Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasichana 98 wapata mimba utotoni

ZAIDI ya wasichana 98 walipata mimba za utotoni na wengine kukatishwa masomo kwa kipindi cha mwaka huu, mkoani Kilimanjaro, huku asilimia kubwa wakiwa ni kutoka familia masikini.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wasichana 700 wapata mimba, waacha shule

Zaidi ya wasichana 700 wenye umri kati ya miaka 10 na 19 ambao walikatisha masomo kwa sababu ya mimba katika shule za msingi na sekondari Wilaya ya Kahama, wamejitokeza kupatiwa elimu ya uzazi wa mpango na ujasiriamali inayotolewa na Shirika la Kiota Women Health Development (Kiwohede) la Dar es Salaam.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tanzania kinara mimba za utotoni

LICHA ya jitihada za Serikali na wadau wengine wa mitandao ya kijinsia kutoa elimu kwa jamii juu ya athari za mimba za utotoni, Tanzania bado imeendelea kuwa kinara katika tatizo...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mimba za utotoni janga la taifa

INGAWA asasi mbalimbali za serikali na zisizo za serikali zinapiga vita ndoa na mimba za utotoni, bado tatizo hilo ni kubwa katika  mikoa ya Mtwara na Lindi. Ripoti ya pili...

 

10 years ago

Mwananchi

Machimbo yachangia mimba za utotoni

Kahama. Uwepo wa machimbo mengi ya wachimbaji wadogo wa dhahabu eneo la Bulyanhulu lenye kata za Luguya, Bulyanhulu na Bugalama wilayani hapa, imedaiwa kuwa moja ya sababu inayochangia watoto wengi kukatisha masomo hasa wasichana.

 

10 years ago

Habarileo

WAMA kuelimisha mimba za utotoni

Mama Salma KikweteMKE wa Rais, Mama Salma Kikwete amesema katika mwaka huu Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (Wama), itaendelea kujikita katika kuelimisha jamii kuzuia na kudhibiti mimba za umri mdogo hususani kwa wanafunzi wa shule za sekondari.

 

10 years ago

Mwananchi

Ndoa mbili za utotoni kwa kila wasichana watano

Wakati Taifa likiadhimisha Wiki ya Sheria, jamii imeendelea kupigia kelele ndoa za utotoni.

 

10 years ago

Mwananchi

Dar yavunja rekodi mimba za utotoni (2)

Kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa na mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam wakati wa hafla ya uzinduzi wa kampeni ya kuzuia matukio ya ujauzito kwa watoto wa kike hali si ya kuridhisha.

 

9 years ago

Habarileo

Walimu wadaiwa chanzo cha mimba utotoni

BAADHI ya walimu wa Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga wanatuhumiwa kuwa chanzo cha mimba za utotoni kwa kuwarubuni wanafunzi wao huku wakificha takwimu sahihi za wanafunzi waliopatwa na ujauzito.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tunataka viongozi watakaotatua tatizo la mimba za utotoni II

Naye Jestina Dawa, ambaye naye alipata ujauzito na sasa analea mtoto anasema kuwa kutokana na mzigo mkubwa wa majukumu ya kulea familia ambayo wameanza wakiwa wadogo baada ya kulazimika kuolewa,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani