Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Cowbell’ kuwanusuru wasichana shuleni

Kampuni ya Promasidor, ambayo ni watengenezaji wa maziwa ya Cowbell, imeazimia kuelekeza nguvu zake katika kusaidia elimu hususan kwa watoto wa kike.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Chanzo kuanguka wasichana shuleni

UGONJWA wa kuanguka na kupiga kelele unaowakumba baadhi ya wasichana katika shule mbalimbali nchini, umetajwa kusababishwa na maambukizi ya hofu inayosababisha mwili kupata dalili za magonjwa yasiyokuwepo.

 

10 years ago

Dewji Blog

COWBELL: A taste of daily dairy dose of nutrition

Aisha from Stadium Primary School in Lindi, Tanzania performing an act for Hatua Jithamini TV Show.

Aisha from Stadium Primary School in Lindi, Tanzania performing an act for Hatua Jithamini TV Show.

Promasidor Tanzania as part of our Corporate Social Responsibility initiative participated in a nationwide campaign called “HATUA – Jithamini”; a behavior change communication campaign that comprised of a TV show which is airing on Star TV every Saturday at 7pm and on TV1 Tanzania every Sunday at 5pm. The objective of the program is to highlight the challenges associated with nutrition and...

 

10 years ago

Habarileo

Wananchi wamuomba Rais Kikwete kuwanusuru

WANANCHI zaidi ya 350 wanaoishi katika Kitongoji cha Nyansirori, Kijiji cha Mikomariro, Wilaya ya hapa, mkoani Mara, wamemuomba Rais Jakaya Kikwete kuingilia kati wasihamishwe katika kitongoji hicho, kutokana na agizo la halmashauri ya wilaya hiyo.

 

5 years ago

Michuzi

Benki ya Exim yatangaza likizo ya malipo ya mikopo yenye thamani ya Shilingi bilioni 160 kwa wateja wake ili kuwanusuru na athariza janga la COVID - 19.

Benki ya Exim yatangaza likizo ya malipo ya mikopo yenye thamani ya Shilingi bilioni 160 kwa wateja wake ili kuwanusuru na athari za janga la COVID - 19.
Benki ya Exim imetangaza msamaha wa likizo ya malipo ya mikopo kwa wateja wake wakubwa, wa kati na wadogo walipo katika sekta zilizo athirika zaidi kiuchumi kutokana na athari za mlipuko wa ugonjwa wa virus vya Corona (COVID 19). Hatua hiyo ni sehemu ya juhudi zinazoendelea kuchukuliwa na benki hiyo katika kuwasaidia kifedha wateja wake...

 

10 years ago

Vijimambo

Simanzi shuleni

Wanafunzi wawili waangukiwa na ukuta, wafa, Watatu wajeruhiwa, wakimbizwa hospitalini.Kamanda wa Polisi wa mkoa wa Kipolisi wa Temeke, Kihenya Kihenya.
Wanafunzi wawili wa darasa la nne katika shule ya msingi ya Unity, iliyopo Chamazi, eneo la Mbagala, Manispaa ya Temeke, wamefariki dunia baada ya kuangukiwa na ukuta wa darasa la shule hiyo uliogongwa na gari.

Kadhalika, wanafunzi watatu wamejeruhiwa baada ya kijana wa kazi wa mmiliki wa shule hiyo, ambaye siyo dereva kujaribu kuendesha gari...

 

11 years ago

BBCSwahili

Akabiliana na Bhangi shuleni

Mwalimu mkuu wa shule amevumbua kemikali inayoweza kutumiwa kuwapima na kuthibitisha kama mwanafunzi anavuta Bangi au la.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tz:usawa wa maarifa shuleni

Matumizi ya vitabu yenye maudhui tofauti katika darasa moja katika shule, Je kuna usawa wa maarifa?

 

9 years ago

Raia Tanzania

Vyakula shuleni na kipindupindu

AGOSTI 18, 2015 Dar es Salaam ilipata taarifa mbaya ya mlipuko wa Kipindupindu, mtu mmoja aliugua na kufariki.

Ingawa baadaye ulisambaa hadi Morogoro, kwa sasa jijini hapa idadi inaongezeka siku hadi siku. Takwimu za mwishoni mwa mwezi uliopita zinaonyesha kuna wagonjwa 417.

Kwa mujibu wa maofisa afya, ugonjwa huu unasababishwa na uchafu hasa ulaji wa kinyesi kibichi bila kufahamu na hivyo kushauri jamii kuzingatia usafi hasa waendapo maliwatoni, wahakikishe wananawa kwa sabuni kila...

 

11 years ago

Mwananchi

Watoto wa maskini ‘weupe’ shuleni

Watoto katika familia masikini ndio wanaoathirika kwa kiwango kikubwa kwa kushindwa kupata stadi za kuwawezesha kujua kusoma na kuandika wakiwa darasa la pili, ikilinganishwa na watoto waliopo katika familia tajiri.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani