Chanzo kuanguka wasichana shuleni
UGONJWA wa kuanguka na kupiga kelele unaowakumba baadhi ya wasichana katika shule mbalimbali nchini, umetajwa kusababishwa na maambukizi ya hofu inayosababisha mwili kupata dalili za magonjwa yasiyokuwepo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo03 Mar
Wanafunzi wasichana wapata ugonjwa wa kuanguka
WAZAZI na walezi ambao watoto wao wanasoma katika Shule ya Msingi Inyonga wilayani Mlele, mkoani Katavi wameitaka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kutuma timu ya wataalamu wa afya kuchuguza ugonjwa wa ajabu unaowakumba wasichana wanaosoma katika shule hiyo.
11 years ago
Mwananchi05 Mar
‘Cowbell’ kuwanusuru wasichana shuleni
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-aqKyCtjg4hw/VV7jkCdPKiI/AAAAAAAHY9g/rNQKf0O2DPw/s72-c/unnamed%2B%252840%2529.jpg)
SHULE HATARINI KUANGUKA
WANANCHI wa Kijiji cha Mkoko wilayani Bagamoyo mkoani Pwani wameiomba Halmashauri kubomoa baadhi ya madarasa ya shule ya Msingi Mkoko ambayo yananyufa na yako hatarini kuanguka hivyo kufanya wanafunzi kusoma kwa hofu.
Akizungumza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kijijini hapo hivi karibuni Muhsin Mkumbi alisema kuwa majengo hayo yako kwenye hali mbaya na wakati wowote yanaweza kuanguka na kuleta madhara.
![](http://2.bp.blogspot.com/-aqKyCtjg4hw/VV7jkCdPKiI/AAAAAAAHY9g/rNQKf0O2DPw/s640/unnamed%2B%252840%2529.jpg)
Mkumbi alisema kuwa madarasa hayo ni...
11 years ago
Tanzania Daima05 Jan
CCM ijiandae kuanguka na Lowassa
MBUNGE wa Monduli, Edward Lowassa (CCM), sasa ndiye anayekitesa chama chake kwa harakati zake ‘haramu’ za kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwakani. Nasema harakati haramu kwakuwa chama chake...
10 years ago
Raia Tanzania20 Jul
Maadili yanachangia kufaulu au kuanguka darasani
WIKI iliyopita Baraza la Mitihani la Taifa (Necta), lilitangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha sita ambayo yameonyesha ufaulu wa mwaka huu umeongezeka ukilinganisha na mwaka jana.
Kwa mujibu wa matokeo hayo, ufaulu umeongezeka kwa asilimia 0.61 yaani yametoka katika asilimia 98.26 mwaka jana hadi asilimia 98.87 mwaka huu.
Matokeo hayo pia yaonyesha kuwa wasichana wameongoza kwa ufaulu kwa asilimia 98.56, huku wavulana wamefaulu kwa asilimia 97.26.
Hili ni suala la kujivunia...
10 years ago
Mwananchi15 Feb
Kuanguka kwa Mugabe kwageuzwa utani
9 years ago
Mwananchi30 Oct
Wasomi waeleza sababu mawaziri kuanguka
9 years ago
Mwananchi14 Aug
Membe afunguka kuanguka urais CCM
11 years ago
BBCSwahili20 Jul
Urusi matatani kuhusu kuanguka kwa ndege