‘Cowbell’ kuwanusuru wasichana shuleni
Kampuni ya Promasidor, ambayo ni watengenezaji wa maziwa ya Cowbell, imeazimia kuelekeza nguvu zake katika kusaidia elimu hususan kwa watoto wa kike.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo09 Jun
Chanzo kuanguka wasichana shuleni
UGONJWA wa kuanguka na kupiga kelele unaowakumba baadhi ya wasichana katika shule mbalimbali nchini, umetajwa kusababishwa na maambukizi ya hofu inayosababisha mwili kupata dalili za magonjwa yasiyokuwepo.
10 years ago
Dewji Blog13 Apr
COWBELL: A taste of daily dairy dose of nutrition
Aisha from Stadium Primary School in Lindi, Tanzania performing an act for Hatua Jithamini TV Show.
Promasidor Tanzania as part of our Corporate Social Responsibility initiative participated in a nationwide campaign called “HATUA – Jithamini”; a behavior change communication campaign that comprised of a TV show which is airing on Star TV every Saturday at 7pm and on TV1 Tanzania every Sunday at 5pm. The objective of the program is to highlight the challenges associated with nutrition and...
10 years ago
Habarileo15 Aug
Wananchi wamuomba Rais Kikwete kuwanusuru
WANANCHI zaidi ya 350 wanaoishi katika Kitongoji cha Nyansirori, Kijiji cha Mikomariro, Wilaya ya hapa, mkoani Mara, wamemuomba Rais Jakaya Kikwete kuingilia kati wasihamishwe katika kitongoji hicho, kutokana na agizo la halmashauri ya wilaya hiyo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aRNM6bufP6o/XtkPHMM2l9I/AAAAAAAEHgE/6CAuHjFjFzwiO8GWkrK1OrSnqdlRNSdKACLcBGAsYHQ/s72-c/download.png)
Benki ya Exim yatangaza likizo ya malipo ya mikopo yenye thamani ya Shilingi bilioni 160 kwa wateja wake ili kuwanusuru na athariza janga la COVID - 19.
![](https://1.bp.blogspot.com/-aRNM6bufP6o/XtkPHMM2l9I/AAAAAAAEHgE/6CAuHjFjFzwiO8GWkrK1OrSnqdlRNSdKACLcBGAsYHQ/s320/download.png)
Benki ya Exim imetangaza msamaha wa likizo ya malipo ya mikopo kwa wateja wake wakubwa, wa kati na wadogo walipo katika sekta zilizo athirika zaidi kiuchumi kutokana na athari za mlipuko wa ugonjwa wa virus vya Corona (COVID 19). Hatua hiyo ni sehemu ya juhudi zinazoendelea kuchukuliwa na benki hiyo katika kuwasaidia kifedha wateja wake...
10 years ago
Vijimambo05 Feb
Simanzi shuleni
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Kihenya-05Feb2015.jpg)
Wanafunzi wawili wa darasa la nne katika shule ya msingi ya Unity, iliyopo Chamazi, eneo la Mbagala, Manispaa ya Temeke, wamefariki dunia baada ya kuangukiwa na ukuta wa darasa la shule hiyo uliogongwa na gari.
Kadhalika, wanafunzi watatu wamejeruhiwa baada ya kijana wa kazi wa mmiliki wa shule hiyo, ambaye siyo dereva kujaribu kuendesha gari...
11 years ago
BBCSwahili03 Jun
Akabiliana na Bhangi shuleni
10 years ago
BBCSwahili05 Sep
Tz:usawa wa maarifa shuleni
9 years ago
Raia Tanzania07 Sep
Vyakula shuleni na kipindupindu
AGOSTI 18, 2015 Dar es Salaam ilipata taarifa mbaya ya mlipuko wa Kipindupindu, mtu mmoja aliugua na kufariki.
Ingawa baadaye ulisambaa hadi Morogoro, kwa sasa jijini hapa idadi inaongezeka siku hadi siku. Takwimu za mwishoni mwa mwezi uliopita zinaonyesha kuna wagonjwa 417.
Kwa mujibu wa maofisa afya, ugonjwa huu unasababishwa na uchafu hasa ulaji wa kinyesi kibichi bila kufahamu na hivyo kushauri jamii kuzingatia usafi hasa waendapo maliwatoni, wahakikishe wananawa kwa sabuni kila...
11 years ago
Mwananchi15 Apr
Watoto wa maskini ‘weupe’ shuleni