Wananchi wamuomba Rais Kikwete kuwanusuru
WANANCHI zaidi ya 350 wanaoishi katika Kitongoji cha Nyansirori, Kijiji cha Mikomariro, Wilaya ya hapa, mkoani Mara, wamemuomba Rais Jakaya Kikwete kuingilia kati wasihamishwe katika kitongoji hicho, kutokana na agizo la halmashauri ya wilaya hiyo.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xtnlwF9ufIM/Xk6lqDZpnzI/AAAAAAALelo/6jqIZ27vGHYyIF_XGSOunN5_6RQj1pT1wCLcBGAsYHQ/s72-c/vlcsnap-2020-02-20-05h41m13s605.png)
DC ataka kanisa kuendeleza ardhi,wananchi wamuomba Rais kuingilia kati
![](https://1.bp.blogspot.com/-xtnlwF9ufIM/Xk6lqDZpnzI/AAAAAAALelo/6jqIZ27vGHYyIF_XGSOunN5_6RQj1pT1wCLcBGAsYHQ/s640/vlcsnap-2020-02-20-05h41m13s605.png)
Wananchi wa kijiji cha Magoda halmashauri ya mji wa Njombe mkoani Njombe wameonyesha kutoridhishwa na uamuzi uliotolewa na mkuu wa wilaya Ruth Msafiri wa kuliachia kanisa la kiinjili la kilutheri Tanzania KKKT dayosisi ya kusini, ardhi yenye ukubwa wa zaidi ya ekari 580 kwa madai ya kwamba hawana sifa kisheria za umiliki wa eneo hilo.
Kufuatia agizo hilo ambalo limetolewa mbele ya mkutano wa hadhara, wananchi wanasema wanafikiri kwenda kuitafuta haki yao katika...
10 years ago
VijimamboWATOTO wamuomba Rais Jakaya Kikwete kutilia mkazo mabadiliko ya sheria
10 years ago
MichuziWakazi na wananchi wa Mbweni JKT wilayani Kinondoni wamuomba DC Makonda apige jicho mradi wa daraja uliokwama
Licha ya mtaa wa Mbweni JKT, jijini Dar es Salaam kujengwa majumba ya kifahari na kupatikana pia nyumba za viongozi mbalimbali wa serikali, miundo mbinu yake, hususan daraja linalojengwa katika eneo hilo ili kuwafanya wananchi wapite kwa urahisi kusua sua. Kwa miaka kadhaa sasa ujenzi wa daraja hilo umesimama.
Pichani ni gari la mwananchi na mkazi wa eneo hilo akipta kwenye maji ambayo mara kadhaa hujikuta wamesimama kwa saa kadhaa, hususan kama eneo hilo litajaa baada ya eneo hilo kujaa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-FPKisstMCkM/Vb-CClv7LzI/AAAAAAAHtoo/i-HSsFirMz4/s72-c/unnamed%2B%252834%2529.jpg)
RAIS KIKWETE AWAAGA WANANCHI WA TANGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-FPKisstMCkM/Vb-CClv7LzI/AAAAAAAHtoo/i-HSsFirMz4/s640/unnamed%2B%252834%2529.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hlBnt738bkzIqKgMKWuLN9BBM0uq4qv1FdOm3aaTbOpKzgZu*rTcXO1RIIhrhXLOLSGOWg-PDBvTXQg4fc4wiQCNDoi-l45j/mb1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AFUTARISHA WANANCHI WA MBEYA
11 years ago
CloudsFM15 Jul
RAIS KIKWETE ALIVYO FUTARISHA WANANCHI WA MBEYA
Mbunge wa Mbeya Mhe Joseph Mbilinyi “Sugu” akipata futari na wananchi wenzie wa Mbeya katika futari iliyoandaliwa na Rais Jakaya mrisho Kikwete katika ukumbi wa Shule ya Sekondari ya Mbeya Day jijini Mbeya Jumapili Julai 13, 2014.
Meza Kuu katika futari iliyoandaliwa na Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika ukumbi wa Shule ya Sekondari ya Mbeya Day jijini Mbeya Jumapili Julai 13, 2014.
Wananchi wa Mbeya waliohudhuria futari iliyoandaliwa na Rais Jakaya mrisho Kikwete katika ukumbi wa Shule ya...
9 years ago
StarTV18 Dec
TALGWU wamuomba Rais Magufuli kusaidia malipo yao ya bilioni 18.
Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa TALGWU kimemuomba Rais John Magufuli kuingilia kati madai yao ili waweze kulipa malimbikizo yao ya zaidi ya Shilingi Bilioni 18 za wafanyakazi wa serikali za mitaa kabla ya kumalizika kwa Desemba mwaka huu.
Fedha hizo ambazo ni madai ya Agosti 2011 hadi Aprili mwaka 2012 zinadaiwa kuwa ni malimbikizo ya mishahara ya wafanyakazi ya likizo, masomo, uhamisho wa wafanyakazi pamoja na matibabu na kwamba zisipolipwa TALGWU inakusudia kuingia kwenye...
9 years ago
Mwananchi15 Oct
Kauli ya Rais Kikwete yazua sintofahamu kwa wananchi
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JtAjU20_bas/U9CpM5wiz7I/AAAAAAAF5Xk/yb8PW7LeZrg/s72-c/b1.jpg)
RAIS KIKWETE AANDAA FUTARI KWA WANANCHI WA BAGAMOYO
![](http://3.bp.blogspot.com/-JtAjU20_bas/U9CpM5wiz7I/AAAAAAAF5Xk/yb8PW7LeZrg/s1600/b1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-pT0nzt4LVa8/U9CpOZSJqoI/AAAAAAAF5X4/VUUHTIbsbzQ/s1600/b2.jpg)