Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tz:usawa wa maarifa shuleni

Matumizi ya vitabu yenye maudhui tofauti katika darasa moja katika shule, Je kuna usawa wa maarifa?

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Tusipopenda kujisomea tutapataje maarifa?

Maendeleo yote ya binadamu yametokana na maarifa. Maarifa ni ufahamu, uwezo wa kufikiri, utambuzi, ujuzi na utashi.

 

11 years ago

Mwananchi

Tunataka wapate maarifa au wajue Kiingereza?

Tafiti zote duniani zinasema wazi kuwa binadamu yeyote anajifunza na kuelewa kikamilifu anapofundishwa kwa lugha anayoijua zaidi. Na uwezo wa kujenga utambuzi na kukuza vipawa umo ndani ya mila na desturi asilia zinazofungamana moja kwa moja na lugha mama inayomiliki maarifa na michepuo ya akili.

 

11 years ago

Mwananchi

Tunapofundisha masomo badala ya maarifa tutafika?

Wengi wanajiuliza, kwa nini nchi za Kiafrika bado ni maskini sana licha ya kuwa na rasilimali nyingi, wasomi wengi na hata misaada lukuki toka nchi zilizoendelea?

 

10 years ago

Michuzi

Forums ya maarifa ya IT Tanzania: Jifunze kutenda

Katika maendeleo ya jamii yoyote, moja ya kitu muhimu ni kukuwa kwa maarifa ya wanajamii. Maarifa yatakayowapa uwezo wa kutumia ujuzi kwenye kutenda. Haijalishi upo kwenye fani gani, bali siku ya mwisho ni lazima uweze kutenda na siyo kuishia vitabuni.
 Kwa miaka mingi, nimekuwa nikifuatilia tatizo la ajira, umasikini nk hapa nchini, ingawa kuna mambo mengi sana ndani yake, lakini mzizi wa yote ni maarifa. Kizazi chetu SIYO kizazi cha watu wenye maarifa. Hii inawezekana ni kutokana na uvivu...

 

11 years ago

Mwananchi

Tunapoajiri vyeti badala ya ujuzi na maarifa; tutafika?

Ni kawaida kukutana na tangazo la ajira linalodai vyeti vingi kama sifa za mwombaji.

 

11 years ago

Mwananchi

Alianzia maarifa ya nyumbani sasa muuguzi wa wilaya

Hakika siku zote juhudi ndiyo shina la mafanikio katika maisha ya mwanadamu na atafutaye hachoki.

 

11 years ago

Mwananchi

Tunapoajiri vyeti badala ya ujuzi na maarifa; tutafika? (2)

Hoja yangu kuu kwenye mada hii tangu wiki iliyopita ni kuhusu vyeti kama kigezo pekee cha kuajiri wafanyakazi. Wafanyakazi wengi wanashindwa kuleta tija kwenye taasisi zetu hasa za Serikali, kutokana na mtindo wa kuajiri vyeti badala ya ujuzi, maarifa na ubunifu.

 

10 years ago

StarTV

Viongozi waaswa kutumia maarifa, busara kuilinda Amani.

Na Abdalla Pandu,

Zanzibar.

 

Viongozi nchini hawana budi kutumia maarifa na busara kuhakikisha wanalivusha salama Taifa mwaka 2015 hasa katika kipindi cha uchaguzi mkuu na maoni ya Katiba vinavyotarajiwa kufanyika mwaka huu.

Kukosekana kwa umakini na busara kwa viongozi hao kunadaiwa kuwa kunaweza kulifikisha mahali pabaya Taifa.

Ni wakati wa kongamano maalum la kukumbusha wajibu wa kaya na familia na malezi bora kwa vijana lililofanyika katika kanisa la Waadventista Wasabato Chuwini...

 

10 years ago

Michuzi

Baraza la Uwezeshaji lahimiza bidii, maarifa katika kazi

Watanzania wameshauriwa kuzidi kuendelea kufanya kazi kwa bidii na maarifa ili nchi iweze kufikia uchumi wa kati na kuondokana na umasikini. Katibu Mtendaji wa Bazara la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi, Bi. Beng’i Issa amewaambia waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam kuwa wakati serikali inafanya juhudi kuwawezesha wananchi, ni muhimu wananchi pia wakaongeza juhudi katika shughuli zao za kiuchumi. “Tuko katika njia nzuri kufikia uchumi wa kati, lakini inabidi kuongeza kasi ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani