Wasichana 700 wapata mimba, waacha shule
Zaidi ya wasichana 700 wenye umri kati ya miaka 10 na 19 ambao walikatisha masomo kwa sababu ya mimba katika shule za msingi na sekondari Wilaya ya Kahama, wamejitokeza kupatiwa elimu ya uzazi wa mpango na ujasiriamali inayotolewa na Shirika la Kiota Women Health Development (Kiwohede) la Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi18 Nov
400 waacha shule kwa mimba, utoro
11 years ago
Habarileo25 Dec
Wasichana 98 wapata mimba utotoni
ZAIDI ya wasichana 98 walipata mimba za utotoni na wengine kukatishwa masomo kwa kipindi cha mwaka huu, mkoani Kilimanjaro, huku asilimia kubwa wakiwa ni kutoka familia masikini.
5 years ago
CCM BlogMAJALIWA: SH. MILIONI 700 KUJENGA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA RUANGWA
Ruangwa, Lindi
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema Serikali imedhamiria kuboresha elimu kwa watoto wa kike nchini kote ikiwemo wilaya ya Ruangwa ambayo imepewa sh. milioni 700 kwa ajili ya kuanza ujenzi wa shule maalumu ya sekondari ya wasichana.
Amesema Serikali inataka mtoto wa kike asome kuanzia darasa la...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tteq2q5JODI/XvDIyD8xQiI/AAAAAAALu-0/DVd8WT59sVYwE1fKmKLqnUp1znsuiaJwgCLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_3089AAAAAAAAAAAAAAA-768x512.jpg)
MILIONI 700 KUJENGA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA RUANGWA-MAJALIWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-tteq2q5JODI/XvDIyD8xQiI/AAAAAAALu-0/DVd8WT59sVYwE1fKmKLqnUp1znsuiaJwgCLcBGAsYHQ/s640/PMO_3089AAAAAAAAAAAAAAA-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/PMO_3031AAAA-1024x650.jpg)
Waziri Mkuu na Mbunge wa Ruangwa , Kassim Majaliwa akiwapungia wananchi wakati alipotembea katika mitaa ya Ruangwa Juni 21, 2020. Wa pili kulia ni Mkuu wa wilaya ya Ruangwa, Hassim Mgandilwa.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/PMO_3036AAAAAAAAAAAAA-1024x700.jpg)
Waziri Mkuu na Mbunge wa Ruangwa, Kassim Majaliwa akiwapungia wananchi wakati alipotembelea eneo la Kituo cha Mabasi...
11 years ago
Tanzania Daima09 Mar
Wasichana 35 wafukuzwa shule kwa mimba, utoro
BODI ya Shule ya Sekondari Munkinya, Kata ya Dung’unyi wilayani Ikungi, Singida imewafukuza shule wanafunzi 35 kwa sababu za utoro, mimba na ukosefu wa nidhamu. Mkuu wa Shule hiyo, Joseph...
11 years ago
Habarileo09 Aug
Wanafunzi waacha shule, wakimbilia ndoa
SHULE ya sekondari Hunyari iliyoko katika wilaya ya Bunda mkoani Mara, inakabiliwa na utoro mkubwa wa wanafunzi kutokana na baadhi yao kukatisha masomo kwa kuolewa na wengine kuchunga mifugo.
11 years ago
Habarileo07 Jun
Wanafunzi waoa wake 3, waacha shule
HALI si shwari katika sekta ya elimu katika wilaya za Kalambo na Sumbawanga mkoani Rukwa, baada ya kuelezwa idadi kubwa ya wanafunzi wa kiume katika shule za sekondari hukatisha masomo ili kujikita katika kutunza familia, kwani wengi wao ni waume za watu, wengine wakiwa na wake hadi watatu.
10 years ago
Habarileo22 Oct
Wanafunzi 279 kati ya 320 waacha shule
KATI ya wanafunzi 320 walioanza kidato cha kwanza katika Shule ya Sekondari ya Abeid Amaan Karume iliyopo Bahi Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma ni wanafunzi 41 tu waliofanikiwa kufika kidato cha nne.
11 years ago
Habarileo03 Mar
Wanafunzi wasichana wapata ugonjwa wa kuanguka
WAZAZI na walezi ambao watoto wao wanasoma katika Shule ya Msingi Inyonga wilayani Mlele, mkoani Katavi wameitaka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kutuma timu ya wataalamu wa afya kuchuguza ugonjwa wa ajabu unaowakumba wasichana wanaosoma katika shule hiyo.