Alianzia maarifa ya nyumbani sasa muuguzi wa wilaya
Hakika siku zote juhudi ndiyo shina la mafanikio katika maisha ya mwanadamu na atafutaye hachoki.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLHALI ILIVYO MPAKA SASA NYUMBANI KWA ALLY CHOKI
Ndugu na majirani wa karibu wakiwa katika msiba wa mke wa Ali Choki, Shuwea Hamis ‘Mama Shuu’ baada ya kuugua kwa muda mrefu na kuaga dunia usiku wa kuamkia leo. Mkurugenzi wa Extra Bongo akiwa na majonzi nyumbani kwake Toangoma, Kigamboni.…
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bdrsTvcLHAA/XnzH75w9ilI/AAAAAAALlLw/Y_Dck3W0Lrc-_8elZhDZa76H1dQupo6MACLcBGAsYHQ/s72-c/a1b1e13a-e93f-4fa3-9a84-1930981a549e.jpg)
UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO NDANI YA HIFADHI YA ENEO LA NGORONGORO SASA WAHAMISHIWA HALMASHAURI YA WILAYA YA NGORONGORO
MKUTANO wa siku tatu uliokuwa unafanyika kati ya Wizara ya Maliasili na Utalii na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro umemalizika leo Machi 26 mwaka huu wa 2020 kwa mafanikio makubwa.
Taarifa iliyotolewa leo kwa vyombo vya habari imeeleza mkutano huo wa siku tatu ulikuwa ukiongozwa na Waziri wa Maliasili na Utalii Dk.Hamis Kigwangala na moja ya majadiliano yalikuwa ni kuangalia utaratibu wa Usimamizi wa fedha zinazotolewa na Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro kwa ajili ya Baraza la...
Taarifa iliyotolewa leo kwa vyombo vya habari imeeleza mkutano huo wa siku tatu ulikuwa ukiongozwa na Waziri wa Maliasili na Utalii Dk.Hamis Kigwangala na moja ya majadiliano yalikuwa ni kuangalia utaratibu wa Usimamizi wa fedha zinazotolewa na Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro kwa ajili ya Baraza la...
10 years ago
BBCSwahili05 Sep
Tz:usawa wa maarifa shuleni
Matumizi ya vitabu yenye maudhui tofauti katika darasa moja katika shule, Je kuna usawa wa maarifa?
10 years ago
Mwananchi14 Oct
Tusipopenda kujisomea tutapataje maarifa?
Maendeleo yote ya binadamu yametokana na maarifa. Maarifa ni ufahamu, uwezo wa kufikiri, utambuzi, ujuzi na utashi.
11 years ago
Mwananchi10 Jun
Tunataka wapate maarifa au wajue Kiingereza?
Tafiti zote duniani zinasema wazi kuwa binadamu yeyote anajifunza na kuelewa kikamilifu anapofundishwa kwa lugha anayoijua zaidi. Na uwezo wa kujenga utambuzi na kukuza vipawa umo ndani ya mila na desturi asilia zinazofungamana moja kwa moja na lugha mama inayomiliki maarifa na michepuo ya akili.
11 years ago
Mwananchi15 Jul
Tunapofundisha masomo badala ya maarifa tutafika?
Wengi wanajiuliza, kwa nini nchi za Kiafrika bado ni maskini sana licha ya kuwa na rasilimali nyingi, wasomi wengi na hata misaada lukuki toka nchi zilizoendelea?
10 years ago
Michuzi05 Sep
Forums ya maarifa ya IT Tanzania: Jifunze kutenda
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/6IJUkAXtzKYfhGYN-wb_91-zo079oq9-HM3gaZDDXMh72Oun2GXn-m23_RnjNa74qjfZlrTaWqtCiky1Phst6eH5jITdxx_YLllZuEjYQM8LEcKQa9rWaF0=s0-d-e1-ft#http://www.dudumizi.com/images/dudumizi-forum-learn-it-tanzania.jpg)
Kwa miaka mingi, nimekuwa nikifuatilia tatizo la ajira, umasikini nk hapa nchini, ingawa kuna mambo mengi sana ndani yake, lakini mzizi wa yote ni maarifa. Kizazi chetu SIYO kizazi cha watu wenye maarifa. Hii inawezekana ni kutokana na uvivu...
10 years ago
Michuzi28 Aug
11 years ago
Mwananchi04 Feb
Tunapoajiri vyeti badala ya ujuzi na maarifa; tutafika?
Ni kawaida kukutana na tangazo la ajira linalodai vyeti vingi kama sifa za mwombaji.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania