Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanafunzi wasichana wapata ugonjwa wa kuanguka

WAZAZI na walezi ambao watoto wao wanasoma katika Shule ya Msingi Inyonga wilayani Mlele, mkoani Katavi wameitaka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kutuma timu ya wataalamu wa afya kuchuguza ugonjwa wa ajabu unaowakumba wasichana wanaosoma katika shule hiyo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Chanzo kuanguka wasichana shuleni

UGONJWA wa kuanguka na kupiga kelele unaowakumba baadhi ya wasichana katika shule mbalimbali nchini, umetajwa kusababishwa na maambukizi ya hofu inayosababisha mwili kupata dalili za magonjwa yasiyokuwepo.

 

11 years ago

Habarileo

Wasichana 98 wapata mimba utotoni

ZAIDI ya wasichana 98 walipata mimba za utotoni na wengine kukatishwa masomo kwa kipindi cha mwaka huu, mkoani Kilimanjaro, huku asilimia kubwa wakiwa ni kutoka familia masikini.

 

11 years ago

Mwananchi

Wasichana 700 wapata mimba, waacha shule

Zaidi ya wasichana 700 wenye umri kati ya miaka 10 na 19 ambao walikatisha masomo kwa sababu ya mimba katika shule za msingi na sekondari Wilaya ya Kahama, wamejitokeza kupatiwa elimu ya uzazi wa mpango na ujasiriamali inayotolewa na Shirika la Kiota Women Health Development (Kiwohede) la Dar es Salaam.

 

10 years ago

Dewji Blog

Wanafunzi bora CBE wapata tuzo

TZ-College-of-Business-Education

Na. Aron Msigwa – MAELEZO

Chuo cha Elimu ya Biashara kampasi ya Dar es salaam kimetoa tuzo kwa wanafunzi bora 12 waliohitimu na kufanya vizuri katika masomo yao kwa mwaka wa masomo 2014/2015 ikiwa ni sehemu ya utaratibu wa chuo hicho kuenzi na kuthamini mchango walioutoa katika maendeleo ya taaluma chuoni hapo.

Akikabidhi tuzo hizo katika hafla fupi iliyofanyika jana jijini Dar es salaam, aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na mwenyekiti wa sasa wa wanafunzi ...

 

9 years ago

Habarileo

Wanafunzi lukuki wapata mikopo HELSB

BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), mpaka sasa imetoa mikopo kwa waombaji wenye sifa wapya 40,836 kati ya waombaji 50,830 wanaostahili kupatiwa mikopo hiyo kwa mwaka wa masomo wa 2015/2016.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanafunzi 7,000 wapata vyeti vya kuzaliwa

ZAIDI ya wafunzi 7,400 wa shule za msingi Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam, wamepatiwa vyeti vya kuzaliwa. Akizungumza na Tanzania Daima jana wakati wa maonyesho ya Wiki ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Wanafunzi 150 Duce wapata mimba — Utafiti

Wanafunzi 150 kati ya 1,000 waliojiunga na masomo katika Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Dar es Salaam (Duce) mwaka jana wamebainika kuwa na ujauzito waliopewa na wenzao chuoni hapo.

 

10 years ago

Mwananchi

Wanafunzi wenye ulemavu wapata ujauzito Geita

Wanafunzi watatu ambao ni walemavu wa akili wanaosoma Shule Maalumu ya Msingi Mbugani, Halmashauri ya Mji Geita wamekatiza masomo baada ya kubakwa na kupata mimba.

 

11 years ago

KwanzaJamii

Wanafunzi Golden Gate wapata mafunzo maalum

Na Albano Midelo WANAFUNZI 18 wa shule ya sekondari ya Golden Gate iliyopo Luhira manispaa ya Songea mkoani Ruvuma wamepata mafunzo maalum yatakayowawezesha kukabiliana na changamoto za maisha. Shule hiyo ipo chini ya shirika la kuhudumia watoto yatima linaloitwa St.Teresa Orphan Foundation (STOF) lenye makao yake makuu mjini Songea lililoanzishwa mwaka 2001 ambapo hivi sasa linahudumia watoto yatima wapatao 76. Mafunzo ambayo wanafunzi hao wamefuzu ni pamoja na mafunzo ya huduma ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani