Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tunapoajiri vyeti badala ya ujuzi na maarifa; tutafika?

Ni kawaida kukutana na tangazo la ajira linalodai vyeti vingi kama sifa za mwombaji.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Tunapoajiri vyeti badala ya ujuzi na maarifa; tutafika? (2)

Hoja yangu kuu kwenye mada hii tangu wiki iliyopita ni kuhusu vyeti kama kigezo pekee cha kuajiri wafanyakazi. Wafanyakazi wengi wanashindwa kuleta tija kwenye taasisi zetu hasa za Serikali, kutokana na mtindo wa kuajiri vyeti badala ya ujuzi, maarifa na ubunifu.

 

11 years ago

Mwananchi

Tunapofundisha masomo badala ya maarifa tutafika?

Wengi wanajiuliza, kwa nini nchi za Kiafrika bado ni maskini sana licha ya kuwa na rasilimali nyingi, wasomi wengi na hata misaada lukuki toka nchi zilizoendelea?

 

10 years ago

Michuzi

KAMISHNA KOVA AWATAKA ASKARI WALIOMALIZA MAFUNZO YA UONGOZI MDOGO WA JESHI LA POLISI KUTUMIA UJUZI NA MAARIFA WALIYOYAPATA KUONDOA KERO NA KUDUMISHA AMANI KATIKA MITAA YOTE YA JIJI LA DAR

 Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Kipolisi ya Dar es Salaam,Kamishna Suleiman Kova akifurahi jambo wakati akizungumza na Askari Polisi waliomaliza Mafunzo ya uongozi mdogo wa Jeshi la Polisi katika vyuo vya Polisi vya Moshi na Zanzibar,wakati alipowapokea leo Desemba 4,2014 katika Kituo cha Kati cha Polisi,Jijini Dar es Salaam.Sehemu ya Askari Polisi waliomaliza Mafunzo ya uongozi mdogo wa Jeshi la Polisi katika vyuo vya Polisi vya Moshi na Zanzibar wakimsikiliza Kamanda wa Polisi Kanda...

 

10 years ago

Michuzi

RAIA WAPYA WA TANZANIA WASHANGILIA KUPEWA VYETI VYA URAIA, MAMA MJAMZITO AJIFUNGUA AKIWA KATIKA KITUO CHA KUPOKELEA VYETI

Kiongozi wa Ofisi ya Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia Wakimbizi (UNHCR) katika Makazi ya Mishamo, Adolph Bishanga akimkabidhi chandarua na shuka raia mpya wa Tanzania, ambaye ni Mkazi wa Kijiji cha Kapemba, Kata ya Mishamo, wilayani Mpanda, Ageva Moses (kulia) baada ya kujifungua mtoto wa kiume wakati akiwa katika kituo cha kupokelea cheti cha uraia katika Kijiji cha Ifumbula wilayani humo. Licha ya maafisa wa Serikali pamoja na UNHCR kutoa maelekezo kuwa wagonjwa na wasiojiweza...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kwa siasa hizi tutafika tunapotaka?

WANASHERIA wana msemo wao kwamba si tu haki itendeke, bali ionekane  imetendeka. Naam,  baada ya kupata taarifa kwamba Ridhiwani Kikwete ameteuliwa na chama chake  kugombea  ubunge wa  Jimbo  la Chalinze,...

 

11 years ago

Michuzi

KUTANGAZA KWA KUPOTEA KWA VYETI VYA SECONDARY NA VYETI VYA KUZALIWA


Katika mazingira ya yasiyoelweka, natangaza KUPOTEA kwa vyeti vya kuzaliwa vyenye majina ya Marianne Mwiki na Even Mwiki.

ACSE from Lutheran Junior Seminary mwaka 2001 CSE from Mpwapwa Secondary School mwaka 1997


Mara ya mwisho vilitumwa Arusha Tanzania 2005,


Mwenye taarifa ya mtu yeyote kujiita Marianne Mwiki katika nafasi yeyote ya kazi, shule ama chuo  sehemu yeyote, tafadhali tujulishe haraka iwezekanavyo, zawadi kubwa itatolewa kwa Mwenye taarifa yeyote itakayoweza kusaidia...

 

10 years ago

BBCSwahili

Tz:usawa wa maarifa shuleni

Matumizi ya vitabu yenye maudhui tofauti katika darasa moja katika shule, Je kuna usawa wa maarifa?

 

10 years ago

Mwananchi

Tusipopenda kujisomea tutapataje maarifa?

Maendeleo yote ya binadamu yametokana na maarifa. Maarifa ni ufahamu, uwezo wa kufikiri, utambuzi, ujuzi na utashi.

 

11 years ago

Mwananchi

Tunataka wapate maarifa au wajue Kiingereza?

Tafiti zote duniani zinasema wazi kuwa binadamu yeyote anajifunza na kuelewa kikamilifu anapofundishwa kwa lugha anayoijua zaidi. Na uwezo wa kujenga utambuzi na kukuza vipawa umo ndani ya mila na desturi asilia zinazofungamana moja kwa moja na lugha mama inayomiliki maarifa na michepuo ya akili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani