Wasichana 98 wapata mimba utotoni
ZAIDI ya wasichana 98 walipata mimba za utotoni na wengine kukatishwa masomo kwa kipindi cha mwaka huu, mkoani Kilimanjaro, huku asilimia kubwa wakiwa ni kutoka familia masikini.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi15 Dec
Wasichana 700 wapata mimba, waacha shule
10 years ago
Tanzania Daima05 Dec
Tanzania kinara mimba za utotoni
LICHA ya jitihada za Serikali na wadau wengine wa mitandao ya kijinsia kutoa elimu kwa jamii juu ya athari za mimba za utotoni, Tanzania bado imeendelea kuwa kinara katika tatizo...
10 years ago
Tanzania Daima20 Sep
Mimba za utotoni janga la taifa
INGAWA asasi mbalimbali za serikali na zisizo za serikali zinapiga vita ndoa na mimba za utotoni, bado tatizo hilo ni kubwa katika mikoa ya Mtwara na Lindi. Ripoti ya pili...
10 years ago
Mwananchi20 Jun
Machimbo yachangia mimba za utotoni
10 years ago
Habarileo12 Jan
WAMA kuelimisha mimba za utotoni
MKE wa Rais, Mama Salma Kikwete amesema katika mwaka huu Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (Wama), itaendelea kujikita katika kuelimisha jamii kuzuia na kudhibiti mimba za umri mdogo hususani kwa wanafunzi wa shule za sekondari.
10 years ago
Mwananchi04 Feb
Ndoa mbili za utotoni kwa kila wasichana watano
10 years ago
Mwananchi20 Dec
Dar yavunja rekodi mimba za utotoni (2)
9 years ago
Habarileo17 Dec
Walimu wadaiwa chanzo cha mimba utotoni
BAADHI ya walimu wa Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga wanatuhumiwa kuwa chanzo cha mimba za utotoni kwa kuwarubuni wanafunzi wao huku wakificha takwimu sahihi za wanafunzi waliopatwa na ujauzito.
10 years ago
Tanzania Daima09 Nov
Tunataka viongozi watakaotatua tatizo la mimba za utotoni II
Naye Jestina Dawa, ambaye naye alipata ujauzito na sasa analea mtoto anasema kuwa kutokana na mzigo mkubwa wa majukumu ya kulea familia ambayo wameanza wakiwa wadogo baada ya kulazimika kuolewa,...