Tusipopenda kujisomea tutapataje maarifa?
Maendeleo yote ya binadamu yametokana na maarifa. Maarifa ni ufahamu, uwezo wa kufikiri, utambuzi, ujuzi na utashi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi29 Sep
Mbinu za watoto kujisomea, kujifunza
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZFVQGyC-7KiO-nOQB1YSe*UNqVV*o76zkhAGZ0SB16OE9mbpj98AqWi0fmn8mC9j4IsiKk8kR4VwJmakALlddwV*HI4kSzML/studyincanadapic1.jpg)
FAHAMU MAZINGIRA RAFIKI YA KUJISOMEA
10 years ago
VijimamboHAPPYNESS WATIMANYWA AFUNGUA CLUB YA KUJISOMEA WATOTO YA NKEMA
11 years ago
Mwananchi29 Jun
Fahamu namna unavyoweza kunufaika kutokana na kupenda kujisomea
9 years ago
StarTV30 Nov
 Utamaduni ya kujisomea vitabu wadaiwa kudorora kwa  Madadiliko Ya Kijamii
Kushuka kwa kiwango cha elimu nchini kunatajwa kuchangiwa kwa kiasi kikubwa na Watanzania kuacha utamaduni wa kujisomea ambapo mabadiliko ya kijamii yakidaiwa kuharibu utamaduni huo.
Inaelezwa kuwa watoto na wazazi huchukua muda mwingi kuangalia televisheni na hivyo kutotilia maanani suala la kujisomea na kuwahamasisha watoto kusoma vitabu mbalimbali vyenye mafunzo ya kuwajengea uwezo katika maisha yao.
Hili la kudumaa kwa utamaduni wa kujisomea limesababisha pia kudumaa na kushuka kwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KZErfBrCSHg/XqnUhmMjt0I/AAAAAAALols/_uCOnwSAfYYMojdmxnDbvFB8d00qhG5qwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-29%2Bat%2B10.16.23%2BPM.jpeg)
JAFO ATANGAZA MPANGO WA WANAFUNZI KUJISOMEA KIELEKTRONIKI KIPINDI HIKI CHA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-KZErfBrCSHg/XqnUhmMjt0I/AAAAAAALols/_uCOnwSAfYYMojdmxnDbvFB8d00qhG5qwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-29%2Bat%2B10.16.23%2BPM.jpeg)
Aidha, amewataka wanafunzi kuzingatia ratiba ya masomo inayotolewa ili wasikose vipindi vinavyorushwa kwenye redio,runinga na mitandao ya kijamii.
Jafo ametoa kauli hiyo alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari...
10 years ago
BBCSwahili05 Sep
Tz:usawa wa maarifa shuleni
10 years ago
GPLREDDS MISS TANZANIA 2013, HAPPYNESS WATIMANYWA AFUNGUA CLUB YA KUJISOMEA WATOTO YA NKEMA
10 years ago
Michuzi05 Sep
Forums ya maarifa ya IT Tanzania: Jifunze kutenda
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/6IJUkAXtzKYfhGYN-wb_91-zo079oq9-HM3gaZDDXMh72Oun2GXn-m23_RnjNa74qjfZlrTaWqtCiky1Phst6eH5jITdxx_YLllZuEjYQM8LEcKQa9rWaF0=s0-d-e1-ft#http://www.dudumizi.com/images/dudumizi-forum-learn-it-tanzania.jpg)
Kwa miaka mingi, nimekuwa nikifuatilia tatizo la ajira, umasikini nk hapa nchini, ingawa kuna mambo mengi sana ndani yake, lakini mzizi wa yote ni maarifa. Kizazi chetu SIYO kizazi cha watu wenye maarifa. Hii inawezekana ni kutokana na uvivu...