‘Tatizo la kutonufaika na madini, tatizo ni viongozi si wawekezaji’
Serikali imetakiwa kusimamia rasilimali za taifa katika hali ambayo itawanufaisha wananchi wote kwani mali hizo ni za wote.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rcQZ-rKDDhQ/VNCmKPgyx2I/AAAAAAAHBRE/-IgLPlTyqt4/s72-c/unnamed%2B(27).jpg)
uhaba wa walimu na watalamu wa kundisha namna ya ukataji vito na madini ni tatizo kubwa katika sekta ya madini
Sekta ya madini nchini bado inakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo uhaba wa walimu na wataalamu wa kufundisha namna ya ukataji wa vito vya madini hali inayosababisha kuuzwa kwa madini ghafi nje ya nchi na kupelekea kuuzwa kwa bei ya chini na pesa nyingi kwenda nje ya nchi .
Hayo yameelezwa na mratibu wa kituo cha Jimolojia Tanzania,Musa Shanyangi wakati akiongea na waandishi wa habari katika kituo hicho kinachotoa mafunzo ya ukataji madini ya vito,ambapo wameanza...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*qlVZiDayE6lY4xUsmqS4YkFZgXqpTg1BGYxKAFKejVpX2zPJ5S0YDZAeXN0TsmjWiH5jtu*G7vjaDAr-sLWqWC/kinana.jpg?width=650)
SINA TATIZO NA MAWAZIRI MZIGO NINA TATIZO NA CCM
10 years ago
Michuzi11 Apr
TATIZO LA RUSHWA YA NGONO BADO NI TATIZO TANZANIA.
![](https://mail.google.com/mail/u/0/images/cleardot.gif)
11 years ago
Tanzania Daima05 Jun
Viongozi wasifiche tatizo la ‘unga’
VIONGOZI wa serikali wametakiwa kutokuwa na kigugumizi cha kuitaja Tanzania kuwa ni kinara katika usafirishaji wa dawa za kulevya katika nchi zilizopo ukanda wa Jangwa la Sahara na Afrika Mashariki, ...
10 years ago
Tanzania Daima02 Nov
Tunataka viongozi watakaotatua tatizo la mimba za utotoni
NI ndani ya mwaka mmoja wasichana wadogo wenye umri wa chini ya miaka 18 ambao wangekuwa wasomi wetu wanapata ujauzito na wanaacha masomo. Je ni vijiji vingapi ambavyo tatizo kama...
10 years ago
Tanzania Daima09 Nov
Tunataka viongozi watakaotatua tatizo la mimba za utotoni II
Naye Jestina Dawa, ambaye naye alipata ujauzito na sasa analea mtoto anasema kuwa kutokana na mzigo mkubwa wa majukumu ya kulea familia ambayo wameanza wakiwa wadogo baada ya kulazimika kuolewa,...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-r_riptLLwjc/Vdrah012jeI/AAAAAAACACQ/w0ml9ROwfts/s72-c/HH.jpg)
TATIZO LA MAJI KILOLO NA ISMANI LAISUMBUA SERIKALI WADAI KUTOKUTHAMINIWA NA VIONGOZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-r_riptLLwjc/Vdrah012jeI/AAAAAAACACQ/w0ml9ROwfts/s400/HH.jpg)
Wakizungumza kwa huzuni mbele ya mkuu wa mkoa wa Iringa aliyefanya ziara ya kugagua miradi ya maji Katika wilaya hizo Mh Amina Masenza wananchi hao walisema kumekuwa na ubabaishaji wa kisiasa juu ya namna ya kupelekewa maji jambo ambalo linawafanya...
10 years ago
Michuzi15 Sep
BENKI YA DUNIA NA SERIKALI IKISHIRIKIANA NA WAWEKEZAJI WAKUBWA WA MADINI WAZINDUA MRADI WA UCHIMBAJI MADINI KWA WACHIMBAJI WADOGO WADOGO MKOANI GEITA.
11 years ago
Mwananchi31 Jan
Muhongo: Hatudanganyiki tena na wawekezaji madini