tangu mwaka 1982, alisifu Serikali ya Awamu ya Kwanza akisema ilikuwa na wasaidizi makini wa Rais ambao walijua mambo mengi na kumfikishia mkuu wa nchi ambaye pia alifanyia kazi taarifa hizo. Katika mahojiano maalumu na Mwananchi, mwanasiasa...

KwanzaJamii

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

UADILIFU: Tuna tatizo la maadili ya uongozi - Wasira

>Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Uhusiano na Uratibu) Stephen Wasira amekiri kuwa Tanzania inakabiliwa na tatizo la maadili katika uongozi. Kuna haja ya kuweka sheria kali kwa ajili ya kudhibiti hali hiyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sumaye: Uongozi bora tatizo Afrika

WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, amesema matatizo na migogoro mingi inayotokea barani Afrika inasababishwa na kutokuwapo kwa uongozi na utawala bora.  Sumaye alibainisha kuwa ili kutimiza  sera ya uongozi na...

 

11 years ago

Mwananchi

Hakuna kama Sokoine- Kimiti

Leo Watanzania wanaadhimisha miaka 30 tangu kifo cha Edward Moringe Sokoine, ambaye alikuwa Waziri Mkuu wa Tanzania.

 

11 years ago

Mwananchi

Kimiti awatetea Ukawa lakini...

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Paul Kimiti amewataka wajumbe wa Bunge hilo kuacha kuwabeza wanachama wa Kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kwa kuwa ni kati ya watu muhimu wanaohitajika katika kutengeneza Katiba.

 

11 years ago

TheCitizen

POLITICAL COVER: Kimiti to Nyerere: Ikulu is too hot a seat for me

>Paul Kimiti, the man who was nicknamed ‘Senator’ by his fellow members of parliament is one of the few legislators who willingly retired from politics.

 

11 years ago

GPL

SINA TATIZO NA MAWAZIRI MZIGO NINA TATIZO NA CCM

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana. MFUMO wa uongozi serikalini unanitatiza. Kama Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye na Katibu Mkuu Abdulrahman Kinana wanaweza kuwaona mawaziri kadhaa kuwa ni mizigo kabla kiongozi mkuu wa nchi Rais Jakaya Kikwete ambaye ni mwenyekiti wa chama wanachokitumikia Nape na Kinana hajachukua hatua, nahisi kuna tatizo kubwa! Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama...

 

10 years ago

Michuzi

TATIZO LA RUSHWA YA NGONO BADO NI TATIZO TANZANIA.

Jaji mstaafu wa mahakama ya rufaa nchini tanzania mama EUSEBIA MUNUO  ambaye alikuwa ndiye mkufunzi katika mafunzo hayo yaliyoendeshwa leo jijini Dar es salaam  Rushwa ya ngono pamoja na matumizi mabaya ya madaraka yametajwa kuwa ni moja kati ya matatizo makubwa ambayo yamezidi kuweka mizizi nchini tanzania na kuwaadhiri wasichana wengi huku sheria ikishindwa kuweka wazi adhabu mahususi ili kuwabana wanaohusika katika swala hilo. Hayo yamesemwa leo jijini dare s salaam na Jaji...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Tatizo la kutonufaika na madini, tatizo ni viongozi si wawekezaji’

Serikali imetakiwa kusimamia rasilimali za taifa katika hali ambayo itawanufaisha wananchi wote kwani mali hizo ni za wote.

 

9 years ago

CCM Blog

MAGUFULI AVUNJA BODI YA UONGOZI MUHIMBILI ATEUA UONGOZI MPYA


THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
Telephone: 255-22-2114512, 2116898
E-mail: ikulucommpress@googlemail.com
Website : www.ikulu.go.tz             
Fax: 255-22-2113425


PRESIDENT’S OFFICE,
     STATE HOUSE,
             1 BARACK OBAMA ROAD, 
11400 DAR ES SALAAM.
Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli , leo mchana amefanya ziara ya kushtukiza katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani