Tunataka viongozi watakaotatua tatizo la mimba za utotoni
NI ndani ya mwaka mmoja wasichana wadogo wenye umri wa chini ya miaka 18 ambao wangekuwa wasomi wetu wanapata ujauzito na wanaacha masomo. Je ni vijiji vingapi ambavyo tatizo kama...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima09 Nov
Tunataka viongozi watakaotatua tatizo la mimba za utotoni II
Naye Jestina Dawa, ambaye naye alipata ujauzito na sasa analea mtoto anasema kuwa kutokana na mzigo mkubwa wa majukumu ya kulea familia ambayo wameanza wakiwa wadogo baada ya kulazimika kuolewa,...
11 years ago
Dewji Blog27 Jul
TAMWA yatoa takwimu tatizo la mimba za utotoni
Na Mwandishi wetu
Kila kukicha kumekuwa na kesi za migogoro ya ardhi, mirathi na hata kesi za wazazi kuozesha watoto wao yaani mimba za utotoni na ndoa za utotoni na hii ni changamoto kubwa inayoikabili nchi kwa sasa.
Utafiti uliofanywa hivi karibuni na Chama cha waandishi wa habari wanawake (TAMWA) umeonyesha kuwa katika kipindi cha mwaka 2012/2013 jumla ya matukio 228 ya mimba na matukio 42 ya ndoa za utotoni yaliripotiwa
Hata hivyo, mimba na ndoa za utotoni zimetajwa kuwa ni...
11 years ago
Habarileo25 Dec
Wasichana 98 wapata mimba utotoni
ZAIDI ya wasichana 98 walipata mimba za utotoni na wengine kukatishwa masomo kwa kipindi cha mwaka huu, mkoani Kilimanjaro, huku asilimia kubwa wakiwa ni kutoka familia masikini.
10 years ago
Mwananchi20 Jun
Machimbo yachangia mimba za utotoni
10 years ago
Tanzania Daima05 Dec
Tanzania kinara mimba za utotoni
LICHA ya jitihada za Serikali na wadau wengine wa mitandao ya kijinsia kutoa elimu kwa jamii juu ya athari za mimba za utotoni, Tanzania bado imeendelea kuwa kinara katika tatizo...
10 years ago
Habarileo12 Jan
WAMA kuelimisha mimba za utotoni
MKE wa Rais, Mama Salma Kikwete amesema katika mwaka huu Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (Wama), itaendelea kujikita katika kuelimisha jamii kuzuia na kudhibiti mimba za umri mdogo hususani kwa wanafunzi wa shule za sekondari.
10 years ago
Tanzania Daima20 Sep
Mimba za utotoni janga la taifa
INGAWA asasi mbalimbali za serikali na zisizo za serikali zinapiga vita ndoa na mimba za utotoni, bado tatizo hilo ni kubwa katika mikoa ya Mtwara na Lindi. Ripoti ya pili...
10 years ago
Mwananchi20 Dec
Dar yavunja rekodi mimba za utotoni (2)
10 years ago
Mwananchi11 Jun
Mimba za utotoni, nani wa kumfunga paka kengele?