Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chanzo kuanguka wasichana shuleni

UGONJWA wa kuanguka na kupiga kelele unaowakumba baadhi ya wasichana katika shule mbalimbali nchini, umetajwa kusababishwa na maambukizi ya hofu inayosababisha mwili kupata dalili za magonjwa yasiyokuwepo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Wanafunzi wasichana wapata ugonjwa wa kuanguka

WAZAZI na walezi ambao watoto wao wanasoma katika Shule ya Msingi Inyonga wilayani Mlele, mkoani Katavi wameitaka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kutuma timu ya wataalamu wa afya kuchuguza ugonjwa wa ajabu unaowakumba wasichana wanaosoma katika shule hiyo.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Cowbell’ kuwanusuru wasichana shuleni

Kampuni ya Promasidor, ambayo ni watengenezaji wa maziwa ya Cowbell, imeazimia kuelekeza nguvu zake katika kusaidia elimu hususan kwa watoto wa kike.

 

10 years ago

Michuzi

SHULE HATARINI KUANGUKA

Na John Gagarini, Globu ya Jamii - Chalinze
WANANCHI wa Kijiji cha Mkoko wilayani Bagamoyo mkoani Pwani wameiomba Halmashauri kubomoa baadhi ya madarasa ya  shule ya Msingi Mkoko ambayo yananyufa na yako hatarini kuanguka hivyo kufanya wanafunzi kusoma kwa hofu.
Akizungumza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kijijini hapo hivi karibuni Muhsin Mkumbi alisema kuwa majengo hayo yako kwenye hali mbaya na wakati wowote yanaweza kuanguka na kuleta madhara.
Mkumbi alisema kuwa madarasa hayo ni...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM ijiandae kuanguka na Lowassa

MBUNGE wa Monduli, Edward Lowassa (CCM), sasa ndiye anayekitesa chama chake kwa harakati zake ‘haramu’ za kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwakani. Nasema harakati haramu kwakuwa chama chake...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Maadili yanachangia kufaulu au kuanguka darasani

WIKI iliyopita Baraza la Mitihani la Taifa (Necta), lilitangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha sita ambayo yameonyesha ufaulu wa mwaka huu umeongezeka ukilinganisha na mwaka jana.

Kwa mujibu wa matokeo hayo, ufaulu umeongezeka kwa asilimia 0.61 yaani yametoka katika asilimia 98.26 mwaka jana hadi asilimia 98.87 mwaka huu.

Matokeo hayo pia yaonyesha kuwa wasichana wameongoza kwa ufaulu  kwa asilimia 98.56,  huku wavulana wamefaulu kwa asilimia 97.26.

Hili ni suala la kujivunia...

 

10 years ago

Mwananchi

Kuanguka kwa Mugabe kwageuzwa utani

Baada ya Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe kuteleza na kuanguka katika Uwanja wa Kimataifa wa Ndege wa Harare, watu wengi duniani wamechukulia kitendo cha kuanguka kwa rais huyo kama staili ya kutembea wakiwa na lengo la kumdhihaki.

 

9 years ago

Mwananchi

Wasomi waeleza sababu mawaziri kuanguka

Wasomi nchini wametoa maoni tofauti kuhusu kuanguka kwa baadhi ya mawaziri na wabunge maarufu, kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu, kwamba hali hiyo inadhihirisha wananchi wanataka mabadiliko kwenye utendaji.

 

9 years ago

Mwananchi

Membe afunguka kuanguka urais CCM

Waziri wa Mambo ya Nje ya Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amezungumzia kinyang’anyiro cha urais ndani ya CCM, akifananisha kushindwa kwake na kifo cha ghafla.

 

11 years ago

BBCSwahili

Urusi matatani kuhusu kuanguka kwa ndege

Mataifa ya magharibi yaitaka urusi kuyashinikiza makundi ya wapiganaji wanaounga mkono Urusi kuhusu eneo la mkasa wa ndege

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani